Vaislay JF-Expert Member Jun 26, 2011 4,532 1,822 May 24, 2014 #1 Mwisho sijui ni lini? Attachments 1240638_547982871979358_6894503808356377523_n.jpg 56 KB · Views: 624
kabanga JF-Expert Member Dec 12, 2011 37,205 18,475 May 24, 2014 #4 Bulldog said: Halafu tunakatwa PAYE Click to expand... acha tu....
rushanju JF-Expert Member Nov 3, 2011 3,130 4,620 May 24, 2014 #5 Tukiuza viwanda uchumi utaimarika na watoto watapata viti mashuleni na maisha yatakuwa bora kwa kila Mtanzania
Tukiuza viwanda uchumi utaimarika na watoto watapata viti mashuleni na maisha yatakuwa bora kwa kila Mtanzania
mtwa mkulu JF-Expert Member Sep 11, 2013 8,098 9,994 May 24, 2014 #6 ondoa picha unamkumbusha mbali tundulisu
Ndibalema JF-Expert Member Apr 26, 2008 10,956 4,648 May 24, 2014 #7 Bado kidogo nikane niseme sio Tanzania hapo lakini dogo wa nyuma kabisa aliyevaa sweta ameniumbua.
MUSSA ALLAN JF-Expert Member Oct 13, 2013 18,925 13,259 May 24, 2014 #8 Jimbo la Tundu Lissu wananchi wanateseka sana. Yote hii inasababishwa na Mbunge kutokuwa na vipaumbele.
Jimbo la Tundu Lissu wananchi wanateseka sana. Yote hii inasababishwa na Mbunge kutokuwa na vipaumbele.
mankachara JF-Expert Member Sep 27, 2013 6,140 3,451 May 24, 2014 #9 Kwani hii picha imepigwa jimboni kwa tundu lissu
Marire JF-Expert Member May 1, 2012 12,326 5,266 May 24, 2014 #10 Photoshop hii. Tanzania si wanauza magogo nje ya nchi na hakuna mkoa hauna msitu wa mbao hata dar kuna mabwepande! loh
Photoshop hii. Tanzania si wanauza magogo nje ya nchi na hakuna mkoa hauna msitu wa mbao hata dar kuna mabwepande! loh
M Mp Kalix2 JF-Expert Member Oct 4, 2010 5,940 3,041 May 24, 2014 #12 Ndibalema said: Bado kidogo nikane niseme sio Tanzania hapo lakini dogo wa nyuma kabisa aliyevaa sweta ameniumbua. Click to expand... Hawa mbona afadhali mkuu wako ndani ya mjengo ati!
Ndibalema said: Bado kidogo nikane niseme sio Tanzania hapo lakini dogo wa nyuma kabisa aliyevaa sweta ameniumbua. Click to expand... Hawa mbona afadhali mkuu wako ndani ya mjengo ati!