kweleakwelea
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 3,066
- 1,535
Single maza ni wa kukupa utam tu bila usumbufu (side chick). Sio wa kuoa
Give reasonsI disagree to this post
Babu samahani lakini nahisi umeoa single mama ambaye hakua hot yaani alipata mimba bahatu mbaya alafu ikagoma kutoka au alikua anataka kumkomoa jamaa yake.ninao wangu naye the same...... we fall inlove....get married......kuna tatizo?......tunasema single mothers dd they fucked themself..........????...wengi wameolewa na wana ndoa njema sana...
I meant to say loyal..asante kwa kunisanua.Royal ni nini mkuu!?
just single father married single mother....got it babu!!.....her husband passed away long long time ago....left her with two litle birds.......and i hv two litle birds too..........usikaririBabu samahani lakini nahisi umeoa single mama ambaye hakua hot yaani alipata mimba bahatu mbaya alafu ikagoma kutoka au alikua anataka kumkomoa jamaa yake.
No offense Babu.
Umenikumbusha kisa cha muhindi mmoja alikuwa single father mwenye watoto wanne akaoa single mother mwenye watoto wanne halafu wakazaa watoto wanne siku moja mwanamke anarudi nyumbani akakuta watoto wake wanne na watoto wanne wa mume wake wanawapiga watoto wao wanne basi akampigia mumewe simu akimwabiajust single father married single mother....got it babu!!.....her husband passed away long long time ago....left her with two litle birds.......and i hv two litle birds too..........usikariri
AhahahUmenikumbusha kisa cha muhindi mmoja alikuwa single father mwenye watoto wanne akaoa single mother mwenye watoto wanne halafu wakazaa watoto wanne siku moja mwanamke anarudi nyumbani akakuta watoto wake wanne na watoto wanne wa mume wake wanawapiga watoto wao wanne basi akampigia mumewe simu akimwabia
" MY HUSBAND COME HOME NOW BECAUSE MY CHILDREN AND UR CHILDREN ARE BEATING OUR CHILDREN "
Mkuu ni loyal sio royal ulotumia wewe.