Uchaguzi 2020 Hii ndio orodha ya watu watakaompigia kura Magufuli

Habari za leo watanzania wenzangu, Natumai mu wazima wa afya njema.

Leo nitatoa orodha ya watanzania watakao mpigia kura Magufuli siku ya oktoba 28. Naomba ufuatane na mimi ili upate kuelewa vizuri kama hujui. Basi yafuatayo ndio makundi ya watu hao.

1. Watu wenye akili timamu, wanaojua kutafakari na kupambanua mambo. Hawa lazima wampigie kura Magufuli.

2. Watu wanaopenda kuona haki zikitendeka mahakamani, makazini na maeneo mbalimbali. Hawa lazima watampigia kura.

3. Watu wanyonge wanaojua akiwepo Magufuli ataweza kuondoa unyonge wao. Hapa kuna makundi mbalimbali. Hawa lazima watampigia kura.

4. Watu wanaopenda maendeleo na wanapenda kufanya kazi kwa bidii. Hawa lazima watampigia kura.

5. Watu wasiopenda ufisadi na mafisadi. Watu wasiopenda kusikia watu wanaiba pesa zetu huko mabandarini, TRA, na kwenye mataasisi yetu mbalimbali. Hawa lazima watampigia kura.

6. Watu wasiopenda rushwa. Hapa kuna makundi mbalimbali kuna wasiopenda kutoa rushwa na wasiopenda kupokea rushwa. Nina asilimia mia hawa lazima watampigia kura.

7. Wacha Mungu wote hawa lazima watampigia kura zote. Aliwaongoza kwenye maombi kipindi cha korona. Wala hakuruhusu makanisa yafungwe. Alisisitiza waendelee kumwomba Mungu na kufanya kazi.

8. Watu wasio wavivu na wanaopenda kufanya kazi kwa bidii kwa kiingereza tunasema non lazy people. Hawa lazima watampigia kura hawategemei serikali iwalishe wao wanajua kujituma kwaajili ya kufanya uzalishaji ndani ya taifa ni wajibu wa raia na sio kulala tu ukitegemea serikali ukuletee chakula.

9. Watu wanaopenda maadili mazuri kazini. Hawa lazima watampigia kura Magufuli.

10. Wanaopenda Tanzania iwe kama ulaya. Ukienda ulaya utaona jinsi mawasiliano yalivyo raisishwa. Kuna mabarabara ya juu, matren ya umeme na umeme wa uhakika. Hawa lazima watampigia kura Magufuli. Watu wanaopenda kuona wagonjwa wote hata viongozi wanatibiwa hapahapa Tanzania kwenye hospitali zetu.

11. Watu wanaopenda serikali inayowajibika kwaajili ya wananchi wake. Hawa lazima watampigia kura Magufuli.

12. Watu wanaopenda kuona haki ikitendekw kila maeneo. Hapa kuna wakinanamama, akina baba, vijana, n. k

13. Watu wanaopenda kuona serikali inayo ajiri kwa kufuata uwezo wa mtu na elimu aliyo nayo. Na sio kuajiri ovyoovyo hata kama mtu hana elimu wa uwezo wa kufanya kazi hiyo au kuajiri kwa kufuata undugu.. Kundi la watu hawa lazima limpigie kura Magufuli maana ndio mkombozi wao.

14. Watu wanaopenda rasilimali zetu zisiibiwe na mabeberu. Tanzania ni nchi yenye rasilimali za kutosha madini kila mkoa na wilaya. Tukiwa na Rais asiye na msimamo kwa mabeberu. Mabeberu wataiba madini na gesi yetu yote. Hivyo kinda lisilopenda haya kutokea nina asilimia Mia lazima limpigie kura Magufuli.

15. Watu wasiopenda kuonewa na mtu yeyote. Na wanajua kwamba wakimfuata Magufuli atawasaidia kukamata wale wanao waonea. Kundi hili nina asilimia mia lazima limpigie kura Magufuli.

Nimemaliza wakuu.
Na Ellyskywilly
Bigup Sana. Watanzania wanamwelewa Sana jembe lao. Kiu ya kila mtanzania ni kuona nchi hii inakuwa Heaven on earth, nchi ya mfano duniani. Viongozi wenye maono, uzalendo wa kweli kwa watanzania ni kutoka CCM pekee. Hao wengine, kila mtu analake moyoni, kila mtu ataka awe yeye. Wajiuze wenyewe kwa mabeberu aisee, sio mama Tanzania.
 
Ona hapa.
Amepora KOROSHO za watu huko kusini.
Hajapandisha mishahara kwa miaka yote mitano ya utawala wake.
Amepandisha makato ya Mikopo ya elimu ya juu toka 8% had 15. Ulisoma wapi mkopo ukiwa unaendlea kisha makato yanaongezwa?
Unawaza mishahara tu badala ujiajiri mshahara huwa hautoshi, Bodi ya mikopo inatakiwa ijiendeshe yenyewe, nani ataindesha sasa kwa hela ipi, wa korosho pesa zao walishalipwa
 
Habari za leo watanzania wenzangu, Natumai mu wazima wa afya njema.

Leo nitatoa orodha ya watanzania watakao mpigia kura Magufuli siku ya oktoba 28. Naomba ufuatane na mimi ili upate kuelewa vizuri kama hujui. Basi yafuatayo ndio makundi ya watu hao.

1. Watu wenye akili timamu, wanaojua kutafakari na kupambanua mambo. Hawa lazima wampigie kura Magufuli.

2. Watu wanaopenda kuona haki zikitendeka mahakamani, makazini na maeneo mbalimbali. Hawa lazima watampigia kura.

3. Watu wanyonge wanaojua akiwepo Magufuli ataweza kuondoa unyonge wao. Hapa kuna makundi mbalimbali. Hawa lazima watampigia kura.

4. Watu wanaopenda maendeleo na wanapenda kufanya kazi kwa bidii. Hawa lazima watampigia kura.

5. Watu wasiopenda ufisadi na mafisadi. Watu wasiopenda kusikia watu wanaiba pesa zetu huko mabandarini, TRA, na kwenye mataasisi yetu mbalimbali. Hawa lazima watampigia kura.

6. Watu wasiopenda rushwa. Hapa kuna makundi mbalimbali kuna wasiopenda kutoa rushwa na wasiopenda kupokea rushwa. Nina asilimia mia hawa lazima watampigia kura.

7. Wacha Mungu wote hawa lazima watampigia kura zote. Aliwaongoza kwenye maombi kipindi cha korona. Wala hakuruhusu makanisa yafungwe. Alisisitiza waendelee kumwomba Mungu na kufanya kazi.

8. Watu wasio wavivu na wanaopenda kufanya kazi kwa bidii kwa kiingereza tunasema non lazy people. Hawa lazima watampigia kura hawategemei serikali iwalishe wao wanajua kujituma kwaajili ya kufanya uzalishaji ndani ya taifa ni wajibu wa raia na sio kulala tu ukitegemea serikali ukuletee chakula.

9. Watu wanaopenda maadili mazuri kazini. Hawa lazima watampigia kura Magufuli.

10. Wanaopenda Tanzania iwe kama ulaya. Ukienda ulaya utaona jinsi mawasiliano yalivyo raisishwa. Kuna mabarabara ya juu, matren ya umeme na umeme wa uhakika. Hawa lazima watampigia kura Magufuli. Watu wanaopenda kuona wagonjwa wote hata viongozi wanatibiwa hapahapa Tanzania kwenye hospitali zetu.

11. Watu wanaopenda serikali inayowajibika kwaajili ya wananchi wake. Hawa lazima watampigia kura Magufuli.

12. Watu wanaopenda kuona haki ikitendeka kila maeneo. Hapa kuna wakinanamama, akina baba, vijana, n. k. Na sote tuliona jinsi alivyo kuwa akiwatetea watu mbalimbali katika mikoa mbalimbali kila mikoa ya Tanzania. Wajane walipata faraja, waliozulumiwa walirudishiwa faraja iliyopotea kwa muda mrefu, walionyanyaswa walipata tiba, walio teseka kwaajili ya watu fulani wore hao walipata faraja. Makundi watu hawa wote sote tunayajua na nina uhakika asilimia mia watu hawa watampigia kura Magufuli.

13. Watu wanaopenda kuona serikali inayo ajiri kwa kufuata uwezo wa mtu na elimu aliyo nayo. Na sio kuajiri ovyoovyo hata kama mtu hana elimu wa uwezo wa kufanya kazi hiyo au kuajiri kwa kufuata undugu.. Kundi la watu hawa lazima limpigie kura Magufuli maana ndio mkombozi wao.

14. Watu wanaopenda rasilimali zetu zisiibiwe na mabeberu. Tanzania ni nchi yenye rasilimali za kutosha madini kila mkoa na wilaya. Tukiwa na Rais asiye na msimamo kwa mabeberu. Mabeberu wataiba madini na gesi yetu yote. Hivyo kinda lisilopenda haya kutokea nina asilimia Mia lazima limpigie kura Magufuli.

15. Watu wasiopenda kuonewa na mtu yeyote. Na wanajua kwamba wakimfuata Magufuli atawasaidia kukamata wale wanao waonea. Kundi hili nina asilimia mia lazima limpigie kura Magufuli.

Nimemaliza wakuu.
Na Ellyskywilly

Mimi ni mwananchi wa kawaida kabisa mtanzania kijana nisiyependa uvivu wala mchezomchezo katika kazi. Nipo kwaajili ya maendeleo ya taifa langu, sipo hapa kwaajili ya kuomba cheo.

Nipo kwaajili ya kuongea ukweli, ukweli tu ndio utakao waweka huru watanzania.
Hii tume ambayo msingi wake mkubwa ni double standards...Tundu Lissu asiende tuone kitakochofanyika...
Hii tume ambayo yenyewe haina maadili...ninewupe kama pamba. Wametoa hukumu gani kwa wagombea ubunge na udiwani wa chadema kwa muda huu wote. There are all working in tandem with all the deds to ensure that winner is Magufuli.
A bunch of sycophants dancing at magufuli's tune all the time.
Magufuli has breached all the codes or regulations of this election and nothing has been said or done against him....
He has not followed the timetable during the electioneering, speaking in the local dialect as he pleases during this campaign, dealing with construction of road projects during the campaign, giving money to people. This is absurd and yet no significant statement has come from NEC to condemn what Magufuli is doing. The only help we need is ICC at the Haque.
 
Hii tume ambayo msingi wake mkubwa ni double standards...Tundu Lissu asiende tuone kitakochofanyika...
Hii tume ambayo yenyewe haina maadili...ninewupe kama pamba. Wametoa hukumu gani kwa wagombea ubunge na udiwani wa chadema kwa muda huu wote. There are all working in tandem with all the deds to ensure that winner is Magufuli.
A bunch of sycophants dancing at magufuli's tune all the time.
Magufuli has breached all the codes or regulations of this election and nothing has been said or done against him....
He has not followed the timetable during the electioneering, speaking in the local dialect as he pleases during this campaign, dealing with construction of road projects during the campaign, giving money to people. This is absurd and yet no significant statement has come from NEC to condemn what Magufuli is doing. The only help we need is ICC at the Haque.
Kwenye lile kundi upo au haupo.
 
Unawaza mishahara tu badala ujiajiri mshahara huwa hautoshi, Bodi ya mikopo inatakiwa ijiendeshe yenyewe, nani ataindesha sasa kwa hela ipi, wa korosho pesa zao walishalipwa
Hakuna anayewaza kuajiriwa kama unavyofikiria wewe. Mm sijaajiriwa na serikali jua hilo lakini haina maana kwamba sina haki ya kuongelea wafanya kazi. Tuambie hawajaongezewa mshahara kwa sheria au kanuni IPi? Bodi ya mikopo ilikopesha watu kwa makubaliano ya kukata 8% kwann ipandishwe hadi kufika 15% huku watu wakiwa wanalipia tayar?
Kuhusu KOROSHO ni uongo kusema watu walishalipwa nenda kusini ukasikie. Na hata kama wamelipwa hawajalipwa kwa wakati jambo ambalo halikuwa haki wala ulazima isipokuwa kiburi cha watawala.
TAAFAKARI MAGUFULI HAFAI HATA KUWA DIWANI
 
Habari za leo watanzania wenzangu, Natumai mu wazima wa afya njema.

Leo nitatoa orodha ya watanzania watakao mpigia kura Magufuli siku ya oktoba 28. Naomba ufuatane na mimi ili upate kuelewa vizuri kama hujui. Basi yafuatayo ndio makundi ya watu hao.

1. Watu wenye akili timamu, wanaojua kutafakari na kupambanua mambo. Hawa lazima wampigie kura Magufuli.

2. Watu wanaopenda kuona haki zikitendeka mahakamani, makazini na maeneo mbalimbali. Hawa lazima watampigia kura.

3. Watu wanyonge wanaojua akiwepo Magufuli ataweza kuondoa unyonge wao. Hapa kuna makundi mbalimbali. Hawa lazima watampigia kura.

4. Watu wanaopenda maendeleo na wanapenda kufanya kazi kwa bidii. Hawa lazima watampigia kura.

5. Watu wasiopenda ufisadi na mafisadi. Watu wasiopenda kusikia watu wanaiba pesa zetu huko mabandarini, TRA, na kwenye mataasisi yetu mbalimbali. Hawa lazima watampigia kura.

6. Watu wasiopenda rushwa. Hapa kuna makundi mbalimbali kuna wasiopenda kutoa rushwa na wasiopenda kupokea rushwa. Nina asilimia mia hawa lazima watampigia kura.

7. Wacha Mungu wote hawa lazima watampigia kura zote. Aliwaongoza kwenye maombi kipindi cha korona. Wala hakuruhusu makanisa yafungwe. Alisisitiza waendelee kumwomba Mungu na kufanya kazi. Hawa lazima watampigia kura Magufuli. Watu wote wanaompenda Mungu ndani yao hawa sina shaka nina asilimia mia watampigia kura Magufuli. Hivyo kusanya makanisa yote na misikiti yote hao lazima watampigia kura Magufuli.

8. Watu wasio wavivu na wanaopenda kufanya kazi kwa bidii kwa kiingereza tunasema non lazy people. Hawa lazima watampigia kura hawategemei serikali iwalishe wao wanajua kujituma kwaajili ya kufanya uzalishaji ndani ya taifa ni wajibu wa raia na sio kulala tu ukitegemea serikali ukuletee chakula.

9. Watu wanaopenda maadili mazuri kazini. Hawa lazima watampigia kura Magufuli.

10. Wanaopenda Tanzania iwe kama ulaya. Ukienda ulaya utaona jinsi mawasiliano yalivyo raisishwa. Kuna mabarabara ya juu, matren ya umeme na umeme wa uhakika. Hawa lazima watampigia kura Magufuli. Watu wanaopenda kuona wagonjwa wote hata viongozi wanatibiwa hapahapa Tanzania kwenye hospitali zetu.

11. Watu wanaopenda serikali inayowajibika kwaajili ya wananchi wake. Hawa lazima watampigia kura Magufuli.

12. Watu wanaopenda kuona haki ikitendeka kila maeneo. Hapa kuna wakinanamama, akina baba, vijana, n. k. Na sote tuliona jinsi alivyo kuwa akiwatetea watu mbalimbali katika mikoa mbalimbali kila mikoa ya Tanzania. Wajane walipata faraja, waliozulumiwa walirudishiwa faraja iliyopotea kwa muda mrefu, walionyanyaswa walipata tiba, walio teseka kwaajili ya watu fulani wote hao walipata faraja. Makundi ya watu hawa wote sote tunayajua na nina uhakika asilimia mia watu hawa watampigia kura Magufuli.

13. Watu wanaopenda kuona serikali inayo ajiri kwa kufuata uwezo wa mtu na elimu aliyo nayo. Na sio kuajiri hovyohovyo hata kama mtu hana elimu na uwezo wa kufanya kazi hiyo au kuajiri kwa kufuata undugu. Kundi la watu hawa lazima limpigie kura Magufuli maana ndio mkombozi wao. Katika awamu ya Magufuli hata mtoto wa mkulima ameajiriwa TANESCO, TRA, EWURA, TBS, TBA n. k. Watoto wa wakulima wote ambao hawana connection Magufuli ndio mkombozi wao katika kupata ajira lazima wampigie kura Magufuli.

14. Watu wanaopenda rasilimali zetu zisiibiwe na mabeberu. Tanzania ni nchi yenye rasilimali za kutosha madini kila mkoa na wilaya. Tukiwa na Rais asiye na msimamo kwa mabeberu. Mabeberu wataiba madini na gesi yetu yote. Hivyo kinda lisilopenda haya kutokea nina asilimia Mia lazima limpigie kura Magufuli.

15. Watu wasiopenda kuonewa na mtu yeyote. Na wanajua kwamba wakimfuata Magufuli atawasaidia kukamata wale wanao waonea. Kundi hili nina asilimia mia lazima limpigie kura Magufuli.

Nimemaliza wakuu.
Na Ellyskywilly

Mimi ni mwananchi wa kawaida kabisa mtanzania kijana nisiyependa uvivu wala mchezomchezo katika kazi. Nipo kwaajili ya maendeleo ya taifa langu, sipo hapa kwaajili ya kuomba cheo.

Nipo kwaajili ya kuongea ukweli, ukweli tu ndio utakao waweka huru watanzania.
Hapo namba 1 na watu wenye akili timamu na wewe umo!!! Kweli kua uyaone sasa nimeyaona!
 
Hapo namba 1 na watu wenye akili timamu na wewe umo!!! Kweli kua uyaone sasa nimeyaona!
Mimi ni Viva Magufuli, viva Magufuli. Sijaona Kiongozi kama Magufuli katika Tanzania hii. Uzuri mimi sio mvivu nafanya kazi. Hapa kazi tu. Kuwa yangu kwa Magufuli. Mchapa kazi
 
Ni kweli, kwenye kundi hilo huwezi kuwa maana bila shaka wewe ni team fokafoka. Wenye kuamini kuvuna, pasipo kupanda. Imekula kwenu.
Ndio Bora nusu Shari kuliko Shari kamili kama vipi we niweke kundi la vichaa tu
 
Habari za leo watanzania wenzangu, Natumai mu wazima wa afya njema.

Leo nitatoa orodha ya watanzania watakao mpigia kura Magufuli siku ya oktoba 28. Naomba ufuatane na mimi ili upate kuelewa vizuri kama hujui. Basi yafuatayo ndio makundi ya watu hao.

1. Watu wenye akili timamu, wanaojua kutafakari na kupambanua mambo. Hawa lazima wampigie kura Magufuli.

2. Watu wanaopenda kuona haki zikitendeka mahakamani, makazini na maeneo mbalimbali. Hawa lazima watampigia kura.

3. Watu wanyonge wanaojua akiwepo Magufuli ataweza kuondoa unyonge wao. Hapa kuna makundi mbalimbali. Hawa lazima watampigia kura.

4. Watu wanaopenda maendeleo na wanapenda kufanya kazi kwa bidii. Hawa lazima watampigia kura.

5. Watu wasiopenda ufisadi na mafisadi. Watu wasiopenda kusikia watu wanaiba pesa zetu huko mabandarini, TRA, na kwenye mataasisi yetu mbalimbali. Hawa lazima watampigia kura.

6. Watu wasiopenda rushwa. Hapa kuna makundi mbalimbali kuna wasiopenda kutoa rushwa na wasiopenda kupokea rushwa. Nina asilimia mia hawa lazima watampigia kura.

7. Wacha Mungu wote hawa lazima watampigia kura zote. Aliwaongoza kwenye maombi kipindi cha korona. Wala hakuruhusu makanisa yafungwe. Alisisitiza waendelee kumwomba Mungu na kufanya kazi. Hawa lazima watampigia kura Magufuli. Watu wote wanaompenda Mungu ndani yao hawa sina shaka nina asilimia mia watampigia kura Magufuli. Hivyo kusanya makanisa yote na misikiti yote hao lazima watampigia kura Magufuli.

8. Watu wasio wavivu na wanaopenda kufanya kazi kwa bidii kwa kiingereza tunasema non lazy people. Hawa lazima watampigia kura hawategemei serikali iwalishe wao wanajua kujituma kwaajili ya kufanya uzalishaji ndani ya taifa ni wajibu wa raia na sio kulala tu ukitegemea serikali ukuletee chakula.

9. Watu wanaopenda maadili mazuri kazini. Hawa lazima watampigia kura Magufuli.

10. Wanaopenda Tanzania iwe kama ulaya. Ukienda ulaya utaona jinsi mawasiliano yalivyo raisishwa. Kuna mabarabara ya juu, matren ya umeme na umeme wa uhakika. Hawa lazima watampigia kura Magufuli. Watu wanaopenda kuona wagonjwa wote hata viongozi wanatibiwa hapahapa Tanzania kwenye hospitali zetu.

11. Watu wanaopenda serikali inayowajibika kwaajili ya wananchi wake. Hawa lazima watampigia kura Magufuli.

12. Watu wanaopenda kuona haki ikitendeka kila maeneo. Hapa kuna wakinanamama, akina baba, vijana, n. k. Na sote tuliona jinsi alivyo kuwa akiwatetea watu mbalimbali katika mikoa mbalimbali kila mikoa ya Tanzania. Wajane walipata faraja, waliozulumiwa walirudishiwa faraja iliyopotea kwa muda mrefu, walionyanyaswa walipata tiba, walio teseka kwaajili ya watu fulani wote hao walipata faraja. Makundi ya watu hawa wote sote tunayajua na nina uhakika asilimia mia watu hawa watampigia kura Magufuli.

13. Watu wanaopenda kuona serikali inayo ajiri kwa kufuata uwezo wa mtu na elimu aliyo nayo. Na sio kuajiri hovyohovyo hata kama mtu hana elimu na uwezo wa kufanya kazi hiyo au kuajiri kwa kufuata undugu. Kundi la watu hawa lazima limpigie kura Magufuli maana ndio mkombozi wao. Katika awamu ya Magufuli hata mtoto wa mkulima ameajiriwa TANESCO, TRA, EWURA, TBS, TBA n. k. Watoto wa wakulima wote ambao hawana connection Magufuli ndio mkombozi wao katika kupata ajira lazima wampigie kura Magufuli.

14. Watu wanaopenda rasilimali zetu zisiibiwe na mabeberu. Tanzania ni nchi yenye rasilimali za kutosha madini kila mkoa na wilaya. Tukiwa na Rais asiye na msimamo kwa mabeberu. Mabeberu wataiba madini na gesi yetu yote. Hivyo kinda lisilopenda haya kutokea nina asilimia Mia lazima limpigie kura Magufuli.

15. Watu wasiopenda kuonewa na mtu yeyote. Na wanajua kwamba wakimfuata Magufuli atawasaidia kukamata wale wanao waonea. Kundi hili nina asilimia mia lazima limpigie kura Magufuli.

Nimemaliza wakuu.
Na Ellyskywilly

Mimi ni mwananchi wa kawaida kabisa mtanzania kijana nisiyependa uvivu wala mchezomchezo katika kazi. Nipo kwaajili ya maendeleo ya taifa langu, sipo hapa kwaajili ya kuomba cheo.

Nipo kwaajili ya kuongea ukweli, ukweli tu ndio utakao waweka huru watanzania.
Miaka mitano ya majaribio imetosha bwashee.
Wote waliompigia kura mwaka 2015 wamebaki wametumbua macho hawajui wanaanzia wapi maana sio kwa hasira walizokua nazo.

Sema shukuruni tu Tume itamtangaza na ndiye atakayekuwa rasmi. La sivyo, watu wana hasira sana nyie hamjui tu
 
Miaka mitano ya majaribio imetosha bwashee.
Wote waliompigia kura mwaka 2015 wamebaki wametumbua macho hawajui wanaanzia wapi maana sio kwa hasira walizokua nazo.

Sema shukuruni tu Tume itamtangaza na ndiye atakayekuwa rasmi. La sivyo, watu wana hasira sana nyie hamjui tu
Ni watu wepi unao Wazungumzia.? watu wote nimesha wazungumzia tayari kwenye uzi. Kama ni walio na hasira ndio wale kwenye lile kundi la kwanza
 
Habari za leo watanzania wenzangu, Natumai mu wazima wa afya njema.

Leo nitatoa orodha ya watanzania watakao mpigia kura Magufuli siku ya oktoba 28. Naomba ufuatane na mimi ili upate kuelewa vizuri kama hujui. Basi yafuatayo ndio makundi ya watu hao.

1. Watu wenye akili timamu, wanaojua kutafakari na kupambanua mambo. Hawa lazima wampigie kura Magufuli.

2. Watu wanaopenda kuona haki zikitendeka mahakamani, makazini na maeneo mbalimbali. Hawa lazima watampigia kura.

3. Watu wanyonge wanaojua akiwepo Magufuli ataweza kuondoa unyonge wao. Hapa kuna makundi mbalimbali. Hawa lazima watampigia kura.

4. Watu wanaopenda maendeleo na wanapenda kufanya kazi kwa bidii. Hawa lazima watampigia kura.

5. Watu wasiopenda ufisadi na mafisadi. Watu wasiopenda kusikia watu wanaiba pesa zetu huko mabandarini, TRA, na kwenye mataasisi yetu mbalimbali. Hawa lazima watampigia kura.

6. Watu wasiopenda rushwa. Hapa kuna makundi mbalimbali kuna wasiopenda kutoa rushwa na wasiopenda kupokea rushwa. Nina asilimia mia hawa lazima watampigia kura.

7. Wacha Mungu wote hawa lazima watampigia kura zote. Aliwaongoza kwenye maombi kipindi cha korona. Wala hakuruhusu makanisa yafungwe. Alisisitiza waendelee kumwomba Mungu na kufanya kazi. Hawa lazima watampigia kura Magufuli. Watu wote wanaompenda Mungu ndani yao hawa sina shaka nina asilimia mia watampigia kura Magufuli. Hivyo kusanya makanisa yote na misikiti yote hao lazima watampigia kura Magufuli.

8. Watu wasio wavivu na wanaopenda kufanya kazi kwa bidii kwa kiingereza tunasema non lazy people. Hawa lazima watampigia kura hawategemei serikali iwalishe wao wanajua kujituma kwaajili ya kufanya uzalishaji ndani ya taifa ni wajibu wa raia na sio kulala tu ukitegemea serikali ukuletee chakula.

9. Watu wanaopenda maadili mazuri kazini. Hawa lazima watampigia kura Magufuli.

10. Wanaopenda Tanzania iwe kama ulaya. Ukienda ulaya utaona jinsi mawasiliano yalivyo raisishwa. Kuna mabarabara ya juu, matren ya umeme na umeme wa uhakika. Hawa lazima watampigia kura Magufuli. Watu wanaopenda kuona wagonjwa wote hata viongozi wanatibiwa hapahapa Tanzania kwenye hospitali zetu.

11. Watu wanaopenda serikali inayowajibika kwaajili ya wananchi wake. Hawa lazima watampigia kura Magufuli.

12. Watu wanaopenda kuona haki ikitendeka kila maeneo. Hapa kuna wakinanamama, akina baba, vijana, n. k. Na sote tuliona jinsi alivyo kuwa akiwatetea watu mbalimbali katika mikoa mbalimbali kila mikoa ya Tanzania. Wajane walipata faraja, waliozulumiwa walirudishiwa faraja iliyopotea kwa muda mrefu, walionyanyaswa walipata tiba, walio teseka kwaajili ya watu fulani wote hao walipata faraja. Makundi ya watu hawa wote sote tunayajua na nina uhakika asilimia mia watu hawa watampigia kura Magufuli.

13. Watu wanaopenda kuona serikali inayo ajiri kwa kufuata uwezo wa mtu na elimu aliyo nayo. Na sio kuajiri hovyohovyo hata kama mtu hana elimu na uwezo wa kufanya kazi hiyo au kuajiri kwa kufuata undugu. Kundi la watu hawa lazima limpigie kura Magufuli maana ndio mkombozi wao. Katika awamu ya Magufuli hata mtoto wa mkulima ameajiriwa TANESCO, TRA, EWURA, TBS, TBA n. k. Watoto wa wakulima wote ambao hawana connection Magufuli ndio mkombozi wao katika kupata ajira lazima wampigie kura Magufuli.

14. Watu wanaopenda rasilimali zetu zisiibiwe na mabeberu. Tanzania ni nchi yenye rasilimali za kutosha madini kila mkoa na wilaya. Tukiwa na Rais asiye na msimamo kwa mabeberu. Mabeberu wataiba madini na gesi yetu yote. Hivyo kinda lisilopenda haya kutokea nina asilimia Mia lazima limpigie kura Magufuli.

15. Watu wasiopenda kuonewa na mtu yeyote. Na wanajua kwamba wakimfuata Magufuli atawasaidia kukamata wale wanao waonea. Kundi hili nina asilimia mia lazima limpigie kura Magufuli.

Nimemaliza wakuu.
Na Ellyskywilly

Mimi ni mwananchi wa kawaida kabisa mtanzania kijana nisiyependa uvivu wala mchezomchezo katika kazi. Nipo kwaajili ya maendeleo ya taifa langu, sipo hapa kwaajili ya kuomba cheo.

Nipo kwaajili ya kuongea ukweli, ukweli tu ndio utakao waweka huru watanzania.
Nakubaliana na wewe kwa asilimia mia moja (100%). Umechambua vizuri sana!
 
Habari za leo watanzania wenzangu, Natumai mu wazima wa afya njema.

Leo nitatoa orodha ya watanzania watakao mpigia kura Magufuli siku ya oktoba 28. Naomba ufuatane na mimi ili upate kuelewa vizuri kama hujui. Basi yafuatayo ndio makundi ya watu hao.

1. Watu wenye akili timamu, wanaojua kutafakari na kupambanua mambo. Hawa lazima wampigie kura Magufuli.

2. Watu wanaopenda kuona haki zikitendeka mahakamani, makazini na maeneo mbalimbali. Hawa lazima watampigia kura.

3. Watu wanyonge wanaojua akiwepo Magufuli ataweza kuondoa unyonge wao. Hapa kuna makundi mbalimbali. Hawa lazima watampigia kura.

4. Watu wanaopenda maendeleo na wanapenda kufanya kazi kwa bidii. Hawa lazima watampigia kura.

5. Watu wasiopenda ufisadi na mafisadi. Watu wasiopenda kusikia watu wanaiba pesa zetu huko mabandarini, TRA, na kwenye mataasisi yetu mbalimbali. Hawa lazima watampigia kura.

6. Watu wasiopenda rushwa. Hapa kuna makundi mbalimbali kuna wasiopenda kutoa rushwa na wasiopenda kupokea rushwa. Nina asilimia mia hawa lazima watampigia kura.

7. Wacha Mungu wote hawa lazima watampigia kura zote. Aliwaongoza kwenye maombi kipindi cha korona. Wala hakuruhusu makanisa yafungwe. Alisisitiza waendelee kumwomba Mungu na kufanya kazi. Hawa lazima watampigia kura Magufuli. Watu wote wanaompenda Mungu ndani yao hawa sina shaka nina asilimia mia watampigia kura Magufuli. Hivyo kusanya makanisa yote na misikiti yote hao lazima watampigia kura Magufuli.

8. Watu wasio wavivu na wanaopenda kufanya kazi kwa bidii kwa kiingereza tunasema non lazy people. Hawa lazima watampigia kura hawategemei serikali iwalishe wao wanajua kujituma kwaajili ya kufanya uzalishaji ndani ya taifa ni wajibu wa raia na sio kulala tu ukitegemea serikali ukuletee chakula.

9. Watu wanaopenda maadili mazuri kazini. Hawa lazima watampigia kura Magufuli.

10. Wanaopenda Tanzania iwe kama ulaya. Ukienda ulaya utaona jinsi mawasiliano yalivyo raisishwa. Kuna mabarabara ya juu, matren ya umeme na umeme wa uhakika. Hawa lazima watampigia kura Magufuli. Watu wanaopenda kuona wagonjwa wote hata viongozi wanatibiwa hapahapa Tanzania kwenye hospitali zetu.

11. Watu wanaopenda serikali inayowajibika kwaajili ya wananchi wake. Hawa lazima watampigia kura Magufuli.

12. Watu wanaopenda kuona haki ikitendeka kila maeneo. Hapa kuna wakinanamama, akina baba, vijana, n. k. Na sote tuliona jinsi alivyo kuwa akiwatetea watu mbalimbali katika mikoa mbalimbali kila mikoa ya Tanzania. Wajane walipata faraja, waliozulumiwa walirudishiwa faraja iliyopotea kwa muda mrefu, walionyanyaswa walipata tiba, walio teseka kwaajili ya watu fulani wote hao walipata faraja. Makundi ya watu hawa wote sote tunayajua na nina uhakika asilimia mia watu hawa watampigia kura Magufuli.

13. Watu wanaopenda kuona serikali inayo ajiri kwa kufuata uwezo wa mtu na elimu aliyo nayo. Na sio kuajiri hovyohovyo hata kama mtu hana elimu na uwezo wa kufanya kazi hiyo au kuajiri kwa kufuata undugu. Kundi la watu hawa lazima limpigie kura Magufuli maana ndio mkombozi wao. Katika awamu ya Magufuli hata mtoto wa mkulima ameajiriwa TANESCO, TRA, EWURA, TBS, TBA n. k. Watoto wa wakulima wote ambao hawana connection Magufuli ndio mkombozi wao katika kupata ajira lazima wampigie kura Magufuli.

14. Watu wanaopenda rasilimali zetu zisiibiwe na mabeberu. Tanzania ni nchi yenye rasilimali za kutosha madini kila mkoa na wilaya. Tukiwa na Rais asiye na msimamo kwa mabeberu. Mabeberu wataiba madini na gesi yetu yote. Hivyo kinda lisilopenda haya kutokea nina asilimia Mia lazima limpigie kura Magufuli.

15. Watu wasiopenda kuonewa na mtu yeyote. Na wanajua kwamba wakimfuata Magufuli atawasaidia kukamata wale wanao waonea. Kundi hili nina asilimia mia lazima limpigie kura Magufuli.

Nimemaliza wakuu.
Na Ellyskywilly

Mimi ni mwananchi wa kawaida kabisa mtanzania kijana nisiyependa uvivu wala mchezomchezo katika kazi. Nipo kwaajili ya maendeleo ya taifa langu, sipo hapa kwaajili ya kuomba cheo.

Nipo kwaajili ya kuongea ukweli, ukweli tu ndio utakao waweka huru watanzania.
Kama Ulikiwa kwenye Akili Yangu Umewajua Vizuri kabisa Wanachama na Wapenzi Wa CCM has a Ilo LA kwanza.....WATU WENYE AKILI TIMAMU mengine yanatawaliwa na hilo
 
Umerudia rudia yale yale wewe mwenyewe soma mfano wanaopenda kufanya kazi kwa bidii umerudia karibu kila paragraph.

Hii mana yake hujitambui vizuri..Neno wanyonge sio sifa wala unyonge haupaswi kuendeleea kuwa sifa za kujivunia tuukatae unyonge tuwatoe hao tunaowaita wanyonge wawe kwenye kundi la watu wanajiweza sio kila siku wanyonge na hivyo unyonge utakaa nao kweli....
 
Maadui wa maendeleo ni wanne yaani Ujinga, maradhi, umasikini na uchawi. Nadhani watakaompigia kura Magu watakuwa kwenye kundi la wachawi
 
Habari za leo watanzania wenzangu, Natumai mu wazima wa afya njema.

Leo nitatoa orodha ya watanzania watakao mpigia kura Magufuli siku ya oktoba 28. Naomba ufuatane na mimi ili upate kuelewa vizuri kama hujui. Basi yafuatayo ndio makundi ya watu hao.

1. Watu wenye akili timamu, wanaojua kutafakari na kupambanua mambo. Hawa lazima wampigie kura Magufuli.

2. Watu wanaopenda kuona haki zikitendeka mahakamani, makazini na maeneo mbalimbali. Hawa lazima watampigia kura.

3. Watu wanyonge wanaojua akiwepo Magufuli ataweza kuondoa unyonge wao. Hapa kuna makundi mbalimbali. Hawa lazima watampigia kura.

4. Watu wanaopenda maendeleo na wanapenda kufanya kazi kwa bidii. Hawa lazima watampigia kura.

5. Watu wasiopenda ufisadi na mafisadi. Watu wasiopenda kusikia watu wanaiba pesa zetu huko mabandarini, TRA, na kwenye mataasisi yetu mbalimbali. Hawa lazima watampigia kura.

6. Watu wasiopenda rushwa. Hapa kuna makundi mbalimbali kuna wasiopenda kutoa rushwa na wasiopenda kupokea rushwa. Nina asilimia mia hawa lazima watampigia kura.

7. Wacha Mungu wote hawa lazima watampigia kura zote. Aliwaongoza kwenye maombi kipindi cha korona. Wala hakuruhusu makanisa yafungwe. Alisisitiza waendelee kumwomba Mungu na kufanya kazi. Hawa lazima watampigia kura Magufuli. Watu wote wanaompenda Mungu ndani yao hawa sina shaka nina asilimia mia watampigia kura Magufuli. Hivyo kusanya makanisa yote na misikiti yote hao lazima watampigia kura Magufuli.

8. Watu wasio wavivu na wanaopenda kufanya kazi kwa bidii kwa kiingereza tunasema non lazy people. Hawa lazima watampigia kura hawategemei serikali iwalishe wao wanajua kujituma kwaajili ya kufanya uzalishaji ndani ya taifa ni wajibu wa raia na sio kulala tu ukitegemea serikali ukuletee chakula.

9. Watu wanaopenda maadili mazuri kazini. Hawa lazima watampigia kura Magufuli.

10. Wanaopenda Tanzania iwe kama ulaya. Ukienda ulaya utaona jinsi mawasiliano yalivyo raisishwa. Kuna mabarabara ya juu, matren ya umeme na umeme wa uhakika. Hawa lazima watampigia kura Magufuli. Watu wanaopenda kuona wagonjwa wote hata viongozi wanatibiwa hapahapa Tanzania kwenye hospitali zetu.

11. Watu wanaopenda serikali inayowajibika kwaajili ya wananchi wake. Hawa lazima watampigia kura Magufuli.

12. Watu wanaopenda kuona haki ikitendeka kila maeneo. Hapa kuna wakinanamama, akina baba, vijana, n. k. Na sote tuliona jinsi alivyo kuwa akiwatetea watu mbalimbali katika mikoa mbalimbali kila mikoa ya Tanzania. Wajane walipata faraja, waliozulumiwa walirudishiwa faraja iliyopotea kwa muda mrefu, walionyanyaswa walipata tiba, walio teseka kwaajili ya watu fulani wote hao walipata faraja. Makundi ya watu hawa wote sote tunayajua na nina uhakika asilimia mia watu hawa watampigia kura Magufuli.

13. Watu wanaopenda kuona serikali inayo ajiri kwa kufuata uwezo wa mtu na elimu aliyo nayo. Na sio kuajiri hovyohovyo hata kama mtu hana elimu na uwezo wa kufanya kazi hiyo au kuajiri kwa kufuata undugu. Kundi la watu hawa lazima limpigie kura Magufuli maana ndio mkombozi wao. Katika awamu ya Magufuli hata mtoto wa mkulima ameajiriwa TANESCO, TRA, EWURA, TBS, TBA n. k. Watoto wa wakulima wote ambao hawana connection Magufuli ndio mkombozi wao katika kupata ajira lazima wampigie kura Magufuli.

14. Watu wanaopenda rasilimali zetu zisiibiwe na mabeberu. Tanzania ni nchi yenye rasilimali za kutosha madini kila mkoa na wilaya. Tukiwa na Rais asiye na msimamo kwa mabeberu. Mabeberu wataiba madini na gesi yetu yote. Hivyo kinda lisilopenda haya kutokea nina asilimia Mia lazima limpigie kura Magufuli.

15. Watu wasiopenda kuonewa na mtu yeyote. Na wanajua kwamba wakimfuata Magufuli atawasaidia kukamata wale wanao waonea. Kundi hili nina asilimia mia lazima limpigie kura Magufuli.

Nimemaliza wakuu.
Na Ellyskywilly

Mimi ni mwananchi wa kawaida kabisa mtanzania kijana nisiyependa uvivu wala mchezomchezo katika kazi. Nipo kwaajili ya maendeleo ya taifa langu, sipo hapa kwaajili ya kuomba cheo.

Nipo kwaajili ya kuongea ukweli, ukweli tu ndio utakao waweka huru watanzania.
Ukipenda kwenye watakaompigia kura weka ambao hawatampigia kura
 
Back
Top Bottom