Hii ndo njia pekee ya kuifanya Tanzania kuendelea haraka ndani ya miaka michache tu umasikini kupungua na kuisha kabisa

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
8,991
17,887
Habari wakuu...

Kikubwa tunachokitazama kwa sasa kwa nchi zetu hizi changa ni mbinu za kuzifanya ziondokane na umasikini

Hii ndo njia pekee ya kupunguza umasikini nchi hii

Kwanza tuna rasilimali za kutosha cha kwanza ambacho tunapaswa kufanya ni:-

1.kuanzisha mkakati wa kila rasilimali zenye thamani kubwa kama madini mafuta na gas, gorvernment ownership iwe ni 100% au hata 50% maana mfano tu ingekua ges yetu ni government ownership kwa 100 au 90% kwa makampuni yake tungekuwa mbali sana kwasababu mitungi na hiyo ges ingeuzwa na hiyo pesa ingeingia kwenye government mapato yangekua ni makubwa sana yaani matrilioni tofauti na sasa ambavyo kwa mfano ges yetu wanamiliki wawekezaji ambapo serikali inafaidi kodi tu ambayo ni jambo baya sana

Hii hali ipo hivi ni kama vile umekodisha jengo mtu akaweka supermarket kubwa ambayo kwa mwezi anapata faida milioni kumi lakini wewe kodi yako unalipwa elfu 50 tu ndivyo ilivyo kwa uwekezaji wa sasa

Bila kuvuruga mikataba iliyopita ilitakiwa rasilimali mpya zinazogundulika kwa sasa mafuta ges na madini ziwe gorvernment ownership kwa zaidi ya 50%
Tusipofanya hivi tutapata wapi mapato?Mfano Saudia arabia,Qatar,Brunei ni mifano tu ambapo government ownership kwenye rasilimali za mafuta na gas ni kubwa sana
Hii ndo njia pekee ya nchi kupata mapato

2.Kuinua sekta ya kilimo
Serikali ipambane tuwe na kilimo cha kufa na kupona huku kukiwa na mkakati wa kutafuta soko la ndani na la nje ya nchi yetu

3.Kuinua sekta ya utaliii
Kuutangaza utalii wa Tanzania kwa nguvu zote

4.TISS ya kiuchumi
Kuiboresha taasisi ya usalama kuanza kushugulika na ujasusi wa kiuchumi sio wa kisiasa tu wabase na kwenye uchumi pia

5.Kuwekeza kwenye elimu ya ujasiriamali na teknolojia
Lazima tuwekeze kwenye elimu ya kivitendo mfano utengenezaji wa bidhaa na teknolojia ifundishwe kwa vitendo toka darasa la kwanza

6.Kujenga viwanda na uwekezaji

Viwanda ni roho ya uchumi kupitia viwanda tutakua tunapata kodi kubwa sana na ajira za kutosha

Mkakati wa viwanda ni kuhakikisha kila balozi wa Tz katika nchi mbalimbali wanaleta wawekezaji nchini kwa mfano Kuna nchi 50 duniani zilizoendelea na zinaendelea kwa kasi duniani tunaweza tukaleta mkakati kuwa kila balozi wa tz katika nchi husika kwa mwaka apambane alete wawekezaji 200 ambavyo ni viwanda 200 kila mwaka na ambaye hawezi aache kazi na iwe ni kama kiapo au vigezo vya kuwa balozi wa Tanzania katika nchi nyingine
Piga mahesabu kila balozi wa tz akileta viwanda 200 ukipiga tukipata kwa nchi hizo 50 kwa mwaka ni viwanda 10000 kwa miaka mitano ni viwanda 500,000 hapo ni kwa nchi 50 tu zilizoendelea hapo sijaweka nchi nyingine

HUO NI MTAZAMO WANGU NABS MIXED ECONOMY ...Nadhani hii itapunguza kama sio kuondoa umasikini tz
 
Habari wakuu...

Kikubwa tunachokitazama kwa sasa kwa nchi zetu hizi changa ni mbinu za kuzifanya ziondokane na umasikini

Hii ndo njia pekee ya kupunguza umasikini nchi hii

Kwanza tuna rasilimali za kutosha cha kwanza ambacho tunapaswa kufanya ni:-

1.kuanzisha mkakati wa kila rasilimali zenye thamani kubwa kama madini mafuta na gas, gorvernment ownership iwe ni 100% au hata 50% maana mfano tu ingekua ges yetu ni government ownership kwa 100 au 90% kwa makampuni yake tungekuwa mbali sana kwasababu mitungi na hiyo ges ingeuzwa na hiyo pesa ingeingia kwenye government mapato yangekua ni makubwa sana yaani matrilioni tofauti na sasa ambavyo kwa mfano ges yetu wanamiliki wawekezaji ambapo serikali inafaidi kodi tu ambayo ni jambo baya sana

Hii hali ipo hivi ni kama vile umekodisha jengo mtu akaweka supermarket kubwa ambayo kwa mwezi anapata faida milioni kumi lakini wewe kodi yako unalipwa elfu 50 tu ndivyo ilivyo kwa uwekezaji wa sasa

Bila kuvuruga mikataba iliyopita ilitakiwa rasilimali mpya zinazogundulika kwa sasa mafuta ges na madini ziwe gorvernment ownership kwa zaidi ya 50%
Tusipofanya hivi tutapata wapi mapato?Mfano Saudia arabia,Qatar,Brunei ni mifano tu ambapo government ownership kwenye rasilimali za mafuta na gas ni kubwa sana
Hii ndo njia pekee ya nchi kupata mapato

2.Kuinua sekta ya kilimo
Serikali ipambane tuwe na kilimo cha kufa na kupona huku kukiwa na mkakati wa kutafuta soko la ndani na la nje ya nchi yetu

3.Kuinua sekta ya utaliii
Kuutangaza utalii wa Tanzania kwa nguvu zote

4.TISS ya kiuchumi
Kuiboresha taasisi ya usalama kuanza kushugulika na ujasusi wa kiuchumi sio wa kisiasa tu wabase na kwenye uchumi pia

5.Kuwekeza kwenye elimu ya ujasiriamali na teknolojia
Lazima tuwekeze kwenye elimu ya kivitendo mfano utengenezaji wa bidhaa na teknolojia ifundishwe kwa vitendo toka darasa la kwanza

6.Kujenga viwanda na uwekezaji

Viwanda ni roho ya uchumi kupitia viwanda tutakua tunapata kodi kubwa sana na ajira za kutosha

Mkakati wa viwanda ni kuhakikisha kila balozi wa Tz katika nchi mbalimbali wanaleta wawekezaji nchini kwa mfano Kuna nchi 50 duniani zilizoendelea na zinaendelea kwa kasi duniani tunaweza tukaleta mkakati kuwa kila balozi wa tz katika nchi husika kwa mwaka apambane alete wawekezaji 200 ambavyo ni viwanda 200 kila mwaka na ambaye hawezi aache kazi na iwe ni kama kiapo au vigezo vya kuwa balozi wa Tanzania katika nchi nyingine
Piga mahesabu kila balozi wa tz akileta viwanda 200 ukipiga tukipata kwa nchi hizo 50 kwa mwaka ni viwanda 10000 kwa miaka mitano ni viwanda 500,000 hapo ni kwa nchi 50 tu zilizoendelea hapo sijaweka nchi nyingine

HUO NI MTAZAMO WANGU NABS MIXED ECONOMY ...Nadhani hii itapunguza kama sio kuondoa umasikini tz
Ivi wewe jamaa unajua maana ya umiliki wa asilimia zaidi ya 50% achana na mia kwenye uwekezaji wa madini au mafuta. Unajua kua mitaji inayo wekwa na ao wawekezaji ni ma trilion ya Cash ambayo ndio yanawapa umiliki wa asilimia zaidi ya 50?
Izo pesa zinazo wekwa na ao jamaa ni trilion na zinakopwa kwenye mabenk makubwa uko kwao tena si mtu mmoja ni share. Kama unafikir ingekua rais kias icho serikali zamani ingekua inamiliki visima vyake vya mafuta na kuchimba madini nchini.

Iv ulimwelewa wazir Muhongo alipo waambia wawekezaji wa apa nchini hawana uwezo wa kumililiki vitalu vya mafuta na gesi akawashauri waendelee na kuwekeza kwenye juis na soda jambo ambalo wamelielewa na wanalifanyia kazi!!
 
Ivi wewe jamaa unajua maana ya umiliki wa asilimia zaidi ya 50% achana na mia kwenye uwekezaji wa madini au mafuta. Unajua kua mitaji inayo wekwa na ao wawekezaji ni ma trilion ya Cash ambayo ndio yanawapa umiliki wa asilimia zaidi ya 50?
Izo pesa zinazo wekwa na ao jamaa ni trilion na zinakopwa kwenye mabenk makubwa uko kwao tena si mtu mmoja ni share. Kama unafikir ingekua rais kias icho serikali zamani ingekua inamiliki visima vyake vya mafuta na kuchimba madini nchini.

Iv ulimwelewa wazir Muhongo alipo waambia wawekezaji wa apa nchini hawana uwezo wa kumililiki vitalu vya mafuta na gesi akawashauri waendelee na kuwekeza kwenye juis na soda jambo ambalo wamelielewa na wanalifanyia kazi!!
Mbona nchi nyingi zimeweza??
 
Mleta maada umeleta kitu "ideal". Yaani ingefaa sana kuwa hivyo ila kwa sasa haiwezekani. Narudia, acha kuota ~ haiwezekani.

Tumekwisha gawa rasilimali zote kwa hao wanaoitwa wawekezaji. Sasa ukijaribu kurejesha huo umiliki upinzani unaokutana nao ni mkubwa sana.

Yaani unatafuta "madhambi" ya mwekezaji ili umlazimishe mkae upya mezani na uyatumie kama bargaining chip lakini cha ajabu unakumbana na upinzani "kutoka kwa wananchi wako mwenyewe". Kejeli kibao. "Huwawezi'. "Waache, hizo ni mali zao ~ watatushitaki MIGA".

Kumbuka hapo unang'ang'ana kuongeza umiliki kutoka 4% kwenda 16%!!. Sasa ndugu mleta maada, hiyo 90-100% itawezekanaje? Wananchi si wataingia barabarani? Hata ikiwezekana, hizo $billions atayekukopesha nani?

Wazo zuri sana. Unaonekana mzalendo sana ila hujaijua " demokrasia" ya bongo bado. Hiyo huwa inamaanisha hata kwenda kinyume na maslahi ya Taifa ili tu kukamilisha "upinzani".
 
Mleta maada umeleta kitu "ideal". Yaani ingefaa sana kuwa hivyo ila kwa sasa haiwezekani. Narudia, acha kuota ~ haiwezekani.

Tumekwisha gawa rasilimali zote kwa hao wanaoitwa wawekezaji. Sasa ukijaribu kurejesha huo umiliki upinzani unaokutana nao ni mkubwa sana.

Yaani unatafuta "madhambi" ya mwekezaji ili umlazimishe mkae upya mezani na uyatumie kama bargaining chip lakini cha ajabu unakumbana na upinzani "kutoka kwa wananchi wako mwenyewe". Kejeli kibao. "Huwawezi'. "Waache, hizo ni mali zao ~ watatushitaki MIGA".

Kumbuka hapo unang'ang'ana kuongeza umiliki kutoka 4% kwenda 16%!!. Sasa ndugu mleta maada, hiyo 90-100% itawezekanaje? Wananchi si wataingia barabarani? Hata ikiwezekana, hizo $billions atayekukopesha nani?

Wazo zuri sana. Unaonekana mzalendo sana ila hujaijua " demokrasia" ya bongo bado. Hiyo huwa inamaanisha hata kwenda kinyume na maslahi ya Taifa ili tu kukamilisha "upinzani".
Upo sahihi sana yaani mtazamo wako kama wangu tu huwa nalitizama hili swala km mm ndo maana nilijaribu kuwaza kwamba kama kuna rasilimal mpya tutagundua au ambazo hatujazigawa zifanyiwe huo utaratibu nilioueleza hapo

By the way hili bandiko lako limezidi kuniumiza sana maana na mimi nina mawazo kama yako hakika waliozigawa kabla kwa mikataba mibovu ni wa kulaaniwa mpaka kaburini
 
Nchi gani kwa mfano. Iliyorejesha umiliki wa rasilimali zake za msingi kutoka kwa "wawekezaji"?
Sijazungumza kurejesha...aiseed kurejesha ni ngumu sana ile mikataba ni kama supa glue

Tunaweza kwa kupitia uvumbuzi wa hizi rasilimali ambazo bado hazijaguswa wala kuwekewa mkataba wowote yaan hizi ambazo bado hazijaguswa au ambazo zitakuja kugunduliwa mbeleni
 
Mawazo yako yana tija sana... ila kwa sasa tume concentrate kwenye mambo mengine kabisa...



Cc: mahondaw
 
Yaani unatafuta "madhambi" ya mwekezaji ili umlazimishe mkae upya mezani na uyatumie kama bargaining chip lakini cha ajabu unakumbana na upinzani "kutoka kwa wananchi wako mwenyewe". Kejeli kibao. "Huwawezi'. "Waache, hizo ni mali zao ~ watatushitaki MIGA".
Ni wapinzani wapi hao wanaopinga nchi kunufaika na mali zake. Kwani hizo mali ziliponadiwa wapinzani ndio waliozinadi?
Umeharibu mchango wako katika mada hii kuingiza 'propaganda' na siasa za ki-CCM.
 
..wapinzani ndio waliosababisha serekali iachane na madai ya usd 190 billion na kukubali kishika uchumba cha usd 300 million?
 
Back
Top Bottom