Red Giant JF-Expert Member Mar 9, 2012 15,658 20,887 Jul 21, 2016 #1 kawetere ikiwa unatoka Mbeya mjini kwenda Chunya. mita 2961 kutoka usawa wa bahari.
trigeminal JF-Expert Member Jan 9, 2015 1,917 2,192 Jul 21, 2016 #4 mbona sijaona barabara hapo..!!!!
Kibunango Platinum Member Aug 29, 2006 8,419 2,270 Jul 21, 2016 #5 Itakuwa ni barabara ya Mbeya - Chunya
Bavaria JF-Expert Member Jun 14, 2011 53,102 53,351 Jul 21, 2016 #6 Horombo, Kibo huts kuna barabara huko. Hata za magari.
Red Giant JF-Expert Member Mar 9, 2012 15,658 20,887 Jul 21, 2016 Thread starter #7 Bavaria said: Horombo, Kibo huts kuna barabara huko. Hata za magari. Click to expand... nafikiri ndiyo maana wakasema trunk roads. unauhakika kuwa gari zinafika?
Bavaria said: Horombo, Kibo huts kuna barabara huko. Hata za magari. Click to expand... nafikiri ndiyo maana wakasema trunk roads. unauhakika kuwa gari zinafika?
Bavaria JF-Expert Member Jun 14, 2011 53,102 53,351 Jul 22, 2016 #8 Red Giant said: nafikiri ndiyo maana wakasema trunk roads. unauhakika kuwa gari zinafika? Click to expand... Ndio zinafika kwasababu materials ya kujenga zile nyumba kule juu yalipelekwa na magarim
Red Giant said: nafikiri ndiyo maana wakasema trunk roads. unauhakika kuwa gari zinafika? Click to expand... Ndio zinafika kwasababu materials ya kujenga zile nyumba kule juu yalipelekwa na magarim