Hii ndio Shinyanga Maji

hapa sio shy mahali ule mradi umepita lazima hapa pawe maswa kwani huo mradi uko kahama na shinyanga mjini tu..
 
Hapo siyo shy wala kahama. Siku hizi hayo maeneo maji yapo bwerere labda ushindwe mwenyewe. Mradi umeleta ukombozi mkubwa sana shy japo nina wasiwasi kama kweli maji yatafika tabora kama ilivyoahidiwa na kilanja wa magamba.
 
Back
Top Bottom