Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Single mother ndio wanaolewa sana katika karne hizi kuliko hao mnaowaona ndio wako royal
nimeshuhudia ndoa kama tatu nne hivi na still wamedumu na wanapendana sana

pia single mother sio kwamba walikuwa wanasoko then wakakosa soko umewapa tafasiri ya tofauti kabisaaa
nadhani ndio maana umekuwa na fikra kama hizo
but all in all ulilosema lipo ila ni kwa wale tunasema vicheche kama ulivyosema pia ni asilimia ndogo sana kwa ulilosema
pia say sorry to single mother hawapo namna hiyo unavyowapa tafasiri hiyo

nilipata mwanamke wa kwanza alijitegesha mimba nimuoe but msimamo ulikuwa nikwamba mimba sio kigezo aliolewa ana mtoto wa pili now
Nilipata mtoto wa kirangi huyu aliolewa na mimba yangu kabisaaa na mtu mwingin

but watoto niliwachukua so mimi pia ni sigle father ila uewanukuu vibaya sana kuna factors nyingi sana zinasababisha kuwa single mothers kama mbili hizo hapo juu
 
Single mother ndio wanaolewa sana katika karne hizi kuliko hao mnaowaona ndio wako royal
nimeshuhudia ndoa kama tatu nne hivi na still wamedumu na wanapendana sana

pia single mother sio kwamba walikuwa wanasoko then wakakosa soko umewapa tafasiri ya tofauti kabisaaa
nadhani ndio maana umekuwa na fikra kama hizo
but all in all ulilosema lipo ila ni kwa wale tunasema vicheche kama ulivyosema pia ni asilimia ndogo sana kwa ulilosema
pia say sorry to single mother hawapo namna hiyo unavyowapa tafasiri hiyo

nilipata mwanamke wa kwanza alijitegesha mimba nimuoe but msimamo ulikuwa nikwamba mimba sio kigezo aliolewa ana mtoto wa pili now
Nilipata mtoto wa kirangi huyu aliolewa na mimba yangu kabisaaa na mtu mwingin

but watoto niliwachukua so mimi pia ni sigle father ila uewanukuu vibaya sana kuna factors nyingi sana zinasababisha kuwa single mothers kama mbili hizo hapo juu

Amekuletea mtoto wa kirangi umemsifia manaake huyo mama yake alikua hot aisee namuonea huruma huyo jamaa aliyemuoa kwa maelezo ya mtoa mada..

Vipi lakini huwasiliani na wazazi wenzake,na kama mkiwasiliana mnaongea nini hasa,
Vipi kuhusu kukumbushia enzi zenu,huwezi kukumbushia kama mkikutana sehemu
Kwanini hujaoa mpaka sasa..

Unawaambia nini wanaume walio waoa wanawake uliowazalisha
 
Amekuletea mtoto wa kirangi umemsifia manaake huyo mama yake alikua hot aisee namuonea huruma huyo jamaa aliyemuoa kwa maelezo ya mtoa mada..

Vipi lakini huwasiliani na wazazi wenzake,na kama mkiwasiliana mnaongea nini hasa,
Vipi kuhusu kukumbushia enzi zenu,huwezi kukumbushia kama mkikutana sehemu
Kwanini hujaoa mpaka sasa..

Unawaambia nini wanaume walio waoa wanawake uliowazalisha
H ah aha ha ah hamna bana naheshimu sana kitu ndoa mkuu wala huwa siwasiliani nao mara kwa mara
wakitaka kusalimia wanao ndio wanannicheki

but soon naweza kuoa namimi pia maana mambo yanaendea vyema
 
just single father married single mother....got it babu!!.....her husband passed away long long time ago....left her with two litle birds.......and i hv two litle birds too..........usikariri
Sasa Babu mbona kumbe wewe kwa muktadha wa hii mada unatakiwa kuwa mshauri sio mchangiaji kama sisi .

Sema nini Babu sijakariri bhana ntake radhi..
 
Sasa Babu mbona kumbe wewe kwa muktadha wa hii mada unatakiwa kuwa mshauri sio mchangiaji kama sisi .

Sema nini Babu sijakariri bhana ntake radhi..
unachangia tuu...but ...kama kuna hoja inahitaji kujadiliwa we do...pole babu
 
Umenikumbusha kisa cha muhindi mmoja alikuwa single father mwenye watoto wanne akaoa single mother mwenye watoto wanne halafu wakazaa watoto wanne siku moja mwanamke anarudi nyumbani akakuta watoto wake wanne na watoto wanne wa mume wake wanawapiga watoto wao wanne basi akampigia mumewe simu akimwabia

" MY HUSBAND COME HOME NOW BECAUSE MY CHILDREN AND UR CHILDREN ARE BEATING OUR CHILDREN "
Hahaha
 
Tatzo mnaongea kwa hisia halafu mnataka muaminishe na wenzenu hisia zenu.. Hii sio sawa!!

Hisia zako zitabaki kuwa zako juu ya jambo/kitu fulani otherwise umetafiti na kuja na results toka kwny reseach yko..

Ndoa ni jambo la siri sana. Ndio maana kuna maneno haya.. ' Tutavumiliana kwenye SHIDA na RAHA...'
 
Kuna kitu watu hawajui kuhusu wanawake...

Wanawake wanaheshimu sana Mwanaume mwenye options nyingi kwenye kila nyanja ya maisha..

Kama mwanaume anayependa kizezeta,hana kosa ila anatuma taarifa kwa mwanamke kwamba hana options which is bad sababu mwanamke ataanza kutafuta kasoro zako tena nyingine za kijinga tu.

Utashangaa anahudumia huyo sijui sababu mfupi,sijui sababu Ana pua kubwa sijui sababu hajui kutongoza,sijui sababu hajui mapenzi yaani yeye Anaamini mwanaume hawezi kukupa kila kitu labda kama Ana kasoro hivo anatafuta kasoro.. Wanawake Ni kama wameumbwa hawajiamini. Yes,ukipata mwanamke anayejiamini utapata raha sana coz unavyomuhudumia anajua huyu mtu ananithamini hivo anazidi kukuheshimu pata Hawa majority waliozoea drama zA kijinga halafu jaribu kumpa kila kitu uone atakavyo kuona bwege.

Single mothers wanaamini hawawezi kupendwa tena hivo wanaingia kwenye relationship kwa strategy na hapo ndo self fulfil prophesy inatokea..Imani inawaponza.Ila mwanaume timamu huwez oa single mother unless alikuwa na mume na mume kafa.Inauma sana ndo ukweli huu .mkiona mwanaume timamu anataka single mother anA psychological problem achunguzwe tu kwakweli,inaumaaaaaaa lakini kwel.

Tunapenda vitu fresh bikra,kigoli,hajatumika sana.Mi binafsi hata nikupendeje nikisikia una mtoto biashara inaishia hapo,sina mda kabisa nitakutania Tania tu na kubeba mwanao sababu napenda watoto
 
Kuna kitu watu hawajui kuhusu wanawake...

Wanawake wanaheshimu sana Mwanaume mwenye options nyingi kwenye kila nyanja ya maisha..

Kama mwanaume anayependa kizezeta,hana kosa ila anatuma taarifa kwa mwanamke kwamba hana options which is bad sababu mwanamke ataanza kutafuta kasoro zako tena nyingine za kijinga tu.

Utashangaa anahudumia huyo sijui sababu mfupi,sijui sababu Ana pua kubwa sijui sababu hajui kutongoza,sijui sababu hajui mapenzi yaani yeye Anaamini mwanaume hawezi kukupa kila kitu labda kama Ana kasoro hivo anatafuta kasoro.. Wanawake Ni kama wameumbwa hawajiamini. Yes,ukipata mwanamke anayejiamini utapata raha sana coz unavyomuhudumia anajua huyu mtu ananithamini hivo anazidi kukuheshimu pata Hawa majority waliozoea drama zA kijinga halafu jaribu kumpa kila kitu uone atakavyo kuona bwege.

Single mothers wanaamini hawawezi kupendwa tena hivo wanaingia kwenye relationship kwa strategy na hapo ndo self fulfil prophesy inatokea..Imani inawaponza.Ila mwanaume timamu huwez oa single mother unless alikuwa na mume na mume kafa.Inauma sana ndo ukweli huu .mkiona mwanaume timamu anataka single mother anA psychological problem achunguzwe tu kwakweli,inaumaaaaaaa lakini kwel.

Tunapenda vitu fresh bikra,kigoli,hajatumika sana.Mi binafsi hata nikupendeje nikisikia una mtoto biashara inaishia hapo,sina mda kabisa nitakutania Tania tu na kubeba mwanao sababu napenda watoto
Ur the true son of ur father!!!
 
First of all asilimia kubwa ya single mothers ni mademu waliokuwaga hot sana kabla hawajawa single mothers.

Whe she was hot usingeweza kuwa nae kwa sababu wewe hukuwa class yake. Still ur not her class.

Anapo kuwa single mother wale wanaume ambao walikuwa class yake wana mkacha.

Hawawezi tena kuwa nae kwa sababu they think she is no longer their class.


Mentality ya mwanaume anae muoa single mother:

Hawa ni wanaume ambao wanapenda kuoa wanawake wenye kasoro au mapungufu ili waweze kuzitumia kasoro hizo au mapungufu hayo kuwatawala vizuri.

Atataka aoe mwanamke ambae amesoma mpaka darasa la saba kwa sababu ana amini atampelekesha na kumburuza and she will remain loyal to him.


Atataka kuoa mwanamke anae toka kwenye familia ya kimasikini ilu aweze kumnyanyasa vizuri.

Atataka aoe mwanamke aliye zalishwa na mwanaume au wanaume wengine kwa sababu ana amini mwanamke huyo anakuwa hana chaguo lingine so atamtawala vizuri.


What happen when mwanaume mwenye mentality hii anapo amua kumuoa single mother?

Mwanaume mwenye mentality hii anapo muoa single mother huwa anaamini kuwa single mother huyo atakuwa loyal sana kwake but matokeo huwa kinyume chake kwa sababu ifuatayo.


A woman will be loyal to u because of two reasons:

1. Whe she thinks u have other better options than her.

2. When she doesn't have any other better options than you.( Wanaume wengi wanao wachukua single mother huwa wana calitalize kwenye fact hii)


All these two facts co exist.


If u marry a single mother she thinks u dont have any other better option than her kwa sababu kama ungekuwa na other better option usinge weza kumuoa yeye ambae amezaa mtoto na mwanaume mwingine. She thinks una mapungufu fulani ndio maana umeshindwa kuoa mwanamke ambae hana mtoto.

Hapo ndo mwanamke huyo anaposhindwa kuwa loyal kwako kwa kiwango ambacho ulikitarajia.


Mwisho wa siku mahusiano huvunjika kwa sababu she doesnt give a damn about u.

°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°
Mkuu naona kama kuna ukwel ndani yake
 
Kuna kitu watu hawajui kuhusu wanawake...

Wanawake wanaheshimu sana Mwanaume mwenye options nyingi kwenye kila nyanja ya maisha..

Kama mwanaume anayependa kizezeta,hana kosa ila anatuma taarifa kwa mwanamke kwamba hana options which is bad sababu mwanamke ataanza kutafuta kasoro zako tena nyingine za kijinga tu.

Utashangaa anahudumia huyo sijui sababu mfupi,sijui sababu Ana pua kubwa sijui sababu hajui kutongoza,sijui sababu hajui mapenzi yaani yeye Anaamini mwanaume hawezi kukupa kila kitu labda kama Ana kasoro hivo anatafuta kasoro.. Wanawake Ni kama wameumbwa hawajiamini. Yes,ukipata mwanamke anayejiamini utapata raha sana coz unavyomuhudumia anajua huyu mtu ananithamini hivo anazidi kukuheshimu pata Hawa majority waliozoea drama zA kijinga halafu jaribu kumpa kila kitu uone atakavyo kuona bwege.

Single mothers wanaamini hawawezi kupendwa tena hivo wanaingia kwenye relationship kwa strategy na hapo ndo self fulfil prophesy inatokea..Imani inawaponza.Ila mwanaume timamu huwez oa single mother unless alikuwa na mume na mume kafa.Inauma sana ndo ukweli huu .mkiona mwanaume timamu anataka single mother anA psychological problem achunguzwe tu kwakweli,inaumaaaaaaa lakini kwel.

Tunapenda vitu fresh bikra,kigoli,hajatumika sana.Mi binafsi hata nikupendeje nikisikia una mtoto biashara inaishia hapo,sina mda kabisa nitakutania Tania tu na kubeba mwanao sababu napenda watoto
Bila shaka ulikaa kikao na single mother wakakueleza hayo uliyoandika hapo mkuu!!

Usitake mtazamo wako uwe wa jamii nzima, wewe kama hupendi kitu mwingine atakipenda, huo ndo utofauti wetu wanadamu.

Unapochangia mada jiongelee wewe kama wewe usi generelize kama vile mlikubaliana ukatumwa kuja kuwakilisha maazimio.
 
Shauri yako
Bila shaka ulikaa kikao na single mother wakakueleza hayo uliyoandika hapo mkuu!!

Usitake mtazamo wako uwe wa jamii nzima, wewe kama hupendi kitu mwingine atakipenda, huo ndo utofauti wetu wanadamu.

Unapochangia mada jiongelee wewe kama wewe usi generelize kama vile mlikubaliana ukatumwa kuja kuwakilisha maazimio.
 
Bila shaka ulikaa kikao na single mother wakakueleza hayo uliyoandika hapo mkuu!!

Usitake mtazamo wako uwe wa jamii nzima, wewe kama hupendi kitu mwingine atakipenda, huo ndo utofauti wetu wanadamu.

Unapochangia mada jiongelee wewe kama wewe usi generelize kama vile mlikubaliana ukatumwa kuja kuwakilisha maazimio.
Hahahaa kwani we huoni akili za wanaume humu dhidi ya single mother....


Mwanaume anapenda ukigoli aisee bikra huna,kutumika sawa hadi engine imeshusha mzigo kweli????hata km mi ndo kaka ako utakubali niache vigoli kisa kumsitiri mtu,kua fair Basi utanishauri nioe mwanamke mwenye mtoto km mm Ni Kaka ako???

Nilisema Ni ukweli mchungu lkn pole kama unapitia kipindi kigumu..
 
Hahahaa kwani we huoni akili za wanaume humu dhidi ya single mother....


Mwanaume anapenda ukigoli aisee bikra huna,kutumika sawa hadi engine imeshusha mzigo kweli????hata km mi ndo kaka ako utakubali niache vigoli kisa kumsitiri mtu,kua fair Basi utanishauri nioe mwanamke mwenye mtoto km mm Ni Kaka ako???

Nilisema Ni ukweli mchungu lkn pole kama unapitia kipindi kigumu..
soma vzr coment yangu uelewe nilichosema mkuu,
mtazamo wako usitake uwe wa wote, kuna wengine wanawakandia masingle mother humu alafu ndo waliowaoa hao hao (nina ushahidi), wengine dada zao single mother, wengine mama zao single mother wamelelewa na huyo single mother mpaka leo wanajiita wanaume...

huo ni ukweli wako wewe na akili yako ndo inakuaminisha hivyo mkuu na fyi am a happy married with two beautiful kids so serve ur sorry for urself

note: a real and matured gentleman will never talk shit about single mother,
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom