Hii ndiyo Mbinu ya Simba kupunguza idadi ya magoli ya kufungwa leo

Hii ndiyo Mbinu ya Simba kupunguza idadi ya magoli ya kufungwa leo

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
11,211
Reaction score
22,897
Yaani wajitahidi wafungwe angalau 3 tu maana inaonekana kuna baos 5.na mbinu pekee ya kuwasaidia ni kukabia juu sana. Wakakabie katika goal la Berkane kabisa.

Yaani Simba wakakabe hasa lango mwa Berkane mpira usiwe unavuka hata ile D Sababu ukivuka tu bao. Simba hawana kipa. Wana shati tu pale langoni.

Na leo kuna makosa watafanya mabeki ya kiduanzi sana kisha Berkane watawachapa nao kinyama. Berkane hii game wanamaliza kwao kisha Zanzibar wataenda tu kutalii na kuogelea wakila urojo.

Game si ngumu kwa Berkane. Ni game rahisi sana. Kipindi cha kwanza wana bao 2 na cha pili wana bao 3. Jumla 5.

Ila kama Simba watakabia juu. Basi zinaweza pungua hadi. 3 au 4.
 
walozi njooni tuendeleze ulozi wetu
 
Tangu lini umeiona Simba imefungwa goli 5?
Usiifananishe Simba hii na Simba Ile ya hamsa mjomba. Hii Simba niya 4 kwa ukubwa jombaa.
 
Kwa wastani Utopolo wanaanzisha Thread 20 kwa Lisa kuhusu Mechi ya Mnyama na Bercane
 
Kwamba umesahau mara ya mwisho kupigwa goli 5
Sasa msimu huu simba imefungwa goli tano na nani au ndio umekurupuka bila kuelewa, ndio maana akasema simba hii siyo ile ya msimu uliopita, simba msimu huu haijaruhusu magoli zaidi ya mawili kwenye michuano yoyote iliyoshiriki
 
Sasa msimu huu simba imefungwa goli tano na nani au ndio umekurupuka bila kuelewa, ndio maana akasema simba hii siyo ile ya msimu uliopita, simba msimu huu haijaruhusu magoli zaidi ya mawili kwenye michuano yoyote iliyoshiriki
Leo anza kuhesabu sasa
 
Sasa msimu huu simba imefungwa goli tano na nani au ndio umekurupuka bila kuelewa, ndio maana akasema simba hii siyo ile ya msimu uliopita, simba msimu huu haijaruhusu magoli zaidi ya mawili kwenye michuano yoyote iliyoshiriki
Sasa kutofungwa goli 5 kuna umaalumu gani. Mbona timu nyingi tu mzimu huu hazijafungwa goli hizo.

Huyo simba mwenzako kwenye comment yake mstari wa kwanza kauliza toka lini simba imefungwa goli 5, hajataja kipindi cha mwaka/miaka ndio nikampa assignment avute kumbukumbu lini mara ya mwisho kuchezea hamsa
 
1747511138553.png
1747511138553.png
1747511138553.png
1747511138553.png
 
Sasa kutofungwa goli 5 kuna umaalumu gani. Mbona timu nyingi tu mzimu huu hazijafungwa goli hizo.

Huyo simba mwenzako kwenye comment yake mstari wa kwanza kauliza toka lini simba imefungwa goli 5, hajataja kipindi cha mwaka/miaka ndio nikampa assignment avute kumbukumbu lini mara ya mwisho kuchezea hamsa
Ndio maana nikakuambia acha kukurupuka soma tena comment yake uielewe, mbele ameendelea kwamba simba hii siyo ile ya hamsa sasa wewe kwa kauli hiyo umeshindwa kuelewa kwamba anaongelea msimu huu, hiyo sentensi mbona hata mtoto mdogo tu anaelewa au unadhani yeye muandishi hajui kuwa simba msimu uliopita ilifungwa tano
 
Ndio maana nikakuambia acha kukurupuka soma tena comment yake uielewe, mbele ameendelea kwamba simba hii siyo ile ya hamsa sasa wewe kwa kauli hiyo umeshindwa kuelewa kwamba anaongelea msimu huu, hiyo sentensi mbona hata mtoto mdogo tu anaelewa au unadhani yeye muandishi hajui kuwa simba msimu uliopita ilifungwa tano
Cool down, ni ushabiki tu. Vipi unaangalia mechi? Game ipo half time
 
Back
Top Bottom