Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,706
- 155,227
Absolutely right.
YapAbsolutely right.
Ndio kitu pekee ambacho CCM imeshindwa kutupatia.Maisha bora ni nini?
Wasomi makini hawateuliwi, wasome ambao wamesoma na hawajaelimika ndio wanaoteuliwa.Teuzi......
..........
Hospitali ipi isiyo na dawa?Ndio kitu pekee ambacho CCM imeshindwa kutupatia.
Tuna dhahabu lakini hatuna madawa hospitalini.
Tuna gesi asilia lakini vitalu vyote ni vya wawekezaji
Tuna ng'ombe lakini hatuvai viatu vya ngozi tunavaa viatu feki vya kichina.
Tuna pamba lakini tunavaa nylon na polyester kutoka China.
Tanzania ni ya NNE katika Nchi ambazo hazina furaha kabisa duniani.
Hatuna maisha bora
Kweli wewe ni jingalao ndio maana hujui hata unachokiandika.Hospitali ipi isiyo na dawa?
Tumewezaje kununua kama hatuna hela hizo nylon na polyster?
Wanafunzi wetu wa shule ya Msingi wote wanavaa pambaKweli wewe ni jingalao ndio maana hujui hata unachokiandika.
Hii ni Mara nyingine nakufundisha kitu kipya.
Nguo ya pamba INA thamani kubwa sana kuliko Nguo ya polyester na nylon.
Ni mazuzu wasio na Furaha ndio wanafanya exchange ya pamba kwa polyester na nylon.
Inawa favor ccm ,paramagamba anakodoa tu kasha win tayar ,Wasomi makini hawateuliwi, wasome ambao wamesoma na hawajaelimika ndio wanaoteuliwa.
Sheria ya vyama vya siasa ni aibu kubwa sana kwa Palamagamba, aibu ya karne
Acha kutia aibu bwana, vitambaa vya pamba siku hizi ni very expensive na inauzwa Maduka gani ambayo mlalahoi anaweza kumudu akaacha kununua polyester?Wanafunzi wetu wa shule ya Msingi wote wanavaa pamba