Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,517
- 30,587
Hivi unawajua wasukuma wewe au unajua wasukumaramba ?Wasukuma wako bilabila acha uzushi.
Hivi unawajua wasukuma wewe au unajua wasukumaramba ?Wasukuma wako bilabila acha uzushi.
Arab-majiniUngeandika na vyanzo vyao vya mapato vinatokana na nini kwa mfano
wasukuma serikalini, ufugaji,madini
Wachaga wizi, unyang'anyi,dhuluma,Maldini, utalii
Wa Asia maduka mkubwa,uchuuzi,viwanda
Ila usingeyagroup kwa sababu ni makabila mawili tofauti.Ni makabila yanayoshabihiana kwa kila kitu
Ninyi mnaendelea kutoa burudani kwa matajiri na kuwafollow kwa wingi instagram na fb.Na sisi wapiga ngoma kwenye vigodoro??
Wagogo bado sana labda kwenye ligi ya "uombaomba" ndo wanakimbiza wakiongozwa jemadari Matonya akisaidiana na la Kubwa jingazWagogo je? wewe unamchukuliaje Lemutuz?
Mbona sioni wa Chato?Au wao wanachoweza ni kuhamishia tu rasilimali za nchi kwao?
Mtoa mada hajaangalia mtu mmoja mmoja ndio maana wewe kabila lako limekubebaKabila langu hapo lipo lina nina uhakika ambao hawajatajwa hapo wengine maisha yao ni mazuri maradufu kuliko yangu mimi niliyetajwa! Hapo ndipo unapaswa kujiuliza, kama na mwenzangu kabila lako lipo hapo juu, sasa je wewe mwenyewe binafsi, au angalau wazazi wako, uchumi wenu unaakisi na ulichokiandika?!