Hii ndiyo parking ya magari ya wanafunzi wa American university of Dubai,ebu ona magari ya wanafunzi

Money Stunna

JF-Expert Member
Aug 9, 2011
13,054
6,281
1470690_car_jpg9cee6c38160561ab4e619a1c1e7f9e3d

1470691_car_2_jpga8a36d1c6a645e9487b44efab42ca0bf

1470692_car_3_jpg17d001cc99afecf3a24be96d963fb4cd

1470693_car_4_jpg48d417b0e0ce656cafca5915b6b4afe4


more pics...
1470700_car_5_jpgdcee2f18f30051fa0de32a6656edd5fd

1470701_car_6_jpg0d30c12232399739708d3273b1a4810a

1470702_car_7_jpg01308c251fa4b81693b195cd48f4ef57


more...
1470705_car_8_jpg2804123760dba38f4e0a6576922ee598

1470706_car_9_jpgcb1a03c8d6c98e2a17bc1a1a1dd4408c



A Rolls-Royce, a Ferrari and a black Aston Martin,Bentleys, Range Rovers etc. ni za kumwaga,sijui wanafunzi wa Bongo inakuaje?
wengine vyuo tulivyosoma karibu kila mwanafunzi ana usafiri
 
Ikiwa Wanafunzi wana magari ya kifahari namna hiyo je kuna Mwanafunzi anayesoma kweli hapo? au wanakwenda Picknick? Kujirusha wanafunzi.

Amsterdam_picknick_2004.JPG
 
Ikiwa Wanafunzi wana magari ya kifahari namna hiyo je kuna Mwanafunzi anayesoma kweli hapo? au wanakwenda Picknick? Kujirusha wanafunzi.

Amsterdam_picknick_2004.JPG


kusoma ili kupata cheti tu kutengeneza CV na kukiweka kwenye kabati,na kuendelea na mambo yako,mfano mimi cheti changu na miaka 3 sijawai kukiona kipo kwenye bahasha na ndani ya droo,sina matumizi nacho
 
Pesa ikiwepo bana utajua tu show off nyingi......israf.....

Kweli kbs, hiyo kawaida sana kwa nchi za wenzetu! Ila sisi Tz ni wazalendo, tunajali mazingira ndio mana tunaenda kwa mguu/daladala

Mi mimeshangaa yani watoto kwenye public bus wametoka shule wako na iPhone 5s? Wanachezea game kila mtu na yake, hapo wana iPads... mweeeeee!! Huu uchumi ungekuwa tz sijui ingekuaje!
 
1470690_car_jpg9cee6c38160561ab4e619a1c1e7f9e3d

1470691_car_2_jpga8a36d1c6a645e9487b44efab42ca0bf

1470692_car_3_jpg17d001cc99afecf3a24be96d963fb4cd

1470693_car_4_jpg48d417b0e0ce656cafca5915b6b4afe4


more pics...
1470700_car_5_jpgdcee2f18f30051fa0de32a6656edd5fd

1470701_car_6_jpg0d30c12232399739708d3273b1a4810a

1470702_car_7_jpg01308c251fa4b81693b195cd48f4ef57


more...
1470705_car_8_jpg2804123760dba38f4e0a6576922ee598

1470706_car_9_jpgcb1a03c8d6c98e2a17bc1a1a1dd4408c



A Rolls-Royce, a Ferrari and a black Aston Martin,Bentleys, Range Rovers etc. ni za kumwaga,sijui wanafunzi wa Bongo inakuaje?
wengine vyuo tulivyosoma karibu kila mwanafunzi ana usafiri
sidhani kama kwa mwanafunzi kuwa gari chuoni ni kosa kwani wengine wamezaliwa wanayakuta na wanajua ni maisha ya kawaida! tatizo linakuwa kwa malimbukeni tu!!
 
sidhani kama kwa mwanafunzi kuwa gari chuoni ni kosa kwani wengine wamezaliwa wanayakuta na wanajua ni maisha ya kawaida! tatizo linakuwa kwa malimbukeni tu!!

kwa nchi zilizoendelea ni kawaida ila kwa nchi masikini si jambo la kawaida
 
Wao wanaongeza cv tu ila sisi watz tulio wengi tunasoma ili kutafuta ajira na kuongeza ka cv pia
 
Back
Top Bottom