Hii ndio sababu ya Wanawake kutodumu katika Mahusiano ya Mapenzi na ndoa siku hizi

nyaggad

JF-Expert Member
Dec 28, 2014
1,160
692
Habari wakuu!

Kama. Kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu,Siku hizi wanaume wengi. Wamekuwa. Wakilalamika kuwa wanawake. Wa siku hizi. Wana matatizo sana,

Tofauti. na Wazamani ambao ni bibi na Mama zetu,Hali ambayo. Imepelekea. Wanawake. Wengi kutoolewa na wengine. Kuolewa. na kuachika kwa mda mfupi,

Nimefanya tafiti nimegundua sababu ni nyingi lakini leo
Nitaelezea sababu Moja tu

1)Mila na tamaduni zetu,

Hapo zamani Binti alikuwa akifikisha miaka 14 anapelekwa unyagoni kufundishwa. Majukumu ya Mwanamke kwa Mwanaume na Familia kwa ujumla, Binti alipokuwa akimaliza mafunzo hayo alionekana kujitambua,
Kujituma. Kufanya kazi za nyumbani na kuheshimu!

Wanaume tofauti na wanawake. Wa siku hizi Eti unakutwa Mwanamke ana Miaka 30. Akiwa anataka kuolewa ndio anapelekwa" kitchen party"
Kujifunza namna ya kuishi na Mwanaume na kutunza Familia yake,wahenga wanasema (samaki mkunje angali mbichi) hivi Kweli Unaweza ukamfundisha Mwanamke.

Wa Miaka 30 namna ya kuishi na Mwanaume?, unaweza ukamfundisha usafi na kupika kweli? Tusidanganyane, ukweli ni kwamba wanawake wengi siku hizi hawa Dumu katika mahusiano na ndoa kwa sababu hawa kupewa Mafunzo ya Maisha ya Ndoa Mapema, kama walivyopewa Bibi zetu, Matokeo
Yake Ma Binti wengi wamekuwa "Brain washed" na utandawazi wa kileo!

Nakaribisha mtizamo tofauti!
 
Wengi kujua haki zao na wengi wa hawa ni Wasomi. Wengi utaambiwa wanajifanya wajuaji sana kutokana na elimu yao, wabishi na mengine mengi, lakini wako wasomi wanawaheshimu waume zao kuliko hata wasio na elimu hivyo kuwaweka wanawake wote wasomi kwenye kundi hili la “wajuaji” kwa maoni yangu siyo sawa.
 
Wengi kujua haki zao na wengi wa hawa ni Wasomi. Wengi utaambiwa wanajifanya wajuaji sana kutokana na elimu yao, wabishi na mengine mengi, lakini wako wasomi wanawaheshimu waume zao kuliko hata wasio na elimu hivyo kuwaweka wanawake wote wasomi kwenye kundi hili la “wajuaji” kwa maoni yangu siyo sawa.
BAK umenena vyema. Nina mshikaji wangu mmoja ni mpole sana. Alioamwaka 1988. Mwaka 1990 mke wake alienda Beijing China kwenye mkutano mkubwa wa wanawake, kudai haki zao Na USAWA.
Mke aliporudi Tz alirudi ma msimamo mkali.
Ratiba ilibandikwa sebuleni, chumbani Na mlango mkubwa wa kutokea nje, ukimkumbusha baba mwenye nyumba zamu zake za kufagia, kuosha vyombo , kufua Na kudeki.
Mshikaji wangu alikuwa mpole, miti na mnyenyekevu aliye nyimwa kipaji cha ufala Na uzuzumagic
 
Wengi kujua haki zao na wengi wa hawa ni Wasomi. Wengi utaambiwa wanajifanya wajuaji sana kutokana na elimu yao, wabishi na mengine mengi, lakini wako wasomi wanawaheshimu waume zao kuliko hata wasio na elimu hivyo kuwaweka wanawake wote wasomi kwenye kundi hili la “wajuaji” kwa maoni yangu siyo sawa.
Ukiweka mbali siasa unaongea point sana
 
Wakuu tuache kulalamika munajua chanzo cha makosa yoye haya duniani ni nani? Ni MWANAUME.

1.Kosa la 1 alimuamini sana mwanamke kuliko Mungu pale edeni,

2.Alivunja nadhiri ya Mungu sababu ya mwanamke mf.samsoni kwa delila

3.Aligeuzwa moyo akaacha kusimama ktk hekima aliyo pewa.mf.Suleman

4.Alitaka kuupukutisha ufalme hata akapoteza sifa ya kujenga hekalu mf.ni Daud

~Mwanaume akikosea dunia huyumba

~Mwanaume akikosea watu hujuta

~Mwanaume akikosea maisha huwa magum sana mf.......

~Mwanaume akikosea dhambi yake humfanya Mungu awe na hasira kali maana yy ndio kichwa.

~Mwanamke alikuja kukamilosha udhaifu mdogo tu wa mwanaume na ndio maana aliitwa msaidizi,ila mtendaji ni mwanaume.

Nb:kumbuka ulipo anguka ukatubu,tuache lawama hazita saidia hata adam alisema si mm ni mwanamke ulie nipa.lkn aliingia kwenye adhabu hadi leo kwakua hakusimama kwenye nafasi.simama kwenye nafasi
 
Kote naongea sense kama na ushahidi naweka tena wa kina. Mkapa fisadi na mwizi, Kikwete fisadi na mwizi, uchwara fisadi na mwizi hawa watu katika Nchi zenye kufuata utawala wa sheria walitakiwa wawe lupango kwa mvua nyingi tu. Huyo uchwara kafanya wizi na ufisadi for more than 20 years badala ya kuwa jela sasa yuko Ikulu eti anainyoosha nchi!!! ONLY IN TANZANIA!!

Ukiweka mbali siasa unaongea point sana
 
mwanamke ni msaidizi anapokosea mkosoe ila sio stail kama tunazomfanyia yohana kule feri fanya kwa upole tu kwa maneno machache yenye busara kisha kaa mbali au nenda kazin kama ni mda wa kaz

kama kuna dalili ya jambo linalofanania na la nyuma mkubushe tu "unayakumbuka niliyokuambia" bas jibizana nae kwa mda mfupi sana akiongea maneno1000 we ongea mawili akizidi sana nyanyuka ulipo nenda ata kwa jiran kama ni mnywaji kashtue ata moja mahali kaa ata masaa ya kutosha na stor nyingi

hawa viumbe huwa wanajipa adhabu wenyewe na wanajihukumu wenyewe usifanye ushindani nao siri zako kubwa baki nazo mwenyewe

humbadilishi mwanamke kwa kumpiga sana au kumtukana sana au kumgombeza sana kuwa na kifua onyesha msimamo wako watajitandika wenyewe tena adhabu kali zaidi ya hata ambayo ungempa wewe
 
Wengi kujua haki zao na wengi wa hawa ni Wasomi. Wengi utaambiwa wanajifanya wajuaji sana kutokana na elimu yao, wabishi na mengine mengi, lakini wako wasomi wanawaheshimu waume zao kuliko hata wasio na elimu hivyo kuwaweka wanawake wote wasomi kwenye kundi hili la “wajuaji” kwa maoni yangu siyo sawa.
Sawa mkuu,kwa. Michango yako!
 
Habari wakuu!

Kama. Kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu,Siku hizi wanaume wengi. Wamekuwa. Wakilalamika kuwa wanawake. Wa siku hizi. Wana matatizo sana,
Tofauti. na Wazamani ambao ni bibi na Mama zetu,Hali ambayo. Imepelekea. Wanawake. Wengi kutoolewa na wengine. Kuolewa. na kuachika kwa mda mfupi,
Nimefanya tafiti nimegundua sababu ni nyingi lakini leo
Nitaelezea sababu Moja tu

1)Mila. na tamaduni zetu,hapo zamani Binti alikuwa akifikisha miaka 14 anapelekwa unyagoni kufundishwa. Majukumu ya
Mwanamke kwa Mwanaume na Familia kwa ujumla, Binti alipokuwa akimaliza mafunzo hayo alionekana kujitambua,
Kujituma. Kufanya kazi za nyumbani na kuheshimu!
Wanaume,tofauti na wanawake. Wa siku hizi Eti unakutwa Mwanamke ana Miaka 30
Akiwa anataka kuolewa ndio anapelekwa" kitchen party"
Kujifunza namna ya kuishi na Mwanaume na kutunza Familia yake,wahenga wanasema (samaki mkunje angali mbichi)hivi Kweli
Unaweza ukamfundisha Mwanamke. Wa Miaka 30 namna ya kuishi na Mwanaume?,unaweza ukamfundisha usafi na kupika kweli?Tusidanganyane,ukweli ni kwamba wanawake wengi siku hizi hawa Dumu katika mahusiano na ndoa kwa sababu hawa kupewa Mafunzo ya Maisha ya Ndoa Mapema,kama walivyopewa Bibi zetu,Matokeo
Yake Ma Binti wengi wamekuwa "Brain washed" na utandawazi wa kileo!

Nakaribisha mtizamo tofauti!
Umenena mkuu
 
Back
Top Bottom