Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Kuna baadhi wanadai kuwa mpira hakuna uchawi wakasema na kwa namna Mji wa Sumbawanga ulivyotamalaki katika uchawi basi wangekuwa na Klabu ya Ligi Kuu. Na Nigeria wangechukua Kombe Kombe la dunia.
Akihojiwa na gazeti la michezo la Championi Golikipa wa zamani wa Yanga kwa sasa ni Kocha wa Makipa Juma Pondamali, alisema uchawi unatumika katika soka na yeye anauamini huku akisisitiza uchawi ni utamaduni wa mwafrika.
Kama hiyo haitoshi Nyota wa zamani wa mpira hapa nchini, Sunday Manara Computer, ambaye aliitwa Computer kabla hazijaja nchini kutokana na umahiri wake katika kusakata kabumbu.
Yeye wakati anahojiwa na Azam Tv kabla ya mchezo wa Simba na Yanga alisema kuna mambo ya utaalamu kwa wazee katika mpira wa miguu huku akitoa ushahidi kuwa katika Yanga kuna kitengo maalumu cha wataalamu ambapo wao kazi yao ni hiyo huwezi kuwakataza.
Kwa mukhutadha huo; Yanga walitumia wataalamu kuepuka kipigo kizito..tena kipigo kizito chenye kufedhehesha. Na namna walivyotumia ni hivi, kwa kuwa huwezi kuzuia mashuti yasije golini kwako basi unayadivert uelekeo mwingine.
Kwahivyo ili kufanya hilo mpira wa kwanza ukianza tu piga shuti uelekeo unaotaka basi kitakachofuata hapo mashuti ya mpinzani hayaendi ndani kwa maana kuwa goli..hapo itakuwa Deal done!
View attachment Vidmate_-125378827_1538462362594.mp4.mp4
Akihojiwa na gazeti la michezo la Championi Golikipa wa zamani wa Yanga kwa sasa ni Kocha wa Makipa Juma Pondamali, alisema uchawi unatumika katika soka na yeye anauamini huku akisisitiza uchawi ni utamaduni wa mwafrika.
Kama hiyo haitoshi Nyota wa zamani wa mpira hapa nchini, Sunday Manara Computer, ambaye aliitwa Computer kabla hazijaja nchini kutokana na umahiri wake katika kusakata kabumbu.
Yeye wakati anahojiwa na Azam Tv kabla ya mchezo wa Simba na Yanga alisema kuna mambo ya utaalamu kwa wazee katika mpira wa miguu huku akitoa ushahidi kuwa katika Yanga kuna kitengo maalumu cha wataalamu ambapo wao kazi yao ni hiyo huwezi kuwakataza.
Kwa mukhutadha huo; Yanga walitumia wataalamu kuepuka kipigo kizito..tena kipigo kizito chenye kufedhehesha. Na namna walivyotumia ni hivi, kwa kuwa huwezi kuzuia mashuti yasije golini kwako basi unayadivert uelekeo mwingine.
Kwahivyo ili kufanya hilo mpira wa kwanza ukianza tu piga shuti uelekeo unaotaka basi kitakachofuata hapo mashuti ya mpinzani hayaendi ndani kwa maana kuwa goli..hapo itakuwa Deal done!
View attachment Vidmate_-125378827_1538462362594.mp4.mp4