rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,163
- 20,095
Pia slikaimu hadi mwinyi alipokuja kumthibitisha, wakati wa Nyerere wengi walioteuli walikuwa vijana wadogo tena wana phdKombe alipouawa hakuwa kwenye utumishi.
Pia slikaimu hadi mwinyi alipokuja kumthibitisha, wakati wa Nyerere wengi walioteuli walikuwa vijana wadogo tena wana phdKombe alipouawa hakuwa kwenye utumishi.
Nitumie CV zakoMe natamani kufanya kazi kwenye hichi kitengo ila zinabaki kuwa Ndoto... connection sipati
JowzeyMe natamani kufanya kazi kwenye hichi kitengo ila zinabaki kuwa Ndoto... connection sipati
shangazi yako amekukalia vibaya stuka!!huo ndo uafrica halisi tunaoutaka sisi
Siku zote mimi watu ambao huwa wanatumia akili kubwa namna hii huwa ninawaheshimu sana katika maisha yanguIle ndege "haikutekwa nyara" bali ilikuwa misled na waongoza ndege wa Nairobi alioiongoza kwenda Mwanza badala ya kwenda Entebbe. Shukurani zetu sana kwa serikali ya Kenya wakati huo ingawa Daniel alikuwa bado na msuguano wa ndani kuhusu madaraka baada ya kurithi kutoka kwa Jomo bila wakikuyu kupenda iwe hivyo, lakini bado aliamua kumsaidia Julius kwa hilo bila kujali kuwa Charles, ambaye alikuwa hasimu sana wa Julius wakati huo, angesema nini.
waliomuua sidhani kama bado wapo hai, na kama wapo hai basi ni wazee sana !! wengi wao watakuwa wanatembea na vifuko vya mkojo tezi dume ikiwa inafanya yake.June 30 mwaka 1996 Jenerali Kombe aliuawa na Jeshi la polisi kwa madai kuwa walifananisha gari lake (Nissan Patrol) na gari iliyokua imeibiwa na mtuhumiwa Ernest Mushi maarufu kama "White".
Ndio yeye..Jowzey
Na wewe umejua mkuu??Anatutania Sana UjueNdio yeye..
Ila mama kaamua kwelikweli huwenda diwani nae akaliwa kichwa...
Open your fucking Dm Comrade....Na wewe umejua mkuu??Anatutania Sana Ujue
Open your fucking Dm Comrade....
Amefanya nn?James kaji yu wapi
Mmmh ukiona hivyo kazi yenyewe haikutaki lakini wewe unaitakaMe natamani kufanya kazi kwenye hichi kitengo ila zinabaki kuwa Ndoto... connection sipati
Mmaaa!!!!Mbona hujasema kuhusu Dr. Hassy Kitine alivyofurushwa kutoka TISS.
Alivyotoka vitani uganda kumuondoa Idd Amini, alikuja na Pegout vijana wa TRA wakambana kodi mpakani akasema yeye ni Director General wa TISS hivyo hawezi kulipa kodi, habari zikamfikia Mzee Mchonga, akaomdolewa kesho yake tu!
Miaka mingi baadae Hassy Kitine mwenyewe alikiri kuwa alifanya kosa la kipuuzi sana!
Me natamani kufanya kazi kwenye hichi kitengo ila zinabaki kuwa Ndoto... connection sipati
Jozewizy kwani umeichoka kazi ya kulinda katiba na mipaka!!Me natamani kufanya kazi kwenye hichi kitengo ila zinabaki kuwa Ndoto... connection sipati
Nambie mikeJowzey
Sikuelew unamaanisha nn mkuuJozewizy kwani umeichoka kazi ya kulinda katiba na mipaka!!