Vancomycin
Senior Member
- Jan 7, 2011
- 171
- 111
|
| |
|
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
|
| |
|
Wakati umefika tusizungushane na kuhadaiana; kama mafanikio yaliyopo leo Tanzania ni matokeo ya sera nzuri na uongozi mzuri wa CCM basi matatizo yaliyopo nayo ni lazima wawe tayari kuyakubali kuwa yametokana na sera na uongozi wao mbaya. Haiwezekani kocha apewe sifa wakati timu imeshinda lakini wakati timu ikifungwa tuanze kutafuta wachawi!
Sasa hapo kuna siri yoyote uliyotoa au ni mwendelezo wa makelele ya Slaa anapokuwa jukwaani? We Mwanakijiji maandiko yako mengi huwa hayana mashiko kabisa na yanabeba maelezo marefu yanayojirudiarudia. Unashindwa hata na Kubenea kwa kujenga hoja zenye mvuto lakini kwa kutumia maneno machache.
EwaaH!! hata Kingunge amechekelea hongera mwanakijijiAmen, kuna wakati huwa unaamua kuwa fair.
<br /><font size="4">Good analysis.<br />
One day in history, one philosopher named <b>MALCOLM X</b> Uttered these words "...nobody can give you freedom, nobody can give you equality or even justice. If you are a man take it..."<br />
<br />
I like these words and what this analysis depicts, it is high time <b><i>CCM </i></b>to call a spade a spade and not a big spoon</font>
Sasa hapo kuna siri yoyote uliyotoa au ni mwendelezo wa makelele ya Slaa anapokuwa jukwaani? We Mwanakijiji maandiko yako mengi huwa hayana mashiko kabisa na yanabeba maelezo marefu yanayojirudiarudia. Unashindwa hata na Kubenea kwa kujenga hoja zenye mvuto lakini kwa kutumia maneno machache.