Hii ndiyo dawa ya kumaliza kabisa ajali nchini Tanzania

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,464
108,619
  1. Ikitokea ajali mbaya na ya kizembe halafu DEREVA akawa bado yupo hai huyo dereva anyongwe hapo hapo ndani ya saa 24.
  2. Ikitokea ajali mbaya na ya kizembe ambayo kuna ABIRIA wengine wamepona na wakitoa ushuhuda wao wanasema dereva alikuwa mwendokasi basi hao abiria wote waliobaki wapigwe viboko vikali sana sita ( 6 ) au watembee kwa miguu kutoka hapo eneo la ajali hadi huko waendako. Kwani nilichokigundua katika moja ya watu muhimu wanaosababisha hizi ajali ni sisi abiria yaani mimi na wewe na wengi wetu hufurahia mno spidi zile huko njiani kiasi kwamba tukiona gari halikimbii " tunamnunia " na kuanza " kumdharau " dereva.
  3. Kama ajali ikitokea kutokana na ubovu wa barabara husika ambayo pengine imekuwa ikilalamikiwa na wananchi kwa muda mrefu basi wahusika kuanzia WAZIRI wa WIZARA husika, SUMATRA na TANROADS Mkoa wote wahukumiwe kifungo cha maisha jela.
  4. Kama ajali ikitokea eneo ambalo kuna Matrafiki au Matrafiki muda mfupi tu uliopita walilikagua hilo basi ambalo pengine lilikuwa na matatizo ya kiufundi lakini kwa tabia yao ya kupenda rushwa wakaliruhusu basi kuanzia Kiongozi wa Trafiki wa Mkoa husika na wale Matrafiki wote wa zamu wanyongwe ndani ya saa 24.
  5. Kama ajali ya kizembe ikitokea na ikajulikana kuwa lile basi lilikuwa na matatizo ya kiufundi ya muda mrefu na Mmiliki wake anafahamu ila kwa kudharau tu na kutudharau sisi abiria akatupuuza basi Mmiliki wake apelekwe kati ya Mto Ruaha au Kagera au Mara ambapo kuna Mamba wengi na wenye hasira kisha " arushwe " tu hapo awe kitoweo chao " murua " cha siku.
Nina uhakika hizi hatua zikichukuliwa tutazuia ajali hizi za kizembe kwa 100% labda tu zile ambazo haziepukiki na kiukweli unaona kuwa haikuwezekana kuepukika japo hata hizi nazo pia tunaweza kumtupia lawama MALAIKA kwanini hakuziepusha.

Mamlaka husika ichukueni hii na ipo siku mtakuja kunikumbuka kwa wazo langu hili kwani tumechoka na Ndugu, Marafiki na Watanzania wenzetu kupoteza maisha kwa uzembe tu wa Watu wachache wasiojitambua na kujali maisha ya Watu.

Ajali ya Singida imenipandisha sana na mno hasira!
 
katika ajali ya singida nimepoteza mpendwa wangu naamini hizi njia ulizo weka ni za msingi sana

Pole sana Mkuu kwa " matatizo ". Mkuu SHIEKA umesema UZI wangu haufikirishi kwakuwa nimeandika nikiwa na mhemko ila nashukuru Mungu kwa Watu walionielewa kama huyu ameweza kuniunga mkono kwa nilichokiandika na labda nikuhakikishie tu kuwa hizo njia nilizoziweka hapo kama kweli zitafuatwa au kutumika tunaweza tukakaa miaka 25 au 30 kutoka sasa hadi tuje tena kusikia ajali imetokea hapa nchini Tanzania.
 
GENTAMYCINE, usiandike thread ukiwa kwenye mhemko.Thread yako hii haifikirishi bali inachekesha, na nimecheka sana.

Nadhani ulipashwa kunishukuru kuliko " kunikebehi " tena " kinafiki " kama ulivyojitanabaisha hapo. Na tambua siku zote huwa ninapotaka kuanzisha UZI huwa nahakikisha ubongo wangu umetulia na upo katika ubora wake uliotukuka na ndiyo maana sijawahi kuandika UZI humu JF usipokelewe vizuri na Wanajamvi na kwa kukuthibitishia kuwa najiamini kwa ninachokiandika humu pitia pitia mitandao mingine na hadi blogs mbalimbali huko nje ya JF uone Watu wanavyochukua hizi threads zangu humu JF na wanazijadili na ninachowapongeza au kuwasifu tu wengi wao ni Wastaarabu mwisho hufanya acknowledging kwa kusema wameitoa kwa GENTAMYCINE wa JF. Kuwepo kwangu humu kuna IMPACT kubwa ambayo yawezekana Wewe kama Wewe hujaiona na pengine kwa UPEO wako unaweza usiuone. Hata hivyo akhsante kwa maoni yako na kwa kuchukua muda wako hadi kuufungua UZI wa " Le Mathematicien GENTAMYCINE " na kuchangia japo UMEPOPOMIKA sana.
 
hapo kwenye barabara mbovu tanrods wakisema hawana fedha na waliomba hawajapewa! Tutamfunga Magufuli?

Umempa Mlinzi wa nyumba fulani " mzigo " wako akuhifadhie na kwa uzembe wake na huku akijua kuwa alishapewa taratibu zote za Ulinzi moja wapo ikiwa ni kutopokea au kujihusisha kwa lolote na Mtu wa nje mpita njia kisha usiku alisinzia na Wezi wakauiba je ukija asubuhi kuuchukua na akikuambia umeibiwa utaanza kutaka kumkoromea au kumshtaki kama si kumfunga Baba mwenye nyumba ambaye alishampa kanuni zote huyo Mlinzi za Kiulinzi na Kimaadili kwa kazi yake hiyo?
 
  1. Ikitokea ajali mbaya na ya kizembe halafu DEREVA akawa bado yupo hai huyo dereva anyongwe hapo hapo ndani ya saa 24.
    [*]Ikitokea ajali mbaya na ya kizembe ambayo kuna ABIRIA wengine wamepona na wakitoa ushuhuda wao wanasema dereva alikuwa mwendokasi basi hao abiria wote waliobaki wapigwe viboko vikali sana sita ( 6 ) au watembee kwa miguu kutoka hapo eneo la ajali hadi huko waendako. Kwani nilichokigundua katika moja ya watu muhimu wanaosababisha hizi ajali ni sisi abiria yaani mimi na wewe na wengi wetu hufurahia mno spidi zile huko njiani kiasi kwamba tukiona gari halikimbii " tunamnunia " na kuanza " kumdharau " dereva.
  2. Kama ajali ikitokea kutokana na ubovu wa barabara husika ambayo pengine imekuwa ikilalamikiwa na wananchi kwa muda mrefu basi wahusika kuanzia WAZIRI wa WIZARA husika, SUMATRA na TANROADS Mkoa wote wahukumiwe kifungo cha maisha jela.
  3. Kama ajali ikitokea eneo ambalo kuna Matrafiki au Matrafiki muda mfupi tu uliopita walilikagua hilo basi ambalo pengine lilikuwa na matatizo ya kiufundi lakini kwa tabia yao ya kupenda rushwa wakaliruhusu basi kuanzia Kiongozi wa Trafiki wa Mkoa husika na wale Matrafiki wote wa zamu wanyongwe ndani ya saa 24.
  4. Kama ajali ya kizembe ikitokea na ikajulikana kuwa lile basi lilikuwa na matatizo ya kiufundi ya muda mrefu na Mmiliki wake anafahamu ila kwa kudharau tu na kutudharau sisi abiria akatupuuza basi Mmiliki wake apelekwe kati ya Mto Ruaha au Kagera au Mara ambapo kuna Mamba wengi na wenye hasira kisha " arushwe " tu hapo awe kitoweo chao " murua " cha siku.
Nina uhakika hizi hatua zikichukuliwa tutazuia ajali hizi za kizembe kwa 100% labda tu zile ambazo haziepukiki na kiukweli unaona kuwa haikuwezekana kuepukika japo hata hizi nazo pia tunaweza kumtupia lawama MALAIKA kwanini hakuziepusha.

Mamlaka husika ichukueni hii na ipo siku mtakuja kunikumbuka kwa wazo langu hili kwani tumechoka na Ndugu, Marafiki na Watanzania wenzetu kupoteza maisha kwa uzembe tu wa Watu wachache wasiojitambua na kujali maisha ya Watu.

Ajali ya Singida imenipandisha sana na mno hasira!

Hapo kwenye red sihawahi kusikia abiria kashtakiwa au kuhukumiwa kwa kusababisha ajali....
 
  1. Ikitokea ajali mbaya na ya kizembe halafu DEREVA akawa bado yupo hai huyo dereva anyongwe hapo hapo ndani ya saa 24.
  2. Ikitokea ajali mbaya na ya kizembe ambayo kuna ABIRIA wengine wamepona na wakitoa ushuhuda wao wanasema dereva alikuwa mwendokasi basi hao abiria wote waliobaki wapigwe viboko vikali sana sita ( 6 ) au watembee kwa miguu kutoka hapo eneo la ajali hadi huko waendako. Kwani nilichokigundua katika moja ya watu muhimu wanaosababisha hizi ajali ni sisi abiria yaani mimi na wewe na wengi wetu hufurahia mno spidi zile huko njiani kiasi kwamba tukiona gari halikimbii " tunamnunia " na kuanza " kumdharau " dereva.
  3. Kama ajali ikitokea kutokana na ubovu wa barabara husika ambayo pengine imekuwa ikilalamikiwa na wananchi kwa muda mrefu basi wahusika kuanzia WAZIRI wa WIZARA husika, SUMATRA na TANROADS Mkoa wote wahukumiwe kifungo cha maisha jela.
  4. Kama ajali ikitokea eneo ambalo kuna Matrafiki au Matrafiki muda mfupi tu uliopita walilikagua hilo basi ambalo pengine lilikuwa na matatizo ya kiufundi lakini kwa tabia yao ya kupenda rushwa wakaliruhusu basi kuanzia Kiongozi wa Trafiki wa Mkoa husika na wale Matrafiki wote wa zamu wanyongwe ndani ya saa 24.
  5. Kama ajali ya kizembe ikitokea na ikajulikana kuwa lile basi lilikuwa na matatizo ya kiufundi ya muda mrefu na Mmiliki wake anafahamu ila kwa kudharau tu na kutudharau sisi abiria akatupuuza basi Mmiliki wake apelekwe kati ya Mto Ruaha au Kagera au Mara ambapo kuna Mamba wengi na wenye hasira kisha " arushwe " tu hapo awe kitoweo chao " murua " cha siku.
Nina uhakika hizi hatua zikichukuliwa tutazuia ajali hizi za kizembe kwa 100% labda tu zile ambazo haziepukiki na kiukweli unaona kuwa haikuwezekana kuepukika japo hata hizi nazo pia tunaweza kumtupia lawama MALAIKA kwanini hakuziepusha.

Mamlaka husika ichukueni hii na ipo siku mtakuja kunikumbuka kwa wazo langu hili kwani tumechoka na Ndugu, Marafiki na Watanzania wenzetu kupoteza maisha kwa uzembe tu wa Watu wachache wasiojitambua na kujali maisha ya Watu.

Ajali ya Singida imenipandisha sana na mno hasira!
inavyoonekana kwenye bandiko lako umetoa hukumu ya kifo kwa makosa yote uliyoorodhesha,
hadi ukafikia hatua ya kutaka kuhukumu hata viumbe wasioonekana. amabo nadhani wako nje ya hukumu za kibinadamu.

SWALI LANGU KWAKO, UMEWAHI KUJIULIZA KWA NINI VITENDO VYA MAUAJI VANAENDELEA KUFANYIKA IKIWA ADHABU YAKE NI HUKUMU YA KIFO KWA KOSA HILO?
 
Hamna kitu hapa, hvo vitu vyote,... Hollllah hamna kitu cha msingi wala maaan,.,.,.

Abiria atembee mpaka aendako
Mmiliki akatupwe mto mara
Waziri hadi chini watolewe.,.,. :mad:
 
Hiyo adhabu kwa abiria haina haja maana wanakua wameshaadhabiwa na ajali na wengine wana ulemavu tayari.

Sasa tukiwaongezea viboko sijui tena itakuaje hapo
 
Nadhani ulipashwa kunishukuru kuliko " kunikebehi " tena " kinafiki " kama ulivyojitanabaisha hapo. Na tambua siku zote huwa ninapotaka kuanzisha UZI huwa nahakikisha ubongo wangu umetulia na upo katika ubora wake uliotukuka na ndiyo maana sijawahi kuandika UZI humu JF usipokelewe vizuri na Wanajamvi na kwa kukuthibitishia kuwa najiamini kwa ninachokiandika humu pitia pitia mitandao mingine na hadi blogs mbalimbali huko nje ya JF uone Watu wanavyochukua hizi threads zangu humu JF na wanazijadili na ninachowapongeza au kuwasifu tu wengi wao ni Wastaarabu mwisho hufanya acknowledging kwa kusema wameitoa kwa GENTAMYCINE wa JF. Kuwepo kwangu humu kuna IMPACT kubwa ulichokiandika cha kweli 100% nimeshuhudia kwenye blog kadhaa na hata fb nimeshuhudia michango yako ikijadiliwa
 
Back
Top Bottom