Kapwil
JF-Expert Member
- Apr 3, 2018
- 2,625
- 3,727
Huna uwezo wa kumuingizaNitumie CV zako
Huna uwezo wa kumuingizaNitumie CV zako
Hakutokanayo Uganda mkuu alinunua nje wakati amekwenda kusoma ilizuiwa bandariniMbona hujasema kuhusu Dr. Hassy Kitine alivyofurushwa kutoka TISS.
Alivyotoka vitani uganda kumuondoa Idd Amini, alikuja na Pegout vijana wa TRA wakambana kodi mpakani akasema yeye ni Director General wa TISS hivyo hawezi kulipa kodi, habari zikamfikia Mzee Mchonga, akaomdolewa kesho yake tu!
Miaka mingi baadae Hassy Kitine mwenyewe alikiri kuwa alifanya kosa la kipuuzi sana!
Hivi John Cheyo bado yupo?Wanaojua huo ukweli hawausemi na sio afya kuusema
Mwanangu Jowzeey mbona umechange handle? compromisation au cover blown? 😈Me natamani kufanya kazi kwenye hichi kitengo ila zinabaki kuwa Ndoto... connection sipati
Ilimradi tu nawe uonekane mjuviDG~TISS
Wengi Wanatokea Nje Kama Ilivyo PCCB Ingawa Wengi Hawajui
Maskini unamfunidisha kupika mpishi😂😂😂😂Haya matamanio uliyonayo, tayari ni disqualification.
Wanaopata na wanaoelewa hata hawatamani kwenda zaidi ni shida ya ajira tu.
Ila mwenye uelewa kabisa wa mambo hawezi kutamani kujiunga na hiyo kazi, ni wachache watanielewa!
Acha Ubishi WeweI
Ilimradi tu nawe uonekane mjuvi
Hahahahaha nambie mwambaComrade igwe
Kwema ndugu yangu??Hahahahaha nambie mwamba
Hivi John Cheyo bado yupo?
Pekua tena mafaili yako vizuriHakutokanayo Uganda mkuu alinunua nje wakati amekwenda kusoma ilizuiwa bandarini
Mfumo kKumbe TISS ilishaongozwa na Mchungaji.
Kwema boss tupo kiongoziKwema ndugu yangu??
Mmaaa!!!! hii mpya mfumo K ndio nnMfumo k
Mfumo kipilimba...Mmaaa!!!! hii mpya mfumo K ndio nn
Vipi kitengoni kwema??Kwema boss tupo kiongozi
Who is him?One for Mr. X.