LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,123
- 9,167
Leo nilikuwa na safari ya kuja mwanza lkn safari imejaa vikwazo na majanga ya hapa na pale.toka tunatoka ubungo ilianza mikosi kwa kufaurishwa kwenye basi la KAMBA'S
kama kawaida ya folen dar nachokilikuwa kikwazo kingine.
Tulianza safari kufika mbez gar ikasumbua ikarekebishwa safari ikaendelea.
Kabla hatuja maliza morogoro dereva akapokea kichapo kikali toka kwa wanajeshi baada ya kuwachomekea.
Safari ikaendelea maeneo ya manyoni tukakutana na majanga mengine barabara ilizibwa na wanakijiji baada ya kupanga mawe na magogo barabaran kwa madai ya kuwa mwenzao kagongwa na gari na kufariki.
Sasa tumelala shinyanga ni baada ya kusikia ya kuwa gari zilizo tangulia zimetekwa picha za matukio ninazo nitaziweka soon
kama kawaida ya folen dar nachokilikuwa kikwazo kingine.
Tulianza safari kufika mbez gar ikasumbua ikarekebishwa safari ikaendelea.
Kabla hatuja maliza morogoro dereva akapokea kichapo kikali toka kwa wanajeshi baada ya kuwachomekea.
Safari ikaendelea maeneo ya manyoni tukakutana na majanga mengine barabara ilizibwa na wanakijiji baada ya kupanga mawe na magogo barabaran kwa madai ya kuwa mwenzao kagongwa na gari na kufariki.
Sasa tumelala shinyanga ni baada ya kusikia ya kuwa gari zilizo tangulia zimetekwa picha za matukio ninazo nitaziweka soon