ally ngomanzito
Member
- Oct 7, 2015
- 86
- 108
habari ndugu zangu .
binafsi nahisi moja ya sababu kubwa ya bunge la jamhuri ya muungano kutorushwa live ni pamoja na hii tabia ya baadhi ya wawakilishi wetu (hasahasa wa ccm) kwenda bungeni kwa ajili ya kusinzia tu ,kama Mhe. Hafidh Ally Twahir. MB wa Dimani Zanzibar alivyonaswa leo na camera za wadukuzi.
binafsi nahisi moja ya sababu kubwa ya bunge la jamhuri ya muungano kutorushwa live ni pamoja na hii tabia ya baadhi ya wawakilishi wetu (hasahasa wa ccm) kwenda bungeni kwa ajili ya kusinzia tu ,kama Mhe. Hafidh Ally Twahir. MB wa Dimani Zanzibar alivyonaswa leo na camera za wadukuzi.