Igombe fisherman
JF-Expert Member
- Apr 28, 2017
- 2,020
- 3,552
Nashukuru kwa masahihisho mkuu. Ila shule ya kata haijahusika kwangu. Mi nimesoma shule ya kijijiSiyo " zuru" ni dhuru
Siyo "mkari" ni mkali ,nyie shule za kata vipi?
Nashukuru kwa masahihisho mkuu. Ila shule ya kata haijahusika kwangu. Mi nimesoma shule ya kijijiSiyo " zuru" ni dhuru
Siyo "mkari" ni mkali ,nyie shule za kata vipi?
Kwahiyo shule za kata ndio wanakosea? Huyo saa ajabu kasoma private school na kalipa ada mamilioniSiyo " zuru" ni dhuru
Siyo "mkari" ni mkali ,nyie shule za kata vipi?
Hilo eneo baharia le mutuz kapita sana, walikuwa wanaingia kwenye huo mkondo unawazungusha siku tatu then unawaachia waendelee na safari.
hahahaaHebu muacheni Waziri Mkuu mstaafu apumzike jmn.
hahahaa
Le mutuz alikuwa hataki kabisa kuishi kwa title ya baba yake. Alitaka life yake yeye kama yeye.
Hamna cha shetani wala nini isipokuwa ni sehemu ambayo pepo kali za bahari hiyo ya arctic hukutanaBahari hii inayopatikana katika bahari ya atlantic inasemekana ni sehemu pekee ambapo zaidi ya meli 50 na ndege 20 zimepotea katika eneo hilo moja.
Hali inaonekana kuwaacha vinywa wazi wanasayansi wengi kwani chanzo hasa cha kupotea kwa meli na ndege hizi bado ni fumbo, inasemekana Christopher Columbus alipita eneo hilo na alipokaribia dira yake iliacha kufanya kazi hali iliyompa taharuki kubwa.
Tukio kubwa na la kushangaza kuhusu eneo hili ni kuzama na kupotea kwa ndege sita za jeshi la Marekani zilizokuwa zinafanya mazoezi na kupita eneo hili kwa bahati mbaya na mpaka leo hazijawahi kuonekana mpaka leo
Mwenye kujua zaidi kuhusu hili anaweza kutupa lolote hasa kuhusu ni hasa kinachopelekea eneo hili kuwa hatari zaidi
Jibu lishapatikana kitambo sana kwenye nchi za watu huko kwetu ndo kwanza watu wanaenda kuomba chatu yule wa chato awape barakaZipo thread nyiangi sana zinazohusu hii Bermuda Triangle
Tafuta yenye wachangiaji wengi usome labda utapata mwangaza, maana jibu sahihi halijapatikana
Pia kuna Dragon triangle
Ni imani yao jamani waache waaminiJibu lishapatikana kitambo sana kwenye nchi za watu huko kwetu ndo kwanza watu wanaenda kuomba chatu yule wa chato awape baraka
mmh!Makazi ya masih dajjal hayo.
Sorry, naomba kukuuliza swali; Umewahi kupanda ndege na ukakatisha bahari kubwa?? Usikasirike tafadhaliMkondo wa maji hauwezi zuru ndege iliyo angani. Siamini kama kuna shetani pale ila pia siamini kama chanzo cha yote ni mkondo mkari wa maji. Labda kama huo mkondo utakuwa unatengenezwa na kimbunga
Sijawahi kupanda ndege. Ila kutowahi kwangu kupanda ndege hakufanyi nisihisi mfumo mzima wa wanaosafiri katika ndege.Sorry, naomba kukuuliza swali; Umewahi kupanda ndege na ukakatisha bahari kubwa?? Usikasirike tafadhali
Basi hata huko kwenye ndege kukitokea mabadiliko ya hewa huleteleza madhara kwa wasafiri na ndege yenyewe.Sijawahi kupanda ndege. Ila kutowahi kwangu kupanda ndege hakufanyi nisihisi mfumo mzima wa wanaosafiri katika ndege.
Kama aliwahi kusema hivyo basi aliwadanganya. Ki ukweli wanasayansi bado hawajapata jibu kuna nini hasa hapo na huyo mtu mumsemaye kwa madai yake alikuwa idara ya engineering hivyo hawezi kuwa na ufahamu mkubwa kuhusu hilo. Kama ingalikuwa kuna maelezo ya kitaalamu basi mimi ningekuwa mmoja wa watu wenye taarifa sahihi si tu kwasababu nimekrosi sana maeneo hayo, bali pia nina elimu ya kutosha kwenye fani hiyoHilo eneo baharia le mutuz kapita sana, walikuwa wanaingia kwenye huo mkondo unawazungusha siku tatu then unawaachia waendelee na safari.
Source plz, or it didnt happenBahari hii inayopatikana katika bahari ya atlantic inasemekana ni sehemu pekee ambapo zaidi ya meli 50 na ndege 20 zimepotea katika eneo hilo moja.
Hali inaonekana kuwaacha vinywa wazi wanasayansi wengi kwani chanzo hasa cha kupotea kwa meli na ndege hizi bado ni fumbo, inasemekana Christopher Columbus alipita eneo hilo na alipokaribia dira yake iliacha kufanya kazi hali iliyompa taharuki kubwa.
Tukio kubwa na la kushangaza kuhusu eneo hili ni kuzama na kupotea kwa ndege sita za jeshi la Marekani zilizokuwa zinafanya mazoezi na kupita eneo hili kwa bahati mbaya na mpaka leo hazijawahi kuonekana mpaka leo
Mwenye kujua zaidi kuhusu hili anaweza kutupa lolote hasa kuhusu ni hasa kinachopelekea eneo hili kuwa hatari zaidi
Mkondo wa maji hauwezi zuru ndege iliyo angani. Siamini kama kuna shetani pale ila pia siamini kama chanzo cha yote ni mkondo mkari wa maji. Labda kama huo mkondo utakuwa unatengenezwa na kimbunga
Sasa ccm inahusika vipi hapa?Mkuu zuru na mkari una maanisha nini???? Au ndiyo dhuru na mkali ?? Ccm bhana mnakera sana