Hii Ndio TOP 10 Yangu Ligi Kuu Tanzania Bara [VPL] 2019/2020..

3llyEmma

JF-Expert Member
Oct 23, 2017
6,172
6,882
Habari wadau wa soka..!!
Ukiwa msimu mpya ligi kuu Tanzania Bara Vodacom Primier League (VPL)Umeanza baada ya Msimu uliopita kumalizika na Bingwa kuwa Simba Sc.
.. Ikumbukwe msimu uliopita hakukuwa na mdhamini mkuu wa LIGI hivyo kufanya Msimu uliopita kuwa wa mateso kwa Timu nyingi.
.. Msimu huu Vodacom ndie MDHAMINI WA LIGI KUU, wametoa Tsh BILLION 9 kwa miaka mitatu (3).. Hivyo ni mwanya kwa timu kufanya vzr Zaidi uwanjani.
HII NI TOP 10 YANGU KWA HUU MSIMU MPYA.
1. Simba Sc
2. Azam Fc
3. Yanga
4. Lipuli Fc
5. Mtibwa Sugar
6. K.M.C
7. Tz Prisons
8. JKT Tanzania
9. Mbeya City
10. Polisi Tanzania

NB:Maoni Yangu
 
Kumbuka pia sio Mara kwanza yanga kupoteza mechi ya mwanzo wa ligi
Ishu sio kupoteza, ni umepoteza na nani? Ruvu hakuwa na historia mbele ya Yanga.

Kifupi nilitaka kukuonesha kuwa zama zinabadilika na hatuna budi kubadilisha mitizamo yetu kama tunahitaji kusonga mbele.
 
Habari wadau wa soka..!!
Ukiwa msimu mpya ligi kuu Tanzania Bara Vodacom Primier League (VPL)Umeanza baada ya Msimu uliopita kumalizika na Bingwa kuwa Simba Sc.
.. Ikumbukwe msimu uliopita hakukuwa na mdhamini mkuu wa LIGI hivyo kufanya Msimu uliopita kuwa wa mateso kwa Timu nyingi.
.. Msimu huu Vodacom ndie MDHAMINI WA LIGI KUU, wametoa Tsh BILLION 9 kwa miaka mitatu (3).. Hivyo ni mwanya kwa timu kufanya vzr Zaidi uwanjani.
HII NI TOP 10 YANGU KWA HUU MSIMU MPYA.
1. Simba Sc
2. Azam Fc
3. Yanga
4. Lipuli Fc
5. Mtibwa Sugar
6. K.M.C
7. Tz Prisons
8. JKT Tanzania
9. Mbeya City
10. Polisi Tanzania

NB:Maoni Yangu
Simba kubeba ubingwa wanaweza lakini tatizo lipo kwa Ibrahim Ajib yule chalii anadamu ya kunguni
 
Habari wadau wa soka..!!
Ukiwa msimu mpya ligi kuu Tanzania Bara Vodacom Primier League (VPL)Umeanza baada ya Msimu uliopita kumalizika na Bingwa kuwa Simba Sc.
.. Ikumbukwe msimu uliopita hakukuwa na mdhamini mkuu wa LIGI hivyo kufanya Msimu uliopita kuwa wa mateso kwa Timu nyingi.
.. Msimu huu Vodacom ndie MDHAMINI WA LIGI KUU, wametoa Tsh BILLION 9 kwa miaka mitatu (3).. Hivyo ni mwanya kwa timu kufanya vzr Zaidi uwanjani.
HII NI TOP 10 YANGU KWA HUU MSIMU MPYA.
1. Simba Sc
2. Azam Fc
3. Yanga
4. Lipuli Fc
5. Mtibwa Sugar
6. K.M.C
7. Tz Prisons
8. JKT Tanzania
9. Mbeya City
10. Polisi Tanzania

NB:Maoni Yangu
umepatia mkuu
 
Habari wadau wa soka..!!
Ukiwa msimu mpya ligi kuu Tanzania Bara Vodacom Primier League (VPL)Umeanza baada ya Msimu uliopita kumalizika na Bingwa kuwa Simba Sc.
.. Ikumbukwe msimu uliopita hakukuwa na mdhamini mkuu wa LIGI hivyo kufanya Msimu uliopita kuwa wa mateso kwa Timu nyingi.
.. Msimu huu Vodacom ndie MDHAMINI WA LIGI KUU, wametoa Tsh BILLION 9 kwa miaka mitatu (3).. Hivyo ni mwanya kwa timu kufanya vzr Zaidi uwanjani.
HII NI TOP 10 YANGU KWA HUU MSIMU MPYA.
1. Simba Sc
2. Azam Fc
3. Yanga
4. Lipuli Fc
5. Mtibwa Sugar
6. K.M.C
7. Tz Prisons
8. JKT Tanzania
9. Mbeya City
10. Polisi Tanzania

NB:Maoni Yangu
Alliance school bingwa
 
Back
Top Bottom