Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,907
- 22,057
Aisee ukisoma tanzania daima unaweza jiuliza kwa nini na ninani aliemweka rais kikwete madarkani
ingawa jibu wanalo viongozi wa dini wakiongozwa na mfalme mokiwa.......
Turudi hapo juu
kamati ya bunge ta hesabu za mashrika ya umma imebaini ufisadi wa kupindukia na wa kutisha wa kiasi cha sh billion 1.8 mfuko wa penshen wa serikali za mitaa lapf na kampuni hewa ya gk hotels &resort ya southafrica ambazo zimepotea atiiiiiiiii katika mazingira ya kutatanisha
hayo yamebainika jana katika mahesabu ya mfuko huo ambapo kaimu mwenyekiti wa kamati hiyo mh murtaza mangungu mbunge wa ccm kilwa alipowataka viongozi wa lapf kutoa maelezo ya kina namna mkataba wa hii kampuni ulivyoingia na baadae kuwapa peacokck hotel ya dar es salaam
akitoa maelezo mkurugenzi wa lapf mh elius sanga alisema mara baada ya kubaini kampuni hiyo ya south africa alipi makusanyo ya kodi ya kitega uchumi kilichopo kijitonyama walilazimka kuvunja mkataba huo na kuwapa peacock hotel
alisema kampuni hiyo ya south ilishindwa kulipa makusanyo ya kodi na pamoja kulipa deni la m kopo wa million 500
hata hivyo majibu hayo yaliamsha hasira na matusi katika wajumbe wa poac hali iliomlazimu mh mangungu kuomba utulivu wa muda...akionyeshwa hasira za taarifa hiyo mbunge wa ccm esther bulaya alisema kutokana na taarifa na uchunguzi aliofanya inaonyesha kampuni ya gk hotels ya kitapeli na aina tofauti na richmond..hapa tunarudia kesi za richmond jamani watu wanakufa kwa kukosa ambulance madawa huku watu wanatengeneza kampuni feki wanasajili southafrica wanaleta dar na kuchota no sasa imetosha hapa lazima watu wafikishwe mahakamani kama walihisi richmond wameachwa then hii lazima tulifwatilie na walioingia mkataba watatuambia wako wapi hawa....
Alisema uchunguzi wangu nimeenda adi southafrica akuuliza hii kampuni aipo nawaambia wajumbe wala adress walizoandika akuna kama hicho...huu mchezo mchafu unafanywa na viongozi wa juu wa lapf kwa kuutumia madaraka vibaya kwa kuanzisha kampuni uchwara chafu zikionyesha zinatoka nje kumbe ni zao
mwenyekiti wa poac alisema amemuomba mwanasheria wao atoe maelezo juu ya sakata hilo ambalo alisema walilazimika kwenda southafrica kutafuta hiyo kampuni mpaka leo awajaipata na hata ubalozi ulijaribu kufanya wawezalo na kukuta hata adress waliotupa ni feki...
Kutokana na majibu hayo ililazimika wajumbe wa poac kuwafukuza nje wa lapf na baada ya muda wajumbe wa lapf wakiongozwa na mwenyekiti wa bodi wakaitwa nakuambiwa kutotkna na sheria za bunge na mamlaka waliopewa wameomba mpaka jumatano ijayo wawe wameshapata mikataba ya lapf na hao matapeli pamoja na peacock hotel ambayo aijalipa zaidi ya million 300..yessssssssssssuuuuuuuuuu na mariaaaaaaaaaaaaa kheee hiii nchi tamu hivi jamani??
Ukiwa kama mtanzania unawahukumu vipi viongozi hawa matapeli wa lapf ..nilimwona sanga akianza kuongeza gorofa moja baada ya nyingne sasa nimejua kaka anakula wapi...'
embu wabunge hiiizi story zisiishie magazetini jamani watu wawekwe ndan wahusika
ingawa jibu wanalo viongozi wa dini wakiongozwa na mfalme mokiwa.......
Turudi hapo juu
kamati ya bunge ta hesabu za mashrika ya umma imebaini ufisadi wa kupindukia na wa kutisha wa kiasi cha sh billion 1.8 mfuko wa penshen wa serikali za mitaa lapf na kampuni hewa ya gk hotels &resort ya southafrica ambazo zimepotea atiiiiiiiii katika mazingira ya kutatanisha
hayo yamebainika jana katika mahesabu ya mfuko huo ambapo kaimu mwenyekiti wa kamati hiyo mh murtaza mangungu mbunge wa ccm kilwa alipowataka viongozi wa lapf kutoa maelezo ya kina namna mkataba wa hii kampuni ulivyoingia na baadae kuwapa peacokck hotel ya dar es salaam
akitoa maelezo mkurugenzi wa lapf mh elius sanga alisema mara baada ya kubaini kampuni hiyo ya south africa alipi makusanyo ya kodi ya kitega uchumi kilichopo kijitonyama walilazimka kuvunja mkataba huo na kuwapa peacock hotel
alisema kampuni hiyo ya south ilishindwa kulipa makusanyo ya kodi na pamoja kulipa deni la m kopo wa million 500
hata hivyo majibu hayo yaliamsha hasira na matusi katika wajumbe wa poac hali iliomlazimu mh mangungu kuomba utulivu wa muda...akionyeshwa hasira za taarifa hiyo mbunge wa ccm esther bulaya alisema kutokana na taarifa na uchunguzi aliofanya inaonyesha kampuni ya gk hotels ya kitapeli na aina tofauti na richmond..hapa tunarudia kesi za richmond jamani watu wanakufa kwa kukosa ambulance madawa huku watu wanatengeneza kampuni feki wanasajili southafrica wanaleta dar na kuchota no sasa imetosha hapa lazima watu wafikishwe mahakamani kama walihisi richmond wameachwa then hii lazima tulifwatilie na walioingia mkataba watatuambia wako wapi hawa....
Alisema uchunguzi wangu nimeenda adi southafrica akuuliza hii kampuni aipo nawaambia wajumbe wala adress walizoandika akuna kama hicho...huu mchezo mchafu unafanywa na viongozi wa juu wa lapf kwa kuutumia madaraka vibaya kwa kuanzisha kampuni uchwara chafu zikionyesha zinatoka nje kumbe ni zao
mwenyekiti wa poac alisema amemuomba mwanasheria wao atoe maelezo juu ya sakata hilo ambalo alisema walilazimika kwenda southafrica kutafuta hiyo kampuni mpaka leo awajaipata na hata ubalozi ulijaribu kufanya wawezalo na kukuta hata adress waliotupa ni feki...
Kutokana na majibu hayo ililazimika wajumbe wa poac kuwafukuza nje wa lapf na baada ya muda wajumbe wa lapf wakiongozwa na mwenyekiti wa bodi wakaitwa nakuambiwa kutotkna na sheria za bunge na mamlaka waliopewa wameomba mpaka jumatano ijayo wawe wameshapata mikataba ya lapf na hao matapeli pamoja na peacock hotel ambayo aijalipa zaidi ya million 300..yessssssssssssuuuuuuuuuu na mariaaaaaaaaaaaaa kheee hiii nchi tamu hivi jamani??
Ukiwa kama mtanzania unawahukumu vipi viongozi hawa matapeli wa lapf ..nilimwona sanga akianza kuongeza gorofa moja baada ya nyingne sasa nimejua kaka anakula wapi...'
embu wabunge hiiizi story zisiishie magazetini jamani watu wawekwe ndan wahusika