Hii ndio serikali ya Kikwete na Mafisadi yake

There is no doubt kikwete ni fisadi hii iko wazi kabisa we angalia tu process ya yeye kuteuliwa na ccm kua presidential candidate "wanamtandao" ndio washkaji wake na wooote ni mafisadi sasa unategemea jakaya awe clean.
 
It is so sad that people are just starting to realize that Kikwete is corrupt now, while others warned about his sneakiness af far back as 1995.
 
It is so sad that people are just starting to realize that Kikwete is corrupt now, while others warned about his sneakiness af far back as 1995.


Pundit,
Japo JK anachemsha vibaya vibaya, unaweza kuumpa kasifa kidogo kwamba ndie Rais wa kwanza aliyekuwa na upinzani ndani ya CCM na akashinda bila kupigiwa mapande?

Rais wa kwanza ndio hivyo tena. Chagua Nyerere au boxi tupu.

Mwinyi alibebwa na Nyerere.

Mkapa alikuwa offside ndani ya 18, kiungo Nyerere akampa pande la nguvu akamalizia. Kina Malecela, Kikwete na wapinzani wengine ndani ya CCM walipoleta kokolo, Mchonga akawazima kwa hasira kali sana.

Unaonaje?
 
Kasifa kwa wizi, coercion, deception and corruption?

Kuanzia $ 20 za Wairan mpaka kumuibia yule mama hela zake Moro mpaka kumchafua Dk. Salim kwa Photoshopped pics, yaani jamaa amefanya mambo desperate kishenzi.

Pleeeeease,

Kama angeshinda fair and square ningesema sawa, lakini Kikwete ka-employ every last one of Machiavellian tricks coupled with some Sun-Tzu moves that are closer to a Mugabe that a PURT.

Kikwete is the lowest point the presidency has ever sunk, I used to think it was Mwinyi, now Kikwete easily broke that record.
 
Kasifa kwa wizi, coercion, deception and corruption?

Kuanzia $ 20 za Wairan mpaka kumuibia yule mama hela zake Moro mpaka kumchafua Dk. Salim kwa Photoshopped pics, yaani jamaa amefanya mambo desperate kishenzi.

Pleeeeease,

Kama angeshinda fair and square ningesema sawa, lakini Kikwete ka-employ every last one of Machiavellian tricks coupled with some Sun-Tzu moves that are closer to a Mugabe that a PURT.

Kikwete is the lowest point the presidency has ever sunk, I used to think it was Mwinyi, now Kikwete easily broke that record.

Lakini na CCM si walimfanyia U-makaveli 1995? Angelala chini ajigalagaze wamkanyage tena?
 
Lakini na CCM si walimfanyia U-makaveli 1995? Angelala chini ajigalagaze wamkanyage tena?

No,

Unapiga some honorable Samurai blows, kama vipi death before dishonor, kamikaze style, sio huyu "power at all cost"
 
No,

Unapiga some honorable Samurai blows, kama vipi death before dishonor, kamikaze style, sio huyu "power at all cost"

Kuna wakati mwingine inabidi ufanye maovu ili kufika sehemu itakayo kupa nguvu kuondoa maovu. Unaijua hiyo nadharia?
 
The end justifies the means, Kikwete hawezi hata kusema hivyo kwa sababu hamna chochote muhimu anachofanya sasa hivi.

Kama angekuwa ana deliver angalau angeweza kusema ilibidi niingie katika Urais by hooks or crooks halafu nilivyoingia nikafanya kweli.

He cannot even begin to dream that he is pretending to spin it like that to me.
 
Kuna wakati mwingine inabidi ufanye maovu ili kufika sehemu itakayo kupa nguvu kuondoa maovu. Unaijua hiyo nadharia?



Unachosema ni kweli ila sasa wapi hayo maovu yanayoondolewa naye .Tunaweza kusahau trick alizofanya automatically kama tukiweka kwenye mzani tunaona mema mengi kutoka kwake kwa nchi yake ukilinganisha na ubaya.
Kama utakumbuka jamaa alishinda kwa kishindo na watu walikuwa wanamfagilia akisema ari mpya na kasi mpya nk.Si magazeti si nani,sasa unafikiri kwa nini wamegeuka,kwa nini wanakumbuka trick zake mbovu kwenye uchaguzi.Hakuna hilo la kuondoa maovu thats why!
 
Mutu, heshima kwanza.

Ni kweli kabisa kazidi kuharibu. Na limesema hilo mwanzoni nilipoanza kufikiria kuhusu mbinu zake za uchaguzi, na 'kasifa kadogo' ambacho niliuliza kama anaweza kupewa kwa jinsi alivyo wapindua wa kina Salim, Malecela, Kitine, Sumaye, Prof. Mwondosya, Kigoda...

Sasa hivi tunamhukumu kwa kuangalia nyuma. Na anastahili. Hafai, hawezi Urais. Lakini kama aliamini kwamba ataleta mabadiliko, akaona wanamfanyia U-Makaveli, hakuwa sawa kufanya vyovyote vile - hizo corruption za mtandao - ili ajaribu kufanya hayo mabadiliko?

Ukikubali ile nadharia ya kufanya ovu kuondoa maovu - ambayo umesema unakubali- na ukamwangalia kana kwamba tuko mwanzoni wa utawala wake kabla hajaanza kuvurunda, hastahili hako kasifa?
 
hakuna zuri linalotokana na uovu....
na kujidanganya ukasema nafanya uovu ili niweze kufanya wema ni uongo.
kikwete alikubali kubebbwa na mafisadi na yeye anajua, ndo sasa inatu costt watanzania sote
 
Pundit,
Japo JK anachemsha vibaya vibaya, unaweza kuumpa kasifa kidogo kwamba ndie Rais wa kwanza aliyekuwa na upinzani ndani ya CCM na akashinda bila kupigiwa mapande?

Rais wa kwanza ndio hivyo tena. Chagua Nyerere au boxi tupu.

Mwinyi alibebwa na Nyerere.

Mkapa alikuwa offside ndani ya 18, kiungo Nyerere akampa pande la nguvu akamalizia. Kina Malecela, Kikwete na wapinzani wengine ndani ya CCM walipoleta kokolo, Mchonga akawazima kwa hasira kali sana.

Unaonaje?

Na EPA JE??? si pande kubwa sana hilo
 
there is something very creepy about kikwete,I mean ,the guy won 80 percent of votes and he rarely communicate with people who electected him,make huge changes to his line up without any well thought out explanation,I think a case can be made for his removal,he is too incompetent
 
Kikwete nchi anaipeleka ktk vurugu kubwa sana. Tatizo yeye ni ndumila kuwili yaani kwa wananchi anaonekana na kwa mafisadi anaonekana. Sasa mafisadi yameelemewa tutarajie vikao vya siri vya mafisadi kuanzia sasa maana idadi inatosha kuanzisha kijiwe na yananguvu za kutosha dhidi ya Kikwete (Rostam, Lowasa, Chenge) wako katika kamati kuu ya chama, Karamagi, msabaha, pamoja na mafisadi wadogo kama Hosea, Mwanyika, nk
 
Back
Top Bottom