kinyoba
JF-Expert Member
- Jun 2, 2011
- 1,267
- 718
wadau, ukweli ni kwamba kama wewe ni mwanaume na katika suala zima la unyumba au kungonoka, wewe ndio kila siku unaanzisha game na kubembeleza tendo ujue mkeo hakufurahii na humridhishi. Kama wewe ni mwanamke na kila mara wewe ndo unaanzisha game au kubembeleza tendo basi jua kuwa mumeo hakufurahii na humridhishi. Kama mnaridhishana basi kila mmoja wenu atakua anamuwaza mwenza wake na kutamani kuwa nae wakati wote, hata kama upo kazini mtakua mnawaza muda wa kutoka kazini ufike mapema ukamuone mwenza wako. Ni hilo tu wadau.