Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,355
- 11,500
Ikitokea Simba kesho imemfunga TP Mazembe. Mimi ntaponda ponda mapumbu yangu kwa nyundo yawe kama uji. Moderators muuache uzi huu nisipoweka ushahidi wa picha hiyo za mapumbu nliyoponda ponda mnifungie siku 3. Kwa kosa la kusema Uongo