LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 14,937
- 26,647
Hali yangu Leo imeendelea vema sana,Leo jioni nimejifunza jambo nzuri sana,Kwa nini Zanzibaar inataka jitenga na Tanganyikaaa,Pia kwa nini Rwand,Ugandaa and Kenya Iliamua Kuitenga Tanzania na kuiita ni mzigo?Kweli Bara ni Blaa Blaa! Moja wezetu wamejianda kweli kweli,ukitizama wana plan ambazo wanatekeleza,wanaishi maisha na sio tu wapo kama Bara!Ukitanzama Zanzibar ni utalii kwelikweli,kila mtu yupo aware na namna ya kuongea na wageni,vivutio ni vingi sana,Zanzibar Last time kuja ilikuwa 2011 nikiwa AIESEC Achievers conference,Ukiingalia utakuta Raia wa Kizungu ni wengi Hata wanaweza kuwazidi idadi ya wazawa Hapa,Kila mtu anataka abaki Hapa akija coz vivutio ni vingi sana,Ukiangalia Tu Bara ukiitoa Arusha na kilimanjaro,Kulikobaki bado Hawajaandaliwa kujua utalii ni nini?mfano Daresalaam wameruhusu kubomolewa majengo ya zamani tizama pale posta askari monument,wamebomoa majengo ya Zamani wanajenga ya kisasa,akili zao zinafikiri watalii wanatoka nchi zao kuja Tz kutizama majengo mapya?Akili za ajabu kama Hizi zinazofanywa na viongozi Vilaza zinasababisha Hata vijana waliokuwa mtaani Kuingia nao kwenye siasa baada ya kuona vitu vidogo vimewashinda kufanya viongozi vilaza waliko manispaa na serikali wameshindwa!NAJIULIZA KWA NINI DARESALAAM SIO MJI WA KITALII WAKATI UNA SIFA ZOTE?
Haya ni mawazo ya DEO KILAWE...MANAGING DIRECTOR WA MIKONO BUSSINESS....