Hii ndo hali ya Uchawi (Ushirikina) katika mchezo soka hasa watani wa Jadi

Ghazwat

JF-Expert Member
Oct 4, 2015
23,718
66,262
Kuna baadhi wanadai kuwa mpira hakuna uchawi wakasema na kwa namna Mji wa Sumbawanga ulivyotamalaki katika uchawi basi wangekuwa na Klabu ya Ligi Kuu. Na Nigeria wangechukua Kombe Kombe la dunia.

Akihojiwa na gazeti la michezo la Championi Golikipa wa zamani wa Yanga kwa sasa ni Kocha wa Makipa Juma Pondamali, alisema uchawi unatumika katika soka na yeye anauamini huku akisisitiza uchawi ni utamaduni wa mwafrika.

Kama hiyo haitoshi Nyota wa zamani wa mpira hapa nchini, Sunday Manara Computer, ambaye aliitwa Computer kabla hazijaja nchini kutokana na umahiri wake katika kusakata kabumbu.

Yeye wakati anahojiwa na Azam Tv kabla ya mchezo wa Simba na Yanga alisema kuna mambo ya utaalamu kwa wazee katika mpira wa miguu huku akitoa ushahidi kuwa katika Yanga kuna kitengo maalumu cha wataalamu ambapo wao kazi yao ni hiyo huwezi kuwakataza.

Kwa mukhutadha huo; Yanga walitumia wataalamu kuepuka kipigo kizito..tena kipigo kizito chenye kufedhehesha. Na namna walivyotumia ni hivi, kwa kuwa huwezi kuzuia mashuti yasije golini kwako basi unayadivert uelekeo mwingine.

Kwahivyo ili kufanya hilo mpira wa kwanza ukianza tu piga shuti uelekeo unaotaka basi kitakachofuata hapo mashuti ya mpinzani hayaendi ndani kwa maana kuwa goli..hapo itakuwa Deal done!
View attachment Vidmate_-125378827_1538462362594.mp4.mp4
IMG_20181002_121453_071.jpeg
 
Tutaendelea kuburuzwa kila tukitoka ardhi ya nyumbani. Sio kwa ngazi ya vilabu wala team ya taifa.


Mpaka siku tutakapoamua kukubali kuwa mpira ni science na sio ndumba.
 
One fact, that everyone must be aware ni kwamba, hizi hoja za kushtumu yanga na masuala ya uchawi risen mara baada ya simba kushindwa kuifunga yanga. lets be faithful guys, team gani hapa bongo inacheza mpira bila kuanzia kwenye masuala ya ushirikina?? One more in addition manara na wenzake watuambie benchi la ufundi lililopo simba lina kazi gani. And if that is true, mi nafkir ni kuishiwa hoja na ni ujinga wa kiwango wa kiwango cha lami if critical thinker like you to argue fact in objectivity. We all know nigeria is leading country kwenye masuala ya uchawi In Africa, but any simba fan njoo unambie mara ya mwisho kuchUkua afcon, na kwanini hawachukui kila mwaka??? Haya mambo ifikie wakati tuwe free mind sio kila asemalo haji manara mnakitolea mishipa ya shingo na mapovu kukiaminisha ni kweli. Manara ni msemaji wa club and he had something to say after match lakini si haya yahusuyo ushirikina
 
Watu wengine bhana kama bata hata uwalishe kokoto watahara tu.

Hivi wewe na Sunday nani anajua mpira. Ikiwa mimi sijui je unamshinda Sunday wewe aliyeelezea hapo?

Kwa akili kama zako za ndezi unadhani nimetunga ilhali nimekuwekea chanzo hapo..bata maji wewe.



Acha kufuatilia mpira na imani zako za kiboya. Kakae jikoni ukate kate vitunguu.
 
Watu wengine bhana kama bata hata uwalishe kokoto watahara tu.

Hivi wewe na Sunday nani anajua mpira. Ikiwa mimi sijui je unamshinda Sunday wewe aliyeelezea hapo?

Kwa akili kama zako za ndezi unadhani nimetunga ilhali nimekuwekea chanzo hapo..bata maji wewe.
Umepewa akiri ufikirie, sio unapokea kila iambiwacho. Angekuambia kalia moto ingekalia?
 
Kuna baadhi wanadai kuwa mpira hakuna uchawi wakasema na kwa namna Mji wa Sumbawanga ulivyotamalaki katika uchawi basi wangekuwa na Klabu ya Ligi Kuu. Na Nigeria wangechukua Kombe Kombe la dunia.

Akihojiwa na gazeti la michezo la Championi Golikipa wa zamani wa Yanga kwa sasa ni Kocha wa Makipa Juma Pondamali, alisema uchawi unatumika katika soka na yeye anauamini huku akisisitiza uchawi ni utamaduni wa mwafrika.

Kama hiyo haitoshi Nyota wa zamani wa mpira hapa nchini, Sunday Manara Computer, ambaye aliitwa Computer kabla hazijaja nchini kutokana na umahiri wake katika kusakata kabumbu.

Yeye wakati anahojiwa na Azam Tv kabla ya mchezo wa Simba na Yanga alisema kuna mambo ya utaalamu kwa wazee katika mpira wa miguu huku akitoa ushahidi kuwa katika Yanga kuna kitengo maalumu cha wataalamu ambapo wao kazi yao ni hiyo huwezi kuwakataza.

Kwa mukhutadha huo; Yanga walitumia wataalamu kuepuka kipigo kizito..tena kipigo kizito chenye kufedhehesha. Na namna walivyotumia ni hivi, kwa kuwa huwezi kuzuia mashuti yasije golini kwako basi unayadivert uelekeo mwingine.

Kwahivyo ili kufanya hilo mpira wa kwanza ukianza tu piga shuti uelekeo unaotaka basi kitakachofuata hapo mashuti ya mpinzani hayaendi ndani kwa maana kuwa goli..hapo itakuwa Deal done!
View attachment 884673View attachment 884674
Kwahiyo game nyingine mnazoshindaga huwa hawatumii?
 
Sijawahi ona mpira umeanza kwa kutolewa nje,walimbwaya hawa yanga
 
Mkuu hapa japo nimetoa ushahidi wa upande mmoja lakini hata timu zingine zinafanya hivyo.

Na kuna zingine ni uwezo wao tu bila uwanjani.
Kwahiyo game nyingine mnazoshindaga huwa hawatumii?
 
fikiria na hoji ndo nini? Huwezi kujenga hoja ilhali kuandika hujui, huko shule ulikuwa unacheza tu..

Jipange wewe Kinda...Jf ipo acha papara.
Eti kinda, karibu mgeni wa jf, nimeijua kabla yako.
Turudi kwenye mada, acha imani potofu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom