MWAKISALU
Senior Member
- Nov 1, 2013
- 100
- 46
Safi sana kaka mtoi. The prblem we have we the people ni kuongea tuuuuuuuu bila kufanya research ya kutosha. Udini uliletwa na wao na sasa unawasumbua. Kubwa ni kuangalia maslahi ya taifa letu na tukianza mambo ya kuangalia fulani ni muislam ama mkristo na tusiangalie uwezo wake wa kufanya kazi tutakuwa tunafnya kosa kubwa sana na hii itakuwa ni kutoitendea haki tanzania yetu na kizazi chetu.