Hii ndiyo awamu ya tano chini ya Rais Magufuli

akatanyukuile

JF-Expert Member
Sep 13, 2019
314
308
Habari wana jamvi bila shaka mda huu walio wengi mumechili na wake zenu au wame zenu, na watoto. Hatuna budi kumushukuru aliye juu.

Bila kupoteza mda kunajambo nimekutana nalo limeniacha mdomo wazi. Kuna rafiki yangu mmoja ambaye ni mhitimu wa chuo kikuu UDSM. Katika fani ya kemia. Yaani ni mkemia. Sasa ikatokea nafasi za ajira za walimu zilizotolewa kwa kwa mara ya mwisho. Jamaa kwavile alikua mtaan na hana kazi kashachoka ikabidi ajaribu bahati yake kuomba kazi ili akafundishe chemistry. Mungu si asumani akapita na kupata ajira. Alifrai sana kwani ilikua ni kama zar kwake

Aliweza kufanya taratibu zote kama inavotakikana na kuanza kazi rasimi baadae mshahara ukaanza kuingia. Lakushangaza baada ya miezi mitatu ambapo ilikua ni mwezi wa tisa akalimwa barua na mkurugenzi wa manispaa husika yakua ajira yake imesitishwa et si mwalimu kitaaruma. Dah jamaa kataka kuchanganyikiwa akaenda tena kwa katibu ila naye akashikwa kigugumizi. Baadae akawashindikiza wamuandikie barua mkurugezi akaandika nyingine ikisema amesitishiwa kaz na yakua wao hawahusiki na hilo na yakua mchakato ulifanyika wizarani hivo kama ataona huruma apangiwe kaz nyingine. Mpaka ninaandika hapa bado hakieleweki alikua anasema arud tamisemi ila bado ni mawazo tu. Tafadhal ushauli wenu wadau
Kama kuna mwenye uelewa na hili tupe msaada kwani rafiki yangu huyu ameniumiza pakubwa.

Ninaomba kuwasilisha.
 
Umetoka leo bunjumbura?,subiri usiondoke,faiza fox anakuja pengine atakuwa na neno na wewe mleta mada
 
Nyinyi wahaya na wajita hebu jifunzeni utamkaji wa irabu, yan namna mnavyokosea kutamka hata kuandika pia mnakosea! Mnanikera sana nyinyi watu kwa namna mnavyochafua lugha. Hebu jifunzeni kutofautisha a,e,i,o,u na ha,he,hi,ho,hu
 
Habari wana jamvi bila shaka mda huu walio wengi mumechili na wake zenu au wame zenu, na watoto. Hatuna budi kumushukuru aliye juu.

Bila kupoteza mda kunajambo nimekutana nalo limeniacha mdomo wazi. Kuna rafiki yangu mmoja ambaye ni mhitimu wa chuo kikuu UDSM. Katika fani ya kemia. Yaani ni mkemia. Sasa ikatokea nafasi za ajira za walimu zilizotolewa kwa kwa mara ya mwisho. Jamaa kwavile alikua mtaan na hana kazi kashachoka ikabidi ajaribu bahati yake kuomba kazi ili akafundishe chemistry. Mungu si asumani akapita na kupata ajira. Alifrai sana kwani ilikua ni kama zar kwake

Aliweza kufanya taratibu zote kama inavotakikana na kuanza kazi rasimi baadae mshahara ukaanza kuingia. Lakushangaza baada ya miezi mitatu ambapo ilikua ni mwezi wa tisa akalimwa barua na mkurugenzi wa manispaa husika yakua ajira yake imesitishwa et si mwalimu kitaaruma. Dah jamaa kataka kuchanganyikiwa akaenda tena kwa katibu ila naye akashikwa kigugumizi. Baadae akawashindikiza wamuandikie barua mkurugezi akaandika nyingine ikisema amesitishiwa kaz na yakua wao hawahusiki na hilo na yakua mchakato ulifanyika wizarani hivo kama ataona huruma apangiwe kaz nyingine. Mpaka ninaandika hapa bado hakieleweki alikua anasema arud tamisemi ila bado ni mawazo tu. Tafadhal ushauli wenu wadau
Kama kuna mwenye uelewa na hili tupe msaada kwani rafiki yangu huyu ameniumiza pakubwa.

Ninaomba kuwasilisha.
We Mhaya wa mwisho kabisa
 
Jamaa anachanganyikiwa kwa lipi!!?

Elimu aliyonayo na ujuzi wa kufundisha alioupata anaweza kuanzisha kaji tuition center cha o leve na advance akala pesa nzuri tu.
 
Nyinyi wahaya na wajita hebu jifunzeni utamkaji wa irabu, yan namna mnavyokosea kutamka hata kuandika pia mnakosea! Mnanikera sana nyinyi watu kwa namna mnavyochafua lugha. Hebu jifunzeni kutofautisha a,e,i,o,u na ha,he,hi,ho,hu
Sawa mkuu,
 
JF siku hizi imejaa vihiyo tu. Uandishi wa hovyo namna hii unakera sana.
Habari wana jamvi bila shaka mda huu walio wengi mumechili na wake zenu au wame zenu, na watoto. Hatuna budi kumushukuru aliye juu.

Bila kupoteza mda kunajambo nimekutana nalo limeniacha mdomo wazi. Kuna rafiki yangu mmoja ambaye ni mhitimu wa chuo kikuu UDSM. Katika fani ya kemia. Yaani ni mkemia. Sasa ikatokea nafasi za ajira za walimu zilizotolewa kwa kwa mara ya mwisho. Jamaa kwavile alikua mtaan na hana kazi kashachoka ikabidi ajaribu bahati yake kuomba kazi ili akafundishe chemistry. Mungu si asumani akapita na kupata ajira. Alifrai sana kwani ilikua ni kama zar kwake

Aliweza kufanya taratibu zote kama inavotakikana na kuanza kazi rasimi baadae mshahara ukaanza kuingia. Lakushangaza baada ya miezi mitatu ambapo ilikua ni mwezi wa tisa akalimwa barua na mkurugenzi wa manispaa husika yakua ajira yake imesitishwa et si mwalimu kitaaruma. Dah jamaa kataka kuchanganyikiwa akaenda tena kwa katibu ila naye akashikwa kigugumizi. Baadae akawashindikiza wamuandikie barua mkurugezi akaandika nyingine ikisema amesitishiwa kaz na yakua wao hawahusiki na hilo na yakua mchakato ulifanyika wizarani hivo kama ataona huruma apangiwe kaz nyingine. Mpaka ninaandika hapa bado hakieleweki alikua anasema arud tamisemi ila bado ni mawazo tu. Tafadhal ushauli wenu wadau
Kama kuna mwenye uelewa na hili tupe msaada kwani rafiki yangu huyu ameniumiza pakubwa.

Ninaomba kuwasilisha.
 
Jamaa anachanganyikiwa kwa lipi!!?

Elimu aliyonayo na ujuzi wa kufundisha alioupata anaweza kuanzisha kaji tuition center cha o leve na advance akala pesa nzuri tu.
Tatizo Jamaa kakariri maisha mpaka atumwe kujituma mwenyewe pamoja na elimu yake ya Chuo kikuu hawezi kabisa!!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom