Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,234
Unakuta jimbo lako watia nia ndani ya chama wapo zaidi ya 17, halafu kwa utaratibu mpya Kamati kuu inatakiwa kuteua majina matatu tu ndiyo yakapigiwe kura za maoni. Na Magufuli ndiye Mwenyekiti wa chama na kamati kuu.
Hivi katika mazingira hayo hata mngekuwa nyie mngefanya nini?
Hebu basi tujaribu kuwa waelewa basi, tunapoona watu wanasifu mpaka wanakufuru wanamwita JPM Mungu tuwavumilie hali ni mbaya huko ndani.
Kilichopo ni ama uteuliwe ugombee na usipoteuliwa kugombea nafasi ya kuteuliwa uDC na uRC nazo ni finyu list ni ndefu sana.
Hivyo kadri unavyofanya bidii kusifu ndiyo odds za kuula zinaongezeka
Hivi katika mazingira hayo hata mngekuwa nyie mngefanya nini?
Hebu basi tujaribu kuwa waelewa basi, tunapoona watu wanasifu mpaka wanakufuru wanamwita JPM Mungu tuwavumilie hali ni mbaya huko ndani.
Kilichopo ni ama uteuliwe ugombee na usipoteuliwa kugombea nafasi ya kuteuliwa uDC na uRC nazo ni finyu list ni ndefu sana.
Hivyo kadri unavyofanya bidii kusifu ndiyo odds za kuula zinaongezeka