Hii ndio Sababu ya kuanza ufugaji wa kuku wa kienyeji

Kwahiyo vinakufa 15 out of 95??..Basi uko njema mkuu ! Kuna mikuku ilikua unaiwekea mayai 12 kinatoa kifaranga kimoja..siwehu huo! Na Kuna miez na miez ya kutotoa..mie toka corona umeanza had leo sijamwekea kuku yai tunakula tu coz Kuna baridi sana
Ufugaji wa kuku ni changamoto sana. Mwanzoni kwenye vifaranga 130, vilikufa vikabaki 20. vifaranga vilikua vinajikunyata sana, kinyesi kinaganda kwenye mnyeo, vilikua havina nguvu za miguu lakini vilikua vinadumaa sana yaani nikikuonyesha kifaranga cha miezi miwili ni kidogo sana hutaamini.

Nikaenda kuiba mbinu kwa jamaa fulani ili bachi ijayo ya vifaranga, nipunguze vifo.
Nilipopata vifaranga wengine 90, nilihakikisha vinakaa sehemu safi na vyombo vya chakula na maji ni visafi. Nikanunua chakula kwenye kampuni fulani inatengeneza chakula cha kuku. Nikanunua mifuko mitatu ya chakula cha vifaranga kuku wa nyama.

Vifaranga sikuvitoa nje, vilikaa ndani kwa siku 10 lakini siku ya saba nikavipiga chanjo ya matone. Baada ya ya siku saba tena nikawapiga tena chanjo ya matone. Nilihakikisha chakula wanachokula ni kile special tu.

Kati ya vifaranga 90, kilikufa kimoja tu. Hivi sasa nikikuonyesha kifaranga cha mwezi mmoja, hutaamini. Nasubiri vikikamilisha mwezi ndio nianze kuwapa Pumba, unga wa dagaa na mabaki ya misosi yetu.
 
Ufugaji wa kuku ni changamoto sana. Mwanzoni kwenye vifaranga 130, vilikufa vikabaki 20. vifaranga vilikua vinajikunyata sana, kinyesi kinaganda kwenye mnyeo, vilikua havina nguvu za miguu lakini vilikua vinadumaa sana yaani nikikuonyesha kifaranga cha miezi miwili ni kidogo sana hutaamini.
Nikaenda kuiba mbinu kwa jamaa fulani ili bachi ijayo ya vifaranga, nipunguze vifo.
Nilipopata vifaranga wengine 90, nilihakikisha vinakaa sehemu safi na vyombo vya chakula na maji ni visafi. Nikanunua chakula kwenye kampuni fulani inatengeneza chakula cha kuku. Nikanunua mifuko mitatu ya chakula cha vifaranga kuku wa nyama. Vifaranga sikuvitoa nje, vilikaa ndani kwa siku 10 lakini siku ya saba nikavipiga chanjo ya matone. Baada ya ya siku saba tena nikawapiga tena chanjo ya matone. Nilihakikisha chakula wanachokula ni kile special tu.
Kati ya vifaranga 90, kilikufa kimoja tu. Hivi sasa nikikuonyesha kifaranga cha mwezi mmoja, hutaamini. Nasubiri vikikamilisha mwezi ndio nianze kuwapa Pumba, unga wa dagaa na mabaki ya misosi yetu.
Laiti ningekuwa jirani na ulipo ningeweka order ya mayai nitotoleshe
 
Tuseme nina kuku majike 20 wa umri sawa. Wakianza kutaga tuchukulie ratio ya 20:15 ambako kila siku napata mayai 15.

Kwa wiki nitakuwa na mayai nitakuwa na mayai 105 na kwa mwezi nitakuwa na mayai 420 nikiyaweka kwenye incubator nitaweza kupata vifaranga 300. Nikivitunza vizuri naweza kuza hadi 250.

Mpaka mda mayai yanatoka kwenye incubator tayari kuku wengine watakuwa wameanza kutaga. Hivyo utagundua nitaweza kupata kuku wengi.

Kuwa na kuku watano haimaanishi ndio uwezo au mtaji Bali najaribu kutafuta breed nzuri.
Lakini kuku wa Kienyeji ana kiwango cha kutaga, Kuna kuku akitaga mayai 8 anahatamia na wengine huwa wanataga wanafunga kutaga bila kuatamia.
 
Kuku ambao hawaangui mayai vizuri ni wale kuku wanaokula sana wakati wa kutoka. Unampa chakula kingi mpaka anajisahh anaanza kuacha kinyesi kwenye mayai hivyo mayai yataaribika. Kuku anaeatamia usiwe unampa chakula muache atafute mwenyewe akiwa nje akishiba atarudi kwenye kiota ila ukimpa chakula kingi atajisahau ataanza kubaki huko nje wakati mayai yanapigwa baridi
Kwahiyo vinakufa 15 out of 95??..Basi uko njema mkuu ! Kuna mikuku ilikua unaiwekea mayai 12 kinatoa kifaranga kimoja..siwehu huo! Na Kuna miez na miez ya kutotoa..mie toka corona umeanza had leo sijamwekea kuku yai tunakula tu coz Kuna baridi sana
 
sikukatishi tamaa ila nakupa somo la kuku wa kienyeji liko hivyo

Kuku wa kienyeji hutaga mayai 15 hadi 20 kwa bachi moja.

Kuku wa kienyeji hutamia/hulalia mayai hayo kwa siku zisizo pungua 21.

Na anakuwa na uwezo wa kutotoa vifaranga 7, 10, 15 au zaidi, hii idadi inategemea sababu nyingi tutazieleza wakati mwingine.

Kuku huyu hulea hivyo vifaranga kwa muda wa siku 90 yani miezi mitatu ndipo atapo anza kutaga tena.

Na ndani ya siku hizo 90 tukadirie wastani alitotoa vifaranga 13, lakini sio kweli kwamba ukimuachia kuku avilee vifaranga atavikuza vyote hapana, tuseme vifaranga vilivyo kuwa ni vinne (4) tu.

Haya sasa tujumlishe siku zote za huu mzunguko wa kupata vifaranga vinne kwenye bachi moja aliotaga kuku.

Kutaga siku 15 + Kulalia siku 21 + Kulea siku 90 Jumla zinakuwa siku 126.

Kwa hiyo siku 126 utakuwa umepata vifaranga vinne (4) tu, na kwa mwaka wenye sikumaana hiyo mwaka uwenye 360 utakuwa umefanya mizungo kama hii ya siku 126 mara tatu hivyo utakuwa na vifaranga na kuku wanaokuwa 12 tu ndani ya mwaka, HII NI HASARA #TUBADIRIKE SASA.

Sasa fahamu kwamba kuna mambo ambayo unaweza kuyafanya na kupata vifaranga zaidi ya 100 kwa mwaka kutoka kwa kuku wako wa kienyeji badala ya kuku 12 kwa mwaka.

Ushauri: tufuge kibiashara

Huo ni ufugaji wako na ndiyo maana ulikata tamaa na umeona usikatishe mwenzio tamaa.
We uliona wapi mfugaji mwenye lengo la kuongeza idadi ya kuku anamuachia kuku alee vifaranga kwa miezi mitatu??

Hiyo kulalia tu walio wengi kwa sasa huweka kwenye machine, so kuku anarudi haraka kwenye mzunguko wa kutaga tena na kazi ya kulea vifaranga ni ya mfugaji.
 
Kuku ambao hawaangui mayai vizuri ni wale kuku wanaokula sana wakati wa kutoka. Unampa chakula kingi mpaka anajisahh anaanza kuacha kinyesi kwenye mayai hivyo mayai yataaribika. Kuku anaeatamia usiwe unampa chakula muache atafute mwenyewe akiwa nje akishiba atarudi kwenye kiota ila ukimpa chakula kingi atajisahau ataanza kubaki huko nje wakati mayai yanapigwa baridi

Ni kweli mkuu.
Lakini bado ugumu unakuja kukuza vifaranga vyote
 
Ufugaji wa kuku ni changamoto sana. Mwanzoni kwenye vifaranga 130, vilikufa vikabaki 20. vifaranga vilikua vinajikunyata sana, kinyesi kinaganda kwenye mnyeo, vilikua havina nguvu za miguu lakini vilikua vinadumaa sana yaani nikikuonyesha kifaranga cha miezi miwili ni kidogo sana hutaamini.
Nikaenda kuiba mbinu kwa jamaa fulani ili bachi ijayo ya vifaranga, nipunguze vifo.
Nilipopata vifaranga wengine 90, nilihakikisha vinakaa sehemu safi na vyombo vya chakula na maji ni visafi. Nikanunua chakula kwenye kampuni fulani inatengeneza chakula cha kuku. Nikanunua mifuko mitatu ya chakula cha vifaranga kuku wa nyama. Vifaranga sikuvitoa nje, vilikaa ndani kwa siku 10 lakini siku ya saba nikavipiga chanjo ya matone. Baada ya ya siku saba tena nikawapiga tena chanjo ya matone. Nilihakikisha chakula wanachokula ni kile special tu.
Kati ya vifaranga 90, kilikufa kimoja tu. Hivi sasa nikikuonyesha kifaranga cha mwezi mmoja, hutaamini. Nasubiri vikikamilisha mwezi ndio nianze kuwapa Pumba, unga wa dagaa na mabaki ya misosi yetu.

Mie Siri nayoijua kuhusu vifaranga hakikisha wasikanyage chini .wasipate unyevunyev miguuni Wala ule ubaridi wa sakafu..huo ya special diet mie sijawah nunua hizo misosi..ni pumba namix na uduvi na chanjo...Basi..nawakuzia kwenye box nahakikisha box haliloi .likiloa nabadili..🤧🤧! Lakini sijawah shawishika nifuge kibiashara
 
Habari za usiku huu wadau.

Baada ya kupata taabu ya kutafuta kuku wa kienyeji wa kula, sasa nimeua rasmi nianze ufugaji mwenyewe.

Nimejaribu kuangalia sokoni, utakuta kuku wa elf 17 ni mdogo sana hatoshi mwanaume wa shoka kula, hiyo inaonekana soko la kuku hawa lipo ukizingatia upatikanaji wake ni wa tabu sana.

Vifaa vyote vya kufugia ninavyo nimeviweka ndani kwa mda wa miaka kama mitatu hivi.

Vifaa nilivyo navyo ni Incubator ya mayai 1056, feeder 500 na drinker 500.

Kwa sasa nimeanza na kuku 8, watatu nimeshakula wamebaki 5 mbegu safi na kuna sehemu nimeweka order ya kuku 10.

Nimenunua kuku wachache kwani ndio naanda mabanda.

Nitawapa mrejesho zaidi baada ya miezi 3.
Nina kuku wanataga qa kienyeji piwa kama unahtaji nawauza bei nzur. Namna nzur ya kufuga kuku wa kienyeji ili upate faida uwe na eneo na incubeta. Watakuwa wengi sana kwa muda mfupi
 
Wakuu mwenye kutoa huduma ya kutotolesha (incubator) makao makuu tuwasiliane, ninakusanya idadi nzuri ya mayai ya kienyeji nataka niyageuze kuwa kuku...
 
sikukatishi tamaa ila nakupa somo la kuku wa kienyeji liko hivyo

Kuku wa kienyeji hutaga mayai 15 hadi 20 kwa bachi moja.

Kuku wa kienyeji hutamia/hulalia mayai hayo kwa siku zisizo pungua 21.

Na anakuwa na uwezo wa kutotoa vifaranga 7, 10, 15 au zaidi, hii idadi inategemea sababu nyingi tutazieleza wakati mwingine.

Kuku huyu hulea hivyo vifaranga kwa muda wa siku 90 yani miezi mitatu ndipo atapo anza kutaga tena.

Na ndani ya siku hizo 90 tukadirie wastani alitotoa vifaranga 13, lakini sio kweli kwamba ukimuachia kuku avilee vifaranga atavikuza vyote hapana, tuseme vifaranga vilivyo kuwa ni vinne (4) tu.

Haya sasa tujumlishe siku zote za huu mzunguko wa kupata vifaranga vinne kwenye bachi moja aliotaga kuku.

Kutaga siku 15 + Kulalia siku 21 + Kulea siku 90 Jumla zinakuwa siku 126.

Kwa hiyo siku 126 utakuwa umepata vifaranga vinne (4) tu, na kwa mwaka wenye sikumaana hiyo mwaka uwenye 360 utakuwa umefanya mizungo kama hii ya siku 126 mara tatu hivyo utakuwa na vifaranga na kuku wanaokuwa 12 tu ndani ya mwaka, HII NI HASARA #TUBADIRIKE SASA.

Sasa fahamu kwamba kuna mambo ambayo unaweza kuyafanya na kupata vifaranga zaidi ya 100 kwa mwaka kutoka kwa kuku wako wa kienyeji badala ya kuku 12 kwa mwaka.

Ushauri: tufuge kibiashara
Umefanikiwa kuonyesha ugumu/changamoto kuliko suluhisho.

Ungeeeleza jinsi ya kufuga kibishara ungekuwa umesaidia zaidi.
 
Niweke wazi nitakuwa nafunga kibiashara lakini si kwa ajili ya kutoboa. Mlaji mkubwa kwanza nitakuwa mimi, alafu ndio watu suala la kuuza lifuatie. Japokuwa pia lengu langu niweze kuuza kila wiki kuku 200.

Chakula hakitakuwa ishu, nimetenga heka 10 kwa ajili ya kulima chakula chao msimu ujao.
Soko halikuwa tatizo ,Serengeti national park kuanzia ndabaka mpk hoteli zote za humo wanahitaji sana sana supplier wa uhakika. Nikiwa na kuku 5000 walinifata na kunipa order 20000/= kwa kila kuku wa kilo 1.5 . Kwa sasa wanatoa kuku arusha,Kilimanjaro na tarakea upande wa Kenya. Kusafirisha kuku inawagarimu wastani wa 35000/kwa kila kuku kuwasafirisha na kuwatunza . So soko lipo niliuza krbu 4500 kwa bei 20000/= unaweza kufanya hesabu hiyo. Lkn sikupata faida niliyotarajia hivyo niliachana na huo mradi. Shida kubwa sio magonjwa ,wala production shida ni gharama ya chakula. Ni kubwa sana sana hata ukilima hutaweza kulima kila hitaji,ukumbuke nilifanya mradi karibu kbsa na Serengeti hapo lamadi.
Maji ipo ya kutosha maana ni karibu na ziwa viktoria,wizi sio tatizo wasukuma wa Yale maeneo ni very honest .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji. Nawafuga kwa biashara. Naomba nitofautiane na wewe.
Kuku wangu wanataga mayai 13 hadi 16. Hata kama itatokea matetea wanaotaga ni wengi, hua nachagua matetea 15 tu kwaajili ya kulalia. Muda wa kulalia ni siku 21. Kila kuku namuwekea mayai 10 ya kulalia. Wapo wanaoa toa vifaranga vyote na wengine wanatoa mpaka vifaranga 5 au 6. Baada ya kutotoa, nawapokonya vifaranga kisha navilea mwenyewe. Siku ya 7 mpaka 10, kuku wanaanza kutaga tena.
Chukulia hao matetea 15 wanipe vifaranga 95. Changamoto za hapa na pale vitakuwa 80.
Ndani ya miezi mitatu kwa matetea 15, nina uhakika wa kupata kuku 80. Kumbuka matetea hawa wanapokuwa wamelalia, kuna matetea wengine wanakua wanataga na wengine wanakaribia kuangua vifaranga. Yaani ni kupokezana akitoka kuku huyu anaingia yule.

Kuku tunauzia mnadani. Wife anaenda mnada wa juma tano na kuku 15, mimi naenda mnada wa jumapili na kuku 15. Bei ya kuuza ni 13000 kwa 14000 ila ukija kitajiri tunakula hadi 17000.
Changamoto zipo nyingi sana na ufugaji wa kuku unahitaji uvumilivu sana na roho ya kutokata tamaa.
Ukiweza kupunguza vifo kwa vifaranga, utaufurahia sana ufugaji wa kuku. Lakini ili uanze kuona faida ya kuku wa kienyeji, unatakiwa ufuge kwa malengo. Kwa mfano. Malengo yako kwa mwaka ni kufikisha kuku 1500 hadi 2000. Jitahidi sana usiwatunze mpaka wafike 2000. Kila Wakifika 300 anza kuuza.
Kwa upande wa tiba, kuku wa kienyeji anachangamoto akiwa kifaranga. Baada ya mwezi changamoto zinaanza kupungua.
Kwenye idadi ya vifaranga vinavyototlewa tatizo ni utaalam,iko hivi kuku atagapo unatakiwa ufanye date labeling kwenye kila yai. Yai halitakiwa kukaa zaidi ya wiki mbili halijalaliwa na mtetea. Ukishachambua mayai yaliyo chini ya wiki mbili angalia body structure ya mtetea,mitetea yenye miili mikubwa au manyoa huwa na uwezo mzuri wa kulalia mayai na kuyapa joto la kutosha. Hakikisha kiota hakina unyevunyevu,na uweke mchanga mlaini na si matambala Mayai yalaze kwa kufuata angle iliyochongoka iangalie chini ili yasimchome mtetea . Weka maji na chakula karibu sana na banda ili isimchukue mda mrefu kutafuta chakula.Fanya hayo na ulete mrejesho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuseme nina kuku majike 20 wa umri sawa. Wakianza kutaga tuchukulie ratio ya 20:15 ambako kila siku napata mayai 15.

Kwa wiki nitakuwa na mayai nitakuwa na mayai 105 na kwa mwezi nitakuwa na mayai 420 nikiyaweka kwenye incubator nitaweza kupata vifaranga 300. Nikivitunza vizuri naweza kuza hadi 250.

Mpaka mda mayai yanatoka kwenye incubator tayari kuku wengine watakuwa wameanza kutaga. Hivyo utagundua nitaweza kupata kuku wengi.

Kuwa na kuku watano haimaanishi ndio uwezo au mtaji Bali najaribu kutafuta breed nzuri.
Kwenye incubator yanatakiwa kukaa mayai yasiyozidi siku nne toka kutagwa ndo utapata matokeo mazuri
 
sikukatishi tamaa ila nakupa somo la kuku wa kienyeji liko hivyo

Kuku wa kienyeji hutaga mayai 15 hadi 20 kwa bachi moja.

Kuku wa kienyeji hutamia/hulalia mayai hayo kwa siku zisizo pungua 21.

Na anakuwa na uwezo wa kutotoa vifaranga 7, 10, 15 au zaidi, hii idadi inategemea sababu nyingi tutazieleza wakati mwingine.

Kuku huyu hulea hivyo vifaranga kwa muda wa siku 90 yani miezi mitatu ndipo atapo anza kutaga tena.

Na ndani ya siku hizo 90 tukadirie wastani alitotoa vifaranga 13, lakini sio kweli kwamba ukimuachia kuku avilee vifaranga atavikuza vyote hapana, tuseme vifaranga vilivyo kuwa ni vinne (4) tu.

Haya sasa tujumlishe siku zote za huu mzunguko wa kupata vifaranga vinne kwenye bachi moja aliotaga kuku.

Kutaga siku 15 + Kulalia siku 21 + Kulea siku 90 Jumla zinakuwa siku 126.

Kwa hiyo siku 126 utakuwa umepata vifaranga vinne (4) tu, na kwa mwaka wenye sikumaana hiyo mwaka uwenye 360 utakuwa umefanya mizungo kama hii ya siku 126 mara tatu hivyo utakuwa na vifaranga na kuku wanaokuwa 12 tu ndani ya mwaka, HII NI HASARA #TUBADIRIKE SASA.

Sasa fahamu kwamba kuna mambo ambayo unaweza kuyafanya na kupata vifaranga zaidi ya 100 kwa mwaka kutoka kwa kuku wako wa kienyeji badala ya kuku 12 kwa mwaka.

Ushauri: tufuge kibiashara
Kuna taarifa nyingi za upotoshaji juu ya kuku wakienyeji..kila mtu anadhani ili ulime ama ufuge kibiashara ni lazma uwe na products za muda mfupi.very wrong..pia mtu anadhani kufuga kuku wa kienyeji ni kuwatupia makombo ya ukoko wa ugali..kuna project ipo mkuranga. Imegharimu heka tatu kwa ajili ya kufugia kuku wa kienyeji...heka moja ni kwa ajili ya kupanda mbogamboga zinazotumika kama chakula cha kuku.mimi binafsi nina tendaya kuwapelekea dagaa chenga nazozifata kilwa pia kuna section ya kuzalisha mende na funza kwa ajili ya chakula cha kuku. Hawa ni pure kienyeji..ufugaji ili ukulipe wekeza mzee acha habari za kuanza na kuku watatu...masoko yapo msumbiji jimbo la pemba na Comoros.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom