The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,494
- 2,040
Kwa hali ya kisiasa inayoendelea hapa nchini,hakuna chama cha upinzani chenye uwezo wa kuiondoa ccm madarakani kwa kutegemea njia zilezile zilizozoeleka, yaani kufanya mikutano,maandamano na kutumia chaguzi zinazoitishwa na NEC.
Kwa kifupi hizi njia zimeshafeli na zitaendelea kufeli zaidi. Kinachohitajika kwa sasa wapinzani woote wahamie ccm alafu waanze kuihujumu ccm wakiwa humohumo ndani.
Kwa kifupi hizi njia zimeshafeli na zitaendelea kufeli zaidi. Kinachohitajika kwa sasa wapinzani woote wahamie ccm alafu waanze kuihujumu ccm wakiwa humohumo ndani.