Nikiangalia tbc habari zinakuwa zimechacha zinanisababishia kiungulia kwenye akili yangu pia zinakuwa ni kiporo sana hii ni hatari kwa afya ya akili yako.
Tangu Mzee Mzima Tido Mhando aondoke TBC naona mambo yameparanganyika. Zile hisia zilizoanza kujengeka na kuaminika kuwa TBC ni taasisi ya kitaifa, naona inazidi kutoweka. TBC sasa kimekuwa kituo cha propaganda za chama tawala.
Fungueni TV yenu sio hapa JF wako Bias
Nimeamini ninyi ni waongo saa hizi TBC 1 wanajadili Sheria ya migomo yupo Dr Mmbando Kabunduguru Dr Lugakingira Kamishna wa Kazi
Tutamkumbuka Mzee wetu Tido Mhando,
je hakuna private Radio / TV stations nzuri wakampa Ajira..?
ofcoz sasa gazeti la Mwananchi limebadilika sana chini yake, but kwenye TV au Radio ndiyo pake panamfaa sana Mzee wetu Tido..!
Unajua nimeshangaa sana hata BBC SWAHILI leo jioni hawakuzungumuza kabisa juu ya mwendo mzima wa mgomo wa madaktari, nilazima tujiulize kunanini kinaendelea?? Au ndo washazibwa midomo?? Daah hii ndio TZ chini ya Baba liz!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.