Hii ndio siri ya utitiri-wasaka urais CCM

Mwakalinga Bujo

JF-Expert Member
Oct 22, 2008
2,719
1,440
Katika kile ambacho hakukutarajiwa na wengi,safari hii kumekuwepo na wagombea wengi wanaosaka Uraisi kupitia ccm ukilinganisha na miaka ya nyuma.
Moja ya mambo ambayo yamenisukuma kuandika uzi hiu ni pale nilipoona hata wale waliosemekana ni wafuasi wa kambi fulani nao wemechuka fomu.

CCM ni chama Kikongwe na ni chama chenye demokrasia (usisahau kila nchi ina tafsiri yake ya demokrasia-vivyo hivyo vyama vya siasa hususani vilivyoko madakani kwa Afrika vina utamaduni wao ambao ndio wanautafsiri kama demokrasia). Utaratibu wa CCM unajulikana wazi kwamba utu uzima ama uzee ndio busara na haitoshi maamuzi ya wazee(wachache) wote twapaswa kuyafuata. Pia utamaduni mwingine wa CCM ni wa kila anayetaka uongozi ajipime mwenyewe kabla ya kupimwa.

Siku za hivi karibuni kumekuwa na vurumai ya kuvuruga utaratibu na miiko ya CCM Bila kuogopa mustakabali wa chama (Inawezekana kila mmoja anahisi utaratibu wa awali haukuwa sahihi).Pia upo uwezekano kwamba alisema wazee wasiwe na maamuzi ya juu kama ilivyokuwa awali ndiye aliyevuga utaratibu hivyo wengine wakaamua wafanye watavyo.

Waliojitokeza kwa kutandaza nia hushangai kwa makusudi wakiwa na sera zao mkononi kana kwamba chama hicho hakina sera. Mbaya zaidi ni pale wanapoelezea sera zinazokinzana na sera ya chama wanachotaka kukiwakilisha (tusiwahukumu kwa Hilo inawezekana demokrasia ya chama iliwanyima fursa yakufanya haya mazuri wanayotueleza sasa). Kwa tafsiri ndogo nayoipata ni kama Mwalimu ambaye hafundishi wanafunzi anatarajia kufundisha atakapota ukuu wa shule.

Napata mashaka kwamba siri ya hawa (Baadhi yao) wanaotangaza nia kupitia CCM ni wasaka uwaziri kiujanja ujanja ( waonekane kwamba nawanaushawishi- wasiachwe kwenye serikali ijayo kama ccm ikishinda ).

Nawasilisha.
 
katika kile ambacho hakukutarajiwa na wengi,safari hii kumekuwepo na wagombea wengi wanaosaka uraisi kupitia ccm ukilinganisha na miaka ya nyuma.
Moja ya mambo ambayo yamenisukuma kuandika uzi hiu ni pale nilipoona hata wale waliosemekana ni wafuasi wa kambi fulani nao wemechuka fomu.

Ccm ni chama kikongwe na ni chama chenye demokrasia (usisahau kila nchi ina tafsiri yake ya demokrasia-vivyo hivyo vyama vya siasa hususani vilivyoko madakani kwa afrika vina utamaduni wao ambao ndio wanautafsiri kama demokrasia). Utaratibu wa ccm unajulikana wazi kwamba utu uzima ama uzee ndio busara na haitoshi maamuzi ya wazee(wachache) wote twapaswa kuyafuata. Pia utamaduni mwingine wa ccm ni wa kila anayetaka uongozi ajipime mwenyewe kabla ya kupimwa.

Siku za hivi karibuni kumekuwa na vurumai ya kuvuruga utaratibu na miiko ya ccm bila kuogopa mustakabali wa chama (inawezekana kila mmoja anahisi utaratibu wa awali haukuwa sahihi).pia upo uwezekano kwamba alisema wazee wasiwe na maamuzi ya juu kama ilivyokuwa awali ndiye aliyevuga utaratibu hivyo wengine wakaamua wafanye watavyo.

Waliojitokeza kwa kutandaza nia hushangai kwa makusudi wakiwa na sera zao mkononi kana kwamba chama hicho hakina sera. Mbaya zaidi ni pale wanapoelezea sera zinazokinzana na sera ya chama wanachotaka kukiwakilisha (tusiwahukumu kwa hilo inawezekana demokrasia ya chama iliwanyima fursa yakufanya haya mazuri wanayotueleza sasa). Kwa tafsiri ndogo nayoipata ni kama mwalimu ambaye hafundishi wanafunzi anatarajia kufundisha atakapota ukuu wa shule.

Napata mashaka kwamba siri ya hawa (baadhi yao) wanaotangaza nia kupitia ccm ni wasaka uwaziri kiujanja ujanja ( waonekane kwamba nawanaushawishi- wasiachwe kwenye serikali ijayo kama ccm ikishinda ).

Nawasilisha.

porojo
 
JK kajikaanga mwenyekiti gani wa chama ameacha taratibu miiko na desturi za chama zinavunjwa mchana peupe kila mtu anatangaza wengine kwa mabilioni mamilioni wanapata wapi mapesa yote hayo wakati watu ni wafanyakazi wa serikali wapuuzi uzuri hakuna hata mmoja kati yao atakayekuwa Raisi
 
JK kajikaanga mwenyekiti gani wa chama ameacha taratibu miiko na desturi za chama zinavunjwa mchana peupe kila mtu anatangaza wengine kwa mabilioni mamilioni wanapata wapi mapesa yote hayo wakati watu ni wafanyakazi wa serikali wapuuzi uzuri hakuna hata mmoja kati yao atakayekuwa Raisi

Umasikini wako sio kigezo cha wengine wenye mahela kugombea....masikini na mkokoteni tajiri na mali zake...
 
Mkuu mwakalinga,licha ya watia nia wengi kuvizia uwaziri kwnye serekali ijayo pia wengi wao umaarufu wa kisiasa.naamin kabisa kwa hao wote waliotia nia ni watu watatu kama sio wanne ambao kweli waautaka urisi seriously.wengine waliobaki ni wapambe tu,wanawasindikiza watu wao.baadae watakuja kujitoa na kuwaunga mkono watu wao.pia kwa kuwa na utitiri wa atia nia kumesaidia sana kupunguza attention kubwa ya wananchi iliyokuwepo kwa baadhi ya watia nia( mf, edo).upepo umeshift,attention zimegawanywa na habari za kina edo zinafifia taratibu.nadhani sasa kamati kuu ikiamua kuwachinjia baharini wale waliokuwa wajifanya madon haitaleta attention kubwa sana manake mbona wengine wengi watatoswa pia..
 
katika kile ambacho hakukutarajiwa na wengi,safari hii kumekuwepo na wagombea wengi wanaosaka uraisi kupitia ccm ukilinganisha na miaka ya nyuma.
Moja ya mambo ambayo yamenisukuma kuandika uzi hiu ni pale nilipoona hata wale waliosemekana ni wafuasi wa kambi fulani nao wemechuka fomu.

Ccm ni chama kikongwe na ni chama chenye demokrasia (usisahau kila nchi ina tafsiri yake ya demokrasia-vivyo hivyo vyama vya siasa hususani vilivyoko madakani kwa afrika vina utamaduni wao ambao ndio wanautafsiri kama demokrasia). Utaratibu wa ccm unajulikana wazi kwamba utu uzima ama uzee ndio busara na haitoshi maamuzi ya wazee(wachache) wote twapaswa kuyafuata. Pia utamaduni mwingine wa ccm ni wa kila anayetaka uongozi ajipime mwenyewe kabla ya kupimwa.

Siku za hivi karibuni kumekuwa na vurumai ya kuvuruga utaratibu na miiko ya ccm bila kuogopa mustakabali wa chama (inawezekana kila mmoja anahisi utaratibu wa awali haukuwa sahihi).pia upo uwezekano kwamba alisema wazee wasiwe na maamuzi ya juu kama ilivyokuwa awali ndiye aliyevuga utaratibu hivyo wengine wakaamua wafanye watavyo.

Waliojitokeza kwa kutandaza nia hushangai kwa makusudi wakiwa na sera zao mkononi kana kwamba chama hicho hakina sera. Mbaya zaidi ni pale wanapoelezea sera zinazokinzana na sera ya chama wanachotaka kukiwakilisha (tusiwahukumu kwa hilo inawezekana demokrasia ya chama iliwanyima fursa yakufanya haya mazuri wanayotueleza sasa). Kwa tafsiri ndogo nayoipata ni kama mwalimu ambaye hafundishi wanafunzi anatarajia kufundisha atakapota ukuu wa shule.

Napata mashaka kwamba siri ya hawa (baadhi yao) wanaotangaza nia kupitia ccm ni wasaka uwaziri kiujanja ujanja ( waonekane kwamba nawanaushawishi- wasiachwe kwenye serikali ijayo kama ccm ikishinda ).

Nawasilisha.

f.al.a uliiba mitihani galanos
mbulula
what is democracy ; what is ccm & relationship btw democracy and ccm
 
Kumbe hamjagundua siri, ni kwamba huo ni mpango maalum wa kumkata Edo maana wataadhibiwa wote waliotumia utaratibu kama wake ili asipate sababu ya kuonewa kisha watamchagua miongoni mwa kundi ambalo halijatumia utaratibu kama wake . CCM itabaki tuu kuwa dira ya democrasia Afrika na makini ktk kuendesha mambo yake ki sayansi
 
Back
Top Bottom