Mbwewe on the way to mkata na ni muda ila nadhani wameiach kwasababu iko kwenye hifadhi ya roadHizi ni picha zimeletwa na mabeberu.
Ndege tutanunua hata mle majani.
Kama kuna mikoa siionei huruma basi miongoni mwao ni Pwani, Hawa watu acha wavune walichokipanda.......
Hawajawahi kutumia akili katika kufanya maamuzi kipindi cha uchaguzi, ikifika kipindi cha uchaguzi wamama wanavaa madera ya chama wanakata viuno kama feni Mbovu. They don't care about their rights... Yani wapi wapi tu,
sijawahi kuwaelewa....
Kuna umbali gani kutoka hapo Bwewe mpaka Msoga?
kakipigwa bati..kamekaa fresh hako ka shuleHuwezi kuamini hii ni shule ya msingi iliopo Halmashauri ya Chalinze Mkoa wa Pwani, Shule ya Msingi Mbwewe.
Kweli tunasafari ndefu sana.View attachment 1250844View attachment 1250845
Iliachwa kwa sababu ipo ktk road reserve
Hii yote sababu ya mabeberu. Lakini ndege zitamaliza haya yote, kuweni na subira!Huwezi kuamini hii ni shule ya msingi iliopo Halmashauri ya Chalinze Mkoa wa Pwani, Shule ya Msingi Mbwewe.
Kweli tunasafari ndefu sana.View attachment 1250844View attachment 1250845
Huwezi kuamini hii ni shule ya msingi iliopo Halmashauri ya Chalinze Mkoa wa Pwani, Shule ya Msingi Mbwewe.
Kweli tunasafari ndefu sana.View attachment 1250844View attachment 1250845
OkayHuwezi kuamini hii ni shule ya msingi iliopo Halmashauri ya Chalinze Mkoa wa Pwani, Shule ya Msingi Mbwewe.
Kweli tunasafari ndefu sana.View attachment 1250844View attachment 1250845
Hivi mnashindwa kupiga picha ya maendeleo yaliyofanywa na rais unaenda kupiga picha shule mbovu iliooachwa na kikwete.wewe mleta mada hii unataka rais kwa miaka. 4 akufanyie mangapi ndio maana tunataka akae milele atuongoze amalize uozo wote ulioachwa na viongozi wengine nakuomba baada ya miaka 20 njoo tena utuonyeshe mahala aliopaacha
Alafu cha ajabu mikoa ambayo huwa Ina upinzani ndo Ina maendeleo ila ile ya ccm huwa ni vichekesho pwani,katavi,ruvuma,dodoma(hii ishukuru kutangazwa makao makuu )Kama kuna mikoa siionei huruma basi miongoni mwao ni Pwani, Hawa watu acha wavune walichokipanda.......
Hawajawahi kutumia akili katika kufanya maamuzi kipindi cha uchaguzi, ikifika kipindi cha uchaguzi wamama wanavaa madera ya chama wanakata viuno kama feni Mbovu. They don't care about their rights... Yani wapi wapi tu,
sijawahi kuwaelewa....