Watanganyika wengi walikua wanahoji kwa nini wagonjwa wa Corona wasiwe wanachanganywa wote wa bara na visiwani jawabu leu kubwa ilikua kwamba Afya si swala la Muungano lakini zaidi ya jawabu hilo kulikuwa na sababu nyingine nyingo
Miongoni mwa hizo Tanganyila kutoendesha mambo yake kwa mujibu wa taratibu na sheria zilizowekwa wanaenda zaidi kwa MATAMKO na si sheria ni ONE MAN SHOW lkn ZANZIBAR ni Nchi inayoendeshwa kwa mujibu wa sheria na taratibu zilowekwa
Mifano mengine hii hapa ZANZIBAR iliitangulia Tanganyika kutambua HAKI ZA BINAADAMU HUMAN RIGHTS ndani ya katiba yake kabla ya Tanganyika
Vile vile ni muda sasa ZANZIBAR inatambua Serikali ya umoja wa KITAIFA jambo ambalo Tanganyika hawana
Pia ZANZIBAR huwezi muweka mtu kizuizini zaidi ya masaa 24 bila ya kumfikisha mahakamani
Nikirud ktk point yangu wagonjwa wangechanganywa basi DATA zingevurugwa ukweli ukafichwa haingii akilini toka majuzi mpaka LEO eti Tanganyika hawana kesi mya za Korona sasa hivi kuna kesi za wanaopona TUU
Mjitambue banaaa!
Miongoni mwa hizo Tanganyila kutoendesha mambo yake kwa mujibu wa taratibu na sheria zilizowekwa wanaenda zaidi kwa MATAMKO na si sheria ni ONE MAN SHOW lkn ZANZIBAR ni Nchi inayoendeshwa kwa mujibu wa sheria na taratibu zilowekwa
Mifano mengine hii hapa ZANZIBAR iliitangulia Tanganyika kutambua HAKI ZA BINAADAMU HUMAN RIGHTS ndani ya katiba yake kabla ya Tanganyika
Vile vile ni muda sasa ZANZIBAR inatambua Serikali ya umoja wa KITAIFA jambo ambalo Tanganyika hawana
Pia ZANZIBAR huwezi muweka mtu kizuizini zaidi ya masaa 24 bila ya kumfikisha mahakamani
Nikirud ktk point yangu wagonjwa wangechanganywa basi DATA zingevurugwa ukweli ukafichwa haingii akilini toka majuzi mpaka LEO eti Tanganyika hawana kesi mya za Korona sasa hivi kuna kesi za wanaopona TUU
Mjitambue banaaa!