Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
Kikwete naye atakuja na lake, kama atapita hapa ataishia kuwambia anaunda tume ya kuchunguza hili pia, Maana yule naye kwa tume mpaka singine tunazisahau kwa sababu simekuwa nyingi mno na nyingi ni tume za kinafiki tu
Na baadaye kutakuwa na tume ya kuchunguza haya yaliyochunguzwa na hiyo tume ya kwanza ya kuchunguza kamati ya ushauri ambayo ilikuwa inachunguza ushauri wa Thailand kusaidia Tanzania kutengeneza mvua ili kusaidia TRA iweze kuosha magari mengi inayoyashikilia bila sababu za msingi pale bandarini.