Hii ndiyo tofauti ya mabenchi ya ufundi ya klabu za Ulaya na za hapa Tanzania kwetu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,454
108,566
Maana halisi ya Mabenchi ya Ufundi kwa Vilabu ( Timu ) za Ulaya huwa yana Watu wenye Majukumu kama yafuatayo:

1. Kocha Mkuu
2. Kocha Msaidizi
3. Kocha wa Makipa
4. Kocha wa Viungo
5. Kocha wa Washambuliaji
6. Mratibu wa Wachezaji
7. Muandika takwimu na muibuaji Wachezaji wazuri


Maana halisi ya Mabenchi ya Ufundi kwa Vilabu ( Timu ) za Tanzania ( Ukiitoa tu Simba SC ambayo yenyewe inaendeshwa ' Kiprofesheno ' zaidi ) huwa na Watu wenye Majukumu kama yafuatayo:

1. Mganga Mshirikina Mwandamizi
2. Mganga Mshirikina Msaidizi
3. Mshika Mapumbu / Makende muda wote Timu inapokuwa inashambuliwa
4. Mtafuta Mayai Viza
5. Mvunjaji Mayai Viza Mkuu
6. Mpiga Chabo Mkuu katika Vyumba vya Wachezaji wa Timu pinzani
7. Mrusha Njiwa au Mshika Hirizi Mkuu


Halafu mnataka twende AFCON ' thubutu ' yenu!

Nawasilisha.
 
Maana halisi ya Mabenchi ya Ufundi kwa Vilabu ( Timu ) za Ulaya huwa yana Watu wenye Majukumu kama yafuatayo:

1. Kocha Mkuu
2. Kocha Msaidizi
3. Kocha wa Makipa
4. Kocha wa Viungo
5. Kocha wa Washambuliaji
6. Mratibu wa Wachezaji
7. Muandika takwimu na muibuaji Wachezaji wazuri


Maana halisi ya Mabenchi ya Ufundi kwa Vilabu ( Timu ) za Tanzania ( Ukiitoa tu Simba SC ambayo yenyewe inaendeshwa ' Kiprofesheno ' zaidi ) huwa na Watu wenye Majukumu kama yafuatayo:

1. Mganga Mshirikina Mwandamizi
2. Mganga Mshirikina Msaidizi
3. Mshika Mapumbu / Makende muda wote Timu inapokuwa inashambuliwa
4. Mtafuta Mayai Viza
5. Mvunjaji Mayai Viza Mkuu
6. Mpiga Chabo Mkuu katika Vyumba vya Wachezaji wa Timu pinzani
7. Mrusha Njiwa au Mshika Hirizi Mkuu


Halafu mnataka twende AFCON ' thubutu ' yenu!

Nawasilisha.
Umepuliza cha Tarime mkuu
 
huyo kocha wa washambuliaji ndo Kwanza namsikia n hakuna kocha wa viungo Bali ni mtaalam wa mazoezi ya viungo (PT)
head coach
assistance coach
goalkeeping coach
physical trainer
doctor/sports doctor
messiuse
kit manager etc
 
Maana halisi ya Mabenchi ya Ufundi kwa Vilabu ( Timu ) za Ulaya huwa yana Watu wenye Majukumu kama yafuatayo:

1. Kocha Mkuu
2. Kocha Msaidizi
3. Kocha wa Makipa
4. Kocha wa Viungo
5. Kocha wa Washambuliaji
6. Mratibu wa Wachezaji
7. Muandika takwimu na muibuaji Wachezaji wazuri


Maana halisi ya Mabenchi ya Ufundi kwa Vilabu ( Timu ) za Tanzania ( Ukiitoa tu Simba SC ambayo yenyewe inaendeshwa ' Kiprofesheno ' zaidi ) huwa na Watu wenye Majukumu kama yafuatayo:

1. Mganga Mshirikina Mwandamizi
2. Mganga Mshirikina Msaidizi
3. Mshika Mapumbu / Makende muda wote Timu inapokuwa inashambuliwa
4. Mtafuta Mayai Viza
5. Mvunjaji Mayai Viza Mkuu
6. Mpiga Chabo Mkuu katika Vyumba vya Wachezaji wa Timu pinzani
7. Mrusha Njiwa au Mshika Hirizi Mkuu


Halafu mnataka twende AFCON ' thubutu ' yenu!

Nawasilisha.
Hatukuwaona Rwanda Afcon, kumbe wao hawarogi halafu wanafungwa na timu zinazoroga
 
Soka la bongo, kuna kocha wa marefa, huyu ndio huratibu mipango na mikakati yote ya kumuhonga refa mpira ukiwa unaendelea na refa yuko uwanjani anachezesha
 
Maana halisi ya Mabenchi ya Ufundi kwa Vilabu ( Timu ) za Ulaya huwa yana Watu wenye Majukumu kama yafuatayo:

1. Kocha Mkuu
2. Kocha Msaidizi
3. Kocha wa Makipa
4. Kocha wa Viungo
5. Kocha wa Washambuliaji
6. Mratibu wa Wachezaji
7. Muandika takwimu na muibuaji Wachezaji wazuri

Maana halisi ya Mabenchi ya Ufundi kwa Vilabu ( Timu ) za Tanzania ( Ukiitoa tu Simba SC ambayo yenyewe inaendeshwa ' Kiprofesheno ' zaidi ) huwa na Watu wenye Majukumu kama yafuatayo:

1. Mganga Mshirikina Mwandamizi
2. Mganga Mshirikina Msaidizi
3. Mshika Mapumbu / Makende muda wote Timu inapokuwa inashambuliwa
4. Mtafuta Mayai Viza
5. Mvunjaji Mayai Viza Mkuu
6. Mpiga Chabo Mkuu katika Vyumba vya Wachezaji wa Timu pinzani
7. Mrusha Njiwa au Mshika Hirizi Mkuu

Halafu mnataka twende AFCON ' thubutu ' yenu!

Nawasilisha.
Umeelezea vizuri sana hilo benchi la ufundi la timu zetu ( ukiondoa Simba) . Nadhani utakuwa umefanya utafiti wa kina sana.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Maana halisi ya Mabenchi ya Ufundi kwa Vilabu ( Timu ) za Ulaya huwa yana Watu wenye Majukumu kama yafuatayo:

1. Kocha Mkuu
2. Kocha Msaidizi
3. Kocha wa Makipa
4. Kocha wa Viungo
5. Kocha wa Washambuliaji
6. Mratibu wa Wachezaji
7. Muandika takwimu na muibuaji Wachezaji wazuri

Maana halisi ya Mabenchi ya Ufundi kwa Vilabu ( Timu ) za Tanzania ( Ukiitoa tu Simba SC ambayo yenyewe inaendeshwa ' Kiprofesheno ' zaidi ) huwa na Watu wenye Majukumu kama yafuatayo:

1. Mganga Mshirikina Mwandamizi
2. Mganga Mshirikina Msaidizi
3. Mshika Mapumbu / Makende muda wote Timu inapokuwa inashambuliwa
4. Mtafuta Mayai Viza
5. Mvunjaji Mayai Viza Mkuu
6. Mpiga Chabo Mkuu katika Vyumba vya Wachezaji wa Timu pinzani
7. Mrusha Njiwa au Mshika Hirizi Mkuu

Halafu mnataka twende AFCON ' thubutu ' yenu!

Nawasilisha.
Hapa Zahera yupo namba ngapi?
 
Back
Top Bottom