Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 10,321
- 6,846
Kuna mmoja wa hawa wakurugenzi ameweka rekodi ya kipekee sana.
Alianza na Nyerere, mwaka 1983 akaendelea na Mwinyi mpaka mwisho wa utawala wa Mwinyi wa miaka 10, halafu akaingia tena hadi utawala wa Mkapa na akafariki mwaka 1996
Kwa nini aliuawa wakati wa Mkapa, ilhali alikuwa ameshafanya kazi na maRais wengine wawili nyuma?
Alianza na Nyerere, mwaka 1983 akaendelea na Mwinyi mpaka mwisho wa utawala wa Mwinyi wa miaka 10, halafu akaingia tena hadi utawala wa Mkapa na akafariki mwaka 1996
Kwa nini aliuawa wakati wa Mkapa, ilhali alikuwa ameshafanya kazi na maRais wengine wawili nyuma?