Tetesi: Hii ndio sababu ya kiroho kwanini watu wanaookota chupa za plastiki wengi huwa wanaishia kuwa wendawazimu

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
15,101
27,075
Come.to think of it.

Asilimia kubwa ya watu wanao jiingiza katika ujasiriamali WA kukusanya makopo na chupa za plastiki na kisha kwenda kuziuza viwandani huwa wanaishia kuwa wehu kabisa na kuanza kuokota makopo Ile ya kiuwehu wehu kabisa.


Binafsi nimewashuhudia watu wengi Tu ambao walijiingiza kwenye ujasiriamali huu na sasa hivi wamekuwa wendawazimu kabisa.

Mpaka ilifika kipindi nikaanza kuamini kuwa huenda hawa watu wakawa wanarogezewa Uchawi na wanapo Anza KAZI ya kuokota makopo basi Uchawi ndo unakuwa umewaingia na mwisho wa siku huo Uchawi Una graduate na mhusika kuwehuka kabisa.

Sababu za kiroho kwanini watu hawa huishia kuwa wehu?

Kwa sababu wanakanyaga majalalani na kuchukua vitu vya majalalani mara nyingi Sana Kwa siku.


Kwa wastani muokota makopo anaweza kutembelea kwenye majalala 70 mpaka 100 Kwa siku ambako mbali na kukanyaga kwenye majalala hayo huchukua vitu vilivyo tupwa kwenye majalala hayo.


Majalala NI makaazi ya MAJINI WA kisheitwani ambao mbali na kusababishia matatizo mengine kama.vile nuksi nakadhalika lakini Pia ndio MAJINI wanao husika na kuwasababishia watu maradhi ya uwendazimu.

Nadhani ndio maana uchafu huwa unahusishwa na uwendawazimu.

So hawa jamaa hukumbana na MAJINI WA jalalani ambao huwaingia na kuwafanya kuwa wendawazimu.

Katika.ulimwengu WA Wachawi, majalala.ni.madhabahu yenye nguvu kubwa Sana Kwa habari ya kuwasababishia watu maradhi ya uwendazimu au kuwashusha nyota watu maana MTU aliye tiwa maradhi ya uwendazimu huyo.nyota yake.imeshushwa. Hawezi kuheshimika.wala.kuaminiwa na yoyote. Kama NI mfanyabiashara basi.biashara ndio imekufa hivyo.
 
Come.to think of it.

Asilimia kubwa ya watu wanao jiingiza katika ujasiriamali WA kukusanya makopo na chupa za plastiki na kisha kwenda kuziuza viwandani huwa wanaishia kuwa wehu kabisa na kuanza kuokota makopo Ile ya kiuwehu wehu kabisa.


Binafsi nimewashuhudia watu wengi Tu ambao walijiingiza kwenye ujasiriamali huu na sasa hivi wamekuwa wendawazimu kabisa.

Mpaka ilifika kipindi nikaanza kuamini kuwa huenda hawa watu wakawa wanarogezewa Uchawi na wanapo Anza KAZI ya kuokota makopo basi Uchawi ndo unakuwa umewaingia na mwisho wa siku huo Uchawi Una graduate na mhusika kuwehuka kabisa.

Sababu za kiroho kwanini watu hawa huishia kuwa wehu?

Kwa sababu wanakanyaga majalalani na kuchukua vitu vya majalalani mara nyingi Sana Kwa siku.


Kwa wastani muokota makopo anaweza kutembelea kwenye majalala 70 mpaka 100 Kwa siku ambako mbali na kukanyaga kwenye majalala hayo huchukua vitu vilivyo tupwa kwenye majalala hayo.


Majalala NI makaazi ya MAJINI WA kisheitwani ambao mbali na kusababishia matatizo mengine kama.vile nuksi nakadhalika lakini Pia ndio MAJINI wanao husika na kuwasababishia watu maradhi ya uwendazimu.

Nadhani ndio maana uchafu huwa unahusishwa na uwendawazimu.

So hawa jamaa hukumbana na MAJINI WA jalalani ambao huwaingia na kuwafanya kuwa wendawazimu.

Katika.ulimwengu WA Wachawi, majalala.ni.madhabahu yenye nguvu kubwa Sana Kwa habari ya kuwasababishia watu maradhi ya uwendazimu au kuwashusha nyota watu maana MTU aliye tiwa maradhi ya uwendazimu huyo.nyota yake.imeshushwa. Hawezi kuheshimika.wala.kuaminiwa na yoyote. Kama NI mfanyabiashara basi.biashara ndio imekufa hivyo.
kiukweli ni biashara ya kiwango duni sana na mpaka mtu anaanza kuokota makopo kama kazi si bure kuna nut haziko sawa kulinganana aina ya kazi yenyewe
 
Kwahiyo Francis Cheka tumpe muda gani kabla hajawa mental kabisa?

Na mbona hizi mambo zinaapply hapa Tz (Kama ni kweli) wakati huko kwenye tamasha la Roskilde watu wanaokota chupa kama hawana akili nzuri na hakuna anayewehuka?
 
F
Kwahiyo Francis Cheka tumpe muda gani kabla hajawa mental kabisa?

Na mbona hizi mambo zinaapply hapa Tz (Kama ni kweli) wakati huko kwenye tamasha la Roskilde watu wanaokota chupa kama hawana akili nzuri na hakuna anayewehuka?
Don't tell me Francis Cheka anaokota makopo?
 
Basi it's just a matter of time.
Anaokota ndiyo.

Alivyompiga yule kinyozi wa Marekani watu wakadai mmarekani mwenyewe mchovu kumbe kinyozi hoja ikaja sasa mbona Cheka muokota makopo.

Usiniambie hujui chief!?
Basi
 
Tuheshim kazi za watu na tuweke misingi ya kuheshimiana na kuthaminiana,unaanzaje kuona watu fulan kama wamelaaniwa?
Kama mtu anaeokota makopo unamuona hivo vip kuhusu mtu anaefanya kazi mochwari?
Vip kuhusu mtu anaefanya kazi ya kuosha maiti?
Kila mtu athamini nafasi ya mwenzake katika jamii,waokota makopo ni watu kama wewe na wana familia na majukumu pia.

Kuokota makopo kwao hakunifanyi nishushe thaman yao na kuwaona kama vichaaa..WE ARE THE ONE,WE ARE THE CHILDREN

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom