Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,653
Wakuu habari zenu, poleni na Corona!
Naomba niende kwenye point.
Hili tukio la mdude kukamatwa na siku tatu bila kujulikana nini sababu ya kukamatwa huku akiyimwa dhamana, wengi tulijua kuwa anaundiwa kesi. Na wamefanikiwa 100%.
Kusema ukweli hii kesi mdude hachomoki kama wakina Mbowe ambavyo waliteseka kwenye kesi ya Aqwilina.
Isitoshe, akitaka kuwa mbishi nakutaka kuprove sio guilty, atakaa maabusu muda mrefu sana. Kesi ya kuhujumu uchumi unaweza wekwa maabusu huku ukisubiri ushahidi ukamilike kwa muda usiojulikana.
Ushauri wangu ni: Wanasheria watusaidie tujue kesi ya namna hii kwa sana sana mdude anaweza kuhukumiwa kufungwa kwa muda gani au fine yake ni kiasi gani.
23g ya madawa ya kulevya ni kidogo sana. Kwa uelewa wangu ( legal illiterate) sidhani kama anaweza kuhukumiwa kufungwa zaidi ya miaka 3. Na fine yake kisheria sifikiri kama ni zaidi ya m 200.
Kama watu "wamebatiziwa" kesi za uhujumu uchumi na wakashauriwa wakubali na walipe fine. Kwanini mdude asifanye ivyo?
Tuassume kama hii kesi anaweza kuhukumiwa kulipa fine. And if so, kwanini as plead guilty tu mapema ili asipoteze muda na "wazalendo" tumchangie atoke mapema iwezekanavyo?
Hili ndilo wazo langu ila sijui sheria kiundani labda wahusika na wabobezi katika sheria wanaweza toa ushauri wa kisheria.
Nafikiri ikiwezekana kuwa ivyo, Mdude atapata mileage kwenye vyombo vya habari vya ndani na nje. Na dunia Nzima itaendelea kujua Tanzania ipo chini ya utawala wa aina gani.
Hakuna haja ya Mdude kuonesha kuwa hayupo Guilty. Dunia nzima ukweli tunaujua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba niende kwenye point.
Hili tukio la mdude kukamatwa na siku tatu bila kujulikana nini sababu ya kukamatwa huku akiyimwa dhamana, wengi tulijua kuwa anaundiwa kesi. Na wamefanikiwa 100%.
Kusema ukweli hii kesi mdude hachomoki kama wakina Mbowe ambavyo waliteseka kwenye kesi ya Aqwilina.
Isitoshe, akitaka kuwa mbishi nakutaka kuprove sio guilty, atakaa maabusu muda mrefu sana. Kesi ya kuhujumu uchumi unaweza wekwa maabusu huku ukisubiri ushahidi ukamilike kwa muda usiojulikana.
Ushauri wangu ni: Wanasheria watusaidie tujue kesi ya namna hii kwa sana sana mdude anaweza kuhukumiwa kufungwa kwa muda gani au fine yake ni kiasi gani.
23g ya madawa ya kulevya ni kidogo sana. Kwa uelewa wangu ( legal illiterate) sidhani kama anaweza kuhukumiwa kufungwa zaidi ya miaka 3. Na fine yake kisheria sifikiri kama ni zaidi ya m 200.
Kama watu "wamebatiziwa" kesi za uhujumu uchumi na wakashauriwa wakubali na walipe fine. Kwanini mdude asifanye ivyo?
Tuassume kama hii kesi anaweza kuhukumiwa kulipa fine. And if so, kwanini as plead guilty tu mapema ili asipoteze muda na "wazalendo" tumchangie atoke mapema iwezekanavyo?
Hili ndilo wazo langu ila sijui sheria kiundani labda wahusika na wabobezi katika sheria wanaweza toa ushauri wa kisheria.
Nafikiri ikiwezekana kuwa ivyo, Mdude atapata mileage kwenye vyombo vya habari vya ndani na nje. Na dunia Nzima itaendelea kujua Tanzania ipo chini ya utawala wa aina gani.
Hakuna haja ya Mdude kuonesha kuwa hayupo Guilty. Dunia nzima ukweli tunaujua.
Sent using Jamii Forums mobile app