Hii ndo picha halisi ya CCM 2010: Mcheki Gado na hiki kibonzo

Shadow

JF-Expert Member
May 19, 2008
2,897
671
cart-1510.jpg




ANKAL MICHUZI: naona umekikimbia kukitoa hiki kibonzo

Source:The East African:  - Understanding The Region - Comment
 
Ukweli ndo huo jamaa wamejeruhiwa....
MICHUZI ni CCM damu damu.....kumbe ndo maana wakati wote wa kampeini alikuwa kwenye misafara..... Nilikuwa namwamini sana lakini nimekuja kumstukia.... hapendi maendeleo yetu anatumia umaharufu wa kuwa kwenye blog siku nyingi ila ukweli anaiba taarifa kutoka blogs mbali mbali.....hasa kwa Haki Ngowi....ana copy na kupaste...
 
Huyu 'farasi' sijui kama atafika 2015 manake tayari anapumulia mashine
 
Back
Top Bottom