stanleyRuta
JF-Expert Member
- Jul 19, 2014
- 851
- 518
Daaah eee bwana eeh, acha kabisa mkuu. Nakumbuka enzi za epic nationDah tunaimiss sana bilicanas
Daaah eee bwana eeh, acha kabisa mkuu. Nakumbuka enzi za epic nationDah tunaimiss sana bilicanas
Tumelamba sana mademu pale..Long Live MboweDaaah eee bwana eeh, acha kabisa mkuu. Nakumbuka enzi za epic nation
Nani akale Wali Makange 7000 ilihali kuna Chips Kuku 3500? Watu nao Siku hiz Wachumi.Na miaka miwili toka nianza shughuli zangu mikoani hivyo na muda kidogo sijafika maeneo ya Posta, leo nilipanga niende Posta lengo ni kwenda kununua bidhaa , kuna msela wangu mikaa 5 sasa imepita, alikuwa ananiuzia shati, Jeans, Na Makoti ya suti makali ya mtumba kali.
Nasikitika msela wangu sikuweza baada ya kumulizia kwa jamaa niliwakuta kwenye kijiwe hicho walinitonya kuwa jamaa aliamua kuacha biashara baada ya hali ya biashara kuwa ngumu.
Basi niliamua kuungisha jamaa ingawa hakuwa na shati kali kivile, nikaendelee na shopping zangu ilifika muda wa Lunch nilasema ngoja nikapate Lunch pale Brake point ilikuwa mida ya saa 8:30, Dah hali nilioikuta pale nikahisi pamefungwa nini? Nilikuta wateja wasiozidi 8 kwakweli nilishangaa sana, basi nikaagiza msosi wangu nikagonga nikaondoka nikiwa na mawazo sana.
Nikaondoka zangu kufika maeneo ya victoria nikapigiwa simu kuna docs muhimuanahitaji docs ya haraka natakiwa niitume basi nikapata wazo ningie pale makumbusho stand nikaiscan then niitume. Nilipomaliza kuituma nikaenda pale Nexus àngalau kupata bia mbili tatu then niondoke hali niliikuta pale kweli nilifadhaika sana hakuna wateja kabisa.
Jamani hali ni mbaya sana
Angalia picha
View attachment 1698392
Hata bahari ina kupwa na kujaa.Na miaka miwili toka nianza shughuli zangu mikoani hivyo na muda kidogo sijafika maeneo ya Posta, leo nilipanga niende Posta lengo ni kwenda kununua bidhaa , kuna msela wangu mikaa 5 sasa imepita, alikuwa ananiuzia shati, Jeans, Na Makoti ya suti makali ya mtumba kali.
Nasikitika msela wangu sikuweza baada ya kumulizia kwa jamaa niliwakuta kwenye kijiwe hicho walinitonya kuwa jamaa aliamua kuacha biashara baada ya hali ya biashara kuwa ngumu.
Basi niliamua kuungisha jamaa ingawa hakuwa na shati kali kivile, nikaendelee na shopping zangu ilifika muda wa Lunch nilasema ngoja nikapate Lunch pale Brake point ilikuwa mida ya saa 8:30, Dah hali nilioikuta pale nikahisi pamefungwa nini? Nilikuta wateja wasiozidi 8 kwakweli nilishangaa sana, basi nikaagiza msosi wangu nikagonga nikaondoka nikiwa na mawazo sana.
Nikaondoka zangu kufika maeneo ya victoria nikapigiwa simu kuna docs muhimuanahitaji docs ya haraka natakiwa niitume basi nikapata wazo ningie pale makumbusho stand nikaiscan then niitume. Nilipomaliza kuituma nikaenda pale Nexus àngalau kupata bia mbili tatu then niondoke hali niliikuta pale kweli nilifadhaika sana hakuna wateja kabisa.
Jamani hali ni mbaya sana
Angalia picha
View attachment 1698392
Acha kabisa mwanangu........Tumelamba sana mademu pale..Long Live Mbowe
HahahaAcha kabisa mwanangu........
Kababy kangu kamechekeshwa na kucheka balaa
Unashabikia sana junk foods shauri yakoNani akale Wali Makange 7000 ilihali kuna Chips Kuku 3500? Watu nao Siku hiz Wachumi.
"NIKIWA RAIS MTALIMIA MENO"Na miaka miwili toka nianza shughuli zangu mikoani hivyo na muda kidogo sijafika maeneo ya Posta, leo nilipanga niende Posta lengo ni kwenda kununua bidhaa , kuna msela wangu mikaa 5 sasa imepita, alikuwa ananiuzia shati, Jeans, Na Makoti ya suti makali ya mtumba kali.
Nasikitika msela wangu sikuweza baada ya kumulizia kwa jamaa niliwakuta kwenye kijiwe hicho walinitonya kuwa jamaa aliamua kuacha biashara baada ya hali ya biashara kuwa ngumu.
Basi niliamua kuungisha jamaa ingawa hakuwa na shati kali kivile, nikaendelee na shopping zangu ilifika muda wa Lunch nilasema ngoja nikapate Lunch pale Brake point ilikuwa mida ya saa 8:30, Dah hali nilioikuta pale nikahisi pamefungwa nini? Nilikuta wateja wasiozidi 8 kwakweli nilishangaa sana, basi nikaagiza msosi wangu nikagonga nikaondoka nikiwa na mawazo sana.
Nikaondoka zangu kufika maeneo ya victoria nikapigiwa simu kuna docs muhimuanahitaji docs ya haraka natakiwa niitume basi nikapata wazo ningie pale makumbusho stand nikaiscan then niitume. Nilipomaliza kuituma nikaenda pale Nexus àngalau kupata bia mbili tatu then niondoke hali niliikuta pale kweli nilifadhaika sana hakuna wateja kabisa.
Jamani hali ni mbaya sana
Angalia picha
View attachment 1698392
Mambo ya namna hii husababishwa na uelewa finyu wa wananchihivii... embu ngoja kwanza, haya yote yamesababishwa na huyu jamaa mwenye komwe!?
Ukipata mda tembelea Royal vilage, Mwanga bar, chako ni chako, capetown, kwa mnama, Tango, platnum.................. Kisha utuletee mrejesho, BIASNa miaka miwili toka nianza shughuli zangu mikoani hivyo na muda kidogo sijafika maeneo ya Posta, leo nilipanga niende Posta lengo ni kwenda kununua bidhaa , kuna msela wangu mikaa 5 sasa imepita, alikuwa ananiuzia shati, Jeans, Na Makoti ya suti makali ya mtumba kali.
Nasikitika msela wangu sikuweza baada ya kumulizia kwa jamaa niliwakuta kwenye kijiwe hicho walinitonya kuwa jamaa aliamua kuacha biashara baada ya hali ya biashara kuwa ngumu.
Basi niliamua kuungisha jamaa ingawa hakuwa na shati kali kivile, nikaendelee na shopping zangu ilifika muda wa Lunch nilasema ngoja nikapate Lunch pale Brake point ilikuwa mida ya saa 8:30, Dah hali nilioikuta pale nikahisi pamefungwa nini? Nilikuta wateja wasiozidi 8 kwakweli nilishangaa sana, basi nikaagiza msosi wangu nikagonga nikaondoka nikiwa na mawazo sana.
Nikaondoka zangu kufika maeneo ya victoria nikapigiwa simu kuna docs muhimuanahitaji docs ya haraka natakiwa niitume basi nikapata wazo ningie pale makumbusho stand nikaiscan then niitume. Nilipomaliza kuituma nikaenda pale Nexus àngalau kupata bia mbili tatu then niondoke hali niliikuta pale kweli nilifadhaika sana hakuna wateja kabisa.
Jamani hali ni mbaya sana
Angalia picha
View attachment 1698392
SidhaniOf course Mkuu. Na Sera zake MUFILISI haya ndiyo mavuno yake.