William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Hii ni aibu nyingine kwa Basata ,wizara na wadhamini wote wa hili shindano bila kumsahau mwenye shindano hili kwa sasa bi Basila mwanukuzi aiseeee hivi gari kama hilo ndio anapata mshindi kweli pamoja na wadhamini wote wale? Nafikiri hili shindano lina laana kabisa .....watu walitegemea makubwa sana kwenye hili shindano lakini ni aibu tupu kabisa kabisa.
Kuna kila sababu la kulifutilia mbali kabisa hili shindano....
- duh! hahahahahhahahaaha saafi sana
le Mutuz Superbrabrand