k29
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 725
- 1,193
Hivi Waandaaji wa ' Olympic ' hawawezi wakaongeza Mchezo mpya wa ' Utekaji ' ili kila Msimu Tanzania tunyanyue tu Makwapa ( namaanisha tubebe Kombe? )
Hapa tunaeza hata kuteka kombe lenyewe
Hivi Waandaaji wa ' Olympic ' hawawezi wakaongeza Mchezo mpya wa ' Utekaji ' ili kila Msimu Tanzania tunyanyue tu Makwapa ( namaanisha tubebe Kombe? )
Hapa tunaeza hata kuteka kombe lenyewe
Ao wote wamecheza game zao home...
Kwani Wewe ' Games ' zako zingine zilizopita ulichezea Ugenini tu na hakuna hata ambazo ulizichezea Nyumbani Tanzania?
Uganda ugenini... cape verd ugenini.... lesotho ilikua kesi maalumu kwa sababu kipindi kile tulikua na hali mbaya sana
Tumuache Samatta maana pengine ana mawazo kwa nini hajamtembelea Lissu.Mimi Timu ikitua na nikipewa Kazi ya ' Kumteka ' Samatta kwakuwa hatufungii Taifa Stars kama wafanyavyo Washambuliaji wenzake wanaocheza nje kama Faruk Miya ( Uganda Cranes ) na Victor Wanyama ( Harambee Stars ) nitakuwa tayari kwani kusema ukweli naanza kutoona ' impact ' yake ndani ya Timu yetu ya Taifa tofauti na vile ninavyokuwa nikimuona akiwa Klabuni Kwake FC Genk huko Ubelgiji ( Belgium )
Nchi Kubwa halafu haina mikakati wala kipaumbele lakini majirani zetu kila uchao wanatuacha tu huku wakizidi kutushangaa pia.
Hivi Waandaaji wa ' Olympic ' hawawezi wakaongeza Mchezo mpya wa ' Utekaji ' ili kila Msimu Tanzania tunyanyue tu Makwapa ( namaanisha tubebe Kombe? )
Lakini Waganda na Wakenya hizo tatu wamezipiga kwenye viwanja vya nyumbani.Ebu sisi tusiwahi kujihukumu tusubiri kesho 16 Oct baada ya filimbi ya kumaliza mpiraUganda 3 Lesotho 0
Kenya 3 Ethiopia 0
Tanzania 0 Cape Verde 3
Kazi ipo hakyanani na tunachoweza / tunachomudu ni ' Kutekana ' tu tena Saa 11 za Alfajiri!
Nawasilisha.
Mungu hakupi vyote mkuuu kutekana ndio kipaji chetu.Uganda 3 Lesotho 0
Kenya 3 Ethiopia 0
Tanzania 0 Cape Verde 3
Kazi ipo hakyanani na tunachoweza / tunachomudu ni ' Kutekana ' tu tena Saa 11 za Alfajiri!
Nawasilisha.
Mikakati ipo mf: kufikia desemba hatutoruhusu kujiungaNchi Kubwa halafu haina mikakati wala kipaumbele lakini majirani zetu kila uchao wanatuacha tu huku wakizidi kutushangaa pia.
Ukishafanywa rasmi tu tunapigwa mchana kweupe!! Sisi hatuwezi vitu rasmi.Hivi Waandaaji wa ' Olympic ' hawawezi wakaongeza Mchezo mpya wa ' Utekaji ' ili kila Msimu Tanzania tunyanyue tu Makwapa ( namaanisha tubebe Kombe? )
Una ' Hoja ' nyepesi halafu za ' Kitoto ' sana. Jitahidi Kwanza ujielimishe zaidi juu ya masuala ya Mpira na ukiona sasa umefuzu rudi tena hapa. Wewe unadhani Rais Mstaafu wa Awamu wa Pili Alhaji Mzee Ally Hassan Mwinyi aliposema Tanzania ni Kichwa cha Mwendawazimu alikosea?
Lakini Waganda na Wakenya hizo tatu wamezipiga kwenye viwanja vya nyumbani.Ebu sisi tusiwahi kujihukumu tusubiri kesho 16 Oct baada ya filimbi ya kumaliza mpira