Hii ndio Kigoma halisi, ukisikia nyingine ujue photocopy

mr. loner

Senior Member
Aug 1, 2014
168
228
Wadau huu mwaka nimepata bahati ya kutembelea mikoa kadhaa hapa nchini. Mkoa ulioniacha mdomo wazi ni Kigoma. Kwanza nilianza kushangaa mto Malagarasi kabla hata sijafika Kasulu, una mamba hatari mpaka nikakumbuka ule wimbo wa Idd Amin ulioimbwa enzi za vita kuashiria watavyomfanya wakakamata.

Kigoma mji mdogo sana tena halafu ramani yake hata haieleweki kutokana na miinuko katika ya mji, kuna mbuga inaitwa Gombe ipo km 50 tu mjini lakini 90% ya wenyeji hawajui ilipo wakiongozwa na madereva tax.

Kigoma wana stand mpya ya kisasa ambayo pia haina hata dustbin sijui taka zinatupwa wapi. Kutokana na udogo wa mji bajaji ni ruksa kufanya biashara popote wanapoweza hivyo kurahisisha suala la usafiri uwapo Kigoma. Asilimia kubwa ya wakazi na wafanyabiashara hapa mjini wanatoka Congo na Burundi.

Lami ya Kigoma inaanzia sehemu moja inaitwa Kidawa halafu inaishia Manyovu, mpakani kwingine kote ni vumbi . Kigoma inaongoza kwa kuuza vitu bei ghali sana, mfano kadet ya alafu 30 wao wanauza 55 ila cha ajabu ukifika Kasulu ni rahisi. Watu wengi wanaofanya biashara mjini wamejenga ndani ya barabara na hakuna tatizo, mfano maduka na bar nyingi zipo mita 15 toka katika ya barabara.

Wahudumu wengi kwenye haya maduka wanatoka Burundi kwa hiyo usishangae ukaenda hotelini ukamkuta mhudumu ni Mtutsi just mute serikali ya Kigoma inaruhusu. Kuna sehemu inaitwa Ujiji japokuwa ni sehemu maarufu ila inaongoza kwa nyumba za nyasi na pia ndipo sehemu waganga wengi walipo. Kule kuna nyumba zinaogopwa kumilikiwa sababu kila anayemiliki huwa anakufa hivyo zinabaki ka gofu.

Kuna kitu wanaita KIDONO hii ni chanjo fulani ambayo mtu ukishachanjiwa hata ukatwe panga kali vipi haukatiki ila pia masharti usile nyama ya mbuzi. Kijijini nako hali sio shwari nyumba zao hata iwe ya kisasa vipi hazifungwi lenta/Bim. Kijijini suala la kuoa wanawake wengi ni utamaduni waliorithi, unaweza oa kadiri uwezavyo na ukishaoa unatulia nyumbani mwanamke ndie anaenda shamba kulima analeta mnakula. Ukiwa na wake wengi ndivyo na mazao yanavyotiririka nyumbani na wakati mwingine mwanaume anachukua anaenda kuuza kidogo ili apate pesa ya kunywa pombe inayoitwa Kayogo.

Kijijini hakuna mwanamke anayekubali uzazi wa mpango maana wanaogopa kutimuliwa, suala la kusoma pia sio muhimu kwao labda itokee Mek ama weo akomalie ndio wanaenda shule. Kijijini pia nao hawapo nyuma kuwatumikisha warundi, huwa wanawaita KUBOTA. Wanawapeleka shamba wanawalimia kwa bei rahisi hivyo kuona ni nafuu zaidi japo kiusalama ni soo.

Wilaya kama Buhigwe na Kasulu wanalimisha Warundi sijui wanapenyaje mpakani pale. Kuna eneo linaitwa Kalinzi kwa wale wenzangu wanaoenda Ambrose Sinza, Buruguni Kimboka ama kwa babu mkifika Kigoma msisahau kuvisit ili eneo wapo watoto wa kitusi ka umeoa unaweza sahau familia yako, anyway mkumbuke UKIMWI.

Baada ya ziara ya kuchosha nilimpitia Zitto Mwandiga nikachukua mawese nikarudi zangu maana kule ukizubaa unaweza pigwa na radi na usijue imeshukaje maana miti haipo na wala hawana moyo wa kupanda. Tukutane Kagera next month
 
Yapo umeongea ni kweli mengine ni uongo uliokubuhu.

1. Siyo kweli kwamba wahudumu kwenye bar, hotel na maduka ni warundi. Ukweli ni watanzania, maana kuwa na mrundi kama ulivyosema ni soo. Lkn wapo waliopenya warundi na wazaire wapo mjini kigoma.

2. Pili, ndoa za mitara zipo kwa jamii za waislam, lkn ukija maeneo ya kasulu mitara siyo mingi.

3. Nyumba za mijini asilimia kubwa zina renta lkn za vijijini hazina. Sababu ni ujenzi wa tofari mbili na hazijawahi sababisha madhara.

4. Barabara ya lami ipo maeneo baadhi ya toka tabora kuja kigoma kupitia uvinza. Kidhwe kasulu hadi kibondo na nyakanazi ni vumbi tu. Tunamtegemea magufuri

5. Kasulu ni mji wa kibiashara, hivyo wafanyabiashara baadhi wa urambo, kaliuwa, kgm mjini, burundi na Kbondo, huchukulia bidhaa pale. Kgm mjini ni ghali sana.

6. Ramni ya kigoma iko wazi, hukuielewa sababu wewe sio geographer.

7. Ujenzi kwenye hifadhi ya barabara ni kwa sababu hapakuwahi kuwa na miradi ya ujenzi

8. Uzazi wa mpango upo, sijui umetembelea kijiji gani.

9. Miti siku za hivi karibuni wameanza kupanda. Zamani waliothamini walikuwa ni wenyeji wa heru na manyovu(buhigwe). Lkn baada ya kuvuna miti maeneo ya mashariki mwa mkoa, nao siku hizi wameamza upandaji wa miti ya mbao. Ukienda Kasulu pembeni ya mto bogwe utaona vitalu vya kutosha vya miti.
 
Wadau huu mwaka nimepata bahati ya kutembelea mikoa kadhaa hapa nchini. Mkoa ulioniacha mdomo wazi ni Kigoma. Kwanza nilianza kushangaa mto Malagarasi kabla hata sijafika Kasulu, una mamba hatari mpaka nikakumbuka ule wimbo wa Idd Amin ulioimbwa enzi za vita kuashiria watavyomfanya wakakamata.

Kigoma mji mdogo sana tena halafu ramani yake hata haieleweki kutokana na miinuko katika ya mji, kuna mbuga inaitwa Gombe ipo km 50 tu mjini lakini 90% ya wenyeji hawajui ilipo wakiongozwa na madereva tax.

Kigoma wana stand mpya ya kisasa ambayo pia haina hata dustbin sijui taka zinatupwa wapi. Kutokana na udogo wa mji bajaji ni ruksa kufanya biashara popote wanapoweza hivyo kurahisisha suala la usafiri uwapo Kigoma. Asilimia kubwa ya wakazi na wafanyabiashara hapa mjini wanatoka Congo na Burundi.

Lami ya Kigoma inaanzia sehemu moja inaitwa Kidawa halafu inaishia Manyovu, mpakani kwingine kote ni vumbi . Kigoma inaongoza kwa kuuza vitu bei ghali sana, mfano kadet ya alafu 30 wao wanauza 55 ila cha ajabu ukifika Kasulu ni rahisi. Watu wengi wanaofanya biashara mjini wamejenga ndani ya barabara na hakuna tatizo, mfano maduka na bar nyingi zipo mita 15 toka katika ya barabara.

Wahudumu wengi kwenye haya maduka wanatoka Burundi kwa hiyo usishangae ukaenda hotelini ukamkuta mhudumu ni Mtutsi just mute serikali ya Kigoma inaruhusu. Kuna sehemu inaitwa Ujiji japokuwa ni sehemu maarufu ila inaongoza kwa nyumba za nyasi na pia ndipo sehemu waganga wengi walipo. Kule kuna nyumba zinaogopwa kumilikiwa sababu kila anayemiliki huwa anakufa hivyo zinabaki ka gofu.

Kuna kitu wanaita KIDONO hii ni chanjo fulani ambayo mtu ukishachanjiwa hata ukatwe panga kali vipi haukatiki ila pia masharti usile nyama ya mbuzi. Kijijini nako hali sio shwari nyumba zao hata iwe ya kisasa vipi hazifungwi lenta/Bim. Kijijini suala la kuoa wanawake wengi ni utamaduni waliorithi, unaweza oa kadiri uwezavyo na ukishaoa unatulia nyumbani mwanamke ndie anaenda shamba kulima analeta mnakula. Ukiwa na wake wengi ndivyo na mazao yanavyotiririka nyumbani na wakati mwingine mwanaume anachukua anaenda kuuza kidogo ili apate pesa ya kunywa pombe inayoitwa Kayogo.

Kijijini hakuna mwanamke anayekubali uzazi wa mpango maana wanaogopa kutimuliwa, suala la kusoma pia sio muhimu kwao labda itokee Mek ama weo akomalie ndio wanaenda shule. Kijijini pia nao hawapo nyuma kuwatumikisha warundi, huwa wanawaita KUBOTA. Wanawapeleka shamba wanawalimia kwa bei rahisi hivyo kuona ni nafuu zaidi japo kiusalama ni soo.

Wilaya kama Buhigwe na Kasulu wanalimisha Warundi sijui wanapenyaje mpakani pale. Kuna eneo linaitwa Kalinzi kwa wale wenzangu wanaoenda Ambrose Sinza, Buruguni Kimboka ama kwa babu mkifika Kigoma msisahau kuvisit ili eneo wapo watoto wa kitusi ka umeoa unaweza sahau familia yako, anyway mkumbuke UKIMWI.

Baada ya ziara ya kuchosha nilimpitia Zitto Mwandiga nikachukua mawese nikarudi zangu maana kule ukizubaa unaweza pigwa na radi na usijue imeshukaje maana miti haipo na wala hawana moyo wa kupanda. Tukutane Kagera next month

Ndiyo hiyo ndiyo Kigoma. Nilitoka Kigoma 1986 na kurudi tena 2009, kuna maendeleo kidogo sana, hasa mjini. Usafi wa mwili na kwa ujumla ni jambo ambalo halina nafasi ktk hao watani wangu. Nilishangaa sana
 
Mkuu
Kitu kingine kinachoshangaza gari za DFP na UNHCR ni nyingi kuliko magari ya kawaida kiasi kwamba unaweza kuhisi plate no. za Kigoma ni tofauti na sehemu nyingine
Hizi za UN niliziona nyingi sana na hazisimamishwi na trafiki mpaka nikahisi ndio zinaingiza warundi kinyemela, cha ajabu pia mali za UN utakuta mtaani zinauzwa kiholela na hawachukuliwi hatua, mfano taa za sola, maturubali sufuria nk
 
Wadau huu mwaka nimepata bahati ya kutembelea mikoa kadhaa hapa nchini. Mkoa ulioniacha mdomo wazi ni Kigoma. Kwanza nilianza kushangaa mto Malagarasi kabla hata sijafika Kasulu, una mamba hatari mpaka nikakumbuka ule wimbo wa Idd Amin ulioimbwa enzi za vita kuashiria watavyomfanya wakakamata.

Kigoma mji mdogo sana tena halafu ramani yake hata haieleweki kutokana na miinuko katika ya mji, kuna mbuga inaitwa Gombe ipo km 50 tu mjini lakini 90% ya wenyeji hawajui ilipo wakiongozwa na madereva tax.

Kigoma wana stand mpya ya kisasa ambayo pia haina hata dustbin sijui taka zinatupwa wapi. Kutokana na udogo wa mji bajaji ni ruksa kufanya biashara popote wanapoweza hivyo kurahisisha suala la usafiri uwapo Kigoma. Asilimia kubwa ya wakazi na wafanyabiashara hapa mjini wanatoka Congo na Burundi.

Lami ya Kigoma inaanzia sehemu moja inaitwa Kidawa halafu inaishia Manyovu, mpakani kwingine kote ni vumbi . Kigoma inaongoza kwa kuuza vitu bei ghali sana, mfano kadet ya alafu 30 wao wanauza 55 ila cha ajabu ukifika Kasulu ni rahisi. Watu wengi wanaofanya biashara mjini wamejenga ndani ya barabara na hakuna tatizo, mfano maduka na bar nyingi zipo mita 15 toka katika ya barabara.

Wahudumu wengi kwenye haya maduka wanatoka Burundi kwa hiyo usishangae ukaenda hotelini ukamkuta mhudumu ni Mtutsi just mute serikali ya Kigoma inaruhusu. Kuna sehemu inaitwa Ujiji japokuwa ni sehemu maarufu ila inaongoza kwa nyumba za nyasi na pia ndipo sehemu waganga wengi walipo. Kule kuna nyumba zinaogopwa kumilikiwa sababu kila anayemiliki huwa anakufa hivyo zinabaki ka gofu.

Kuna kitu wanaita KIDONO hii ni chanjo fulani ambayo mtu ukishachanjiwa hata ukatwe panga kali vipi haukatiki ila pia masharti usile nyama ya mbuzi. Kijijini nako hali sio shwari nyumba zao hata iwe ya kisasa vipi hazifungwi lenta/Bim. Kijijini suala la kuoa wanawake wengi ni utamaduni waliorithi, unaweza oa kadiri uwezavyo na ukishaoa unatulia nyumbani mwanamke ndie anaenda shamba kulima analeta mnakula. Ukiwa na wake wengi ndivyo na mazao yanavyotiririka nyumbani na wakati mwingine mwanaume anachukua anaenda kuuza kidogo ili apate pesa ya kunywa pombe inayoitwa Kayogo.

Kijijini hakuna mwanamke anayekubali uzazi wa mpango maana wanaogopa kutimuliwa, suala la kusoma pia sio muhimu kwao labda itokee Mek ama weo akomalie ndio wanaenda shule. Kijijini pia nao hawapo nyuma kuwatumikisha warundi, huwa wanawaita KUBOTA. Wanawapeleka shamba wanawalimia kwa bei rahisi hivyo kuona ni nafuu zaidi japo kiusalama ni soo.

Wilaya kama Buhigwe na Kasulu wanalimisha Warundi sijui wanapenyaje mpakani pale. Kuna eneo linaitwa Kalinzi kwa wale wenzangu wanaoenda Ambrose Sinza, Buruguni Kimboka ama kwa babu mkifika Kigoma msisahau kuvisit ili eneo wapo watoto wa kitusi ka umeoa unaweza sahau familia yako, anyway mkumbuke UKIMWI.

Baada ya ziara ya kuchosha nilimpitia Zitto Mwandiga nikachukua mawese nikarudi zangu maana kule ukizubaa unaweza pigwa na radi na usijue imeshukaje maana miti haipo na wala hawana moyo wa kupanda. Tukutane Kagera next month
Pombe ni KAYOGA not KAYOGO
 
Mkuu muwamba ngozi ukuta kwake, najua unapinga ila ukweli unabaki pale pale, ukitoka kasulu lami unaikuta kidawa,asilimia kubwa ya watu wanatumikisha warundi sio mjini wala vijijini kote ni type ile ile, vijijini wanaongoza kwa ndoa za mitara, na miti unayoisemea wewe ni zamani na kwa bahati mbaya ilikatwa kutengeneza madawati mpaka sasa hivi hakuna mwananchi aliyepanda miti,

Nimetembea wilaya ya Kasulu na Buhigwe kuanzia makere mpaka muyama
Yapo umeongea ni kweli mengine ni uongo uliokubuhu.

1. Siyo kweli kwamba wahudumu kwenye bar, hotel na maduka ni warundi. Ukweli ni watanzania, maana kuwa na mrundi kama ulivyosema ni soo. Lkn wapo waliopenya warundi na wazaire wapo mjini kigoma.

2. Pili, ndoa za mitara zipo kwa jamii za waislam, lkn ukija maeneo ya kasulu mitara siyo mingi.

3. Nyumba za mijini asilimia kubwa zina renta lkn za vijijini hazina. Sababu ni ujenzi wa tofari mbili na hazijawahi sababisha madhara.

4. Barabara ya lami ipo maeneo baadhi ya toka tabora kuja kigoma kupitia uvinza. Kidhwe kasulu hadi kibondo na nyakanazi ni vumbi tu. Tunamtegemea magufuri

5. Kasulu ni mji wa kibiashara, hivyo wafanyabiashara baadhi wa urambo, kaliuwa, kgm mjini, burundi na Kbondo, huchukulia bidhaa pale. Kgm mjini ni ghali sana.

6. Ramni ya kigoma iko wazi, hukuielewa sababu wewe sio geographer.

7. Ujenzi kwenye hifadhi ya barabara ni kwa sababu hapakuwahi kuwa na miradi ya ujenzi

8. Uzazi wa mpango upo, sijui umetembelea kijiji gani.

9. Miti siku za hivi karibuni wameanza kupanda. Zamani waliothamini walikuwa ni wenyeji wa heru na manyovu(buhigwe). Lkn baada ya kuvuna miti maeneo ya mashariki mwa mkoa, nao siku hizi wameamza upandaji wa miti ya mbao. Ukienda Kasulu pembeni ya mto bogwe utaona vitalu vya kutosha vya miti.
 
Ndio mkoa pekee ambao ukitoka kijiji au wilaya moja kwenda nyingine usisahau kuvaa bukta/ pensi ndani maana kuimba mtaji wa maskini ni nguvu zake na kuchezea mambata ya mgongo baada ya kutekwa sio ya kuuliza ni ya kufikia tuu!!
 
Yapo umeongea ni kweli mengine ni uongo uliokubuhu.

1. Siyo kweli kwamba wahudumu kwenye bar, hotel na maduka ni warundi. Ukweli ni watanzania, maana kuwa na mrundi kama ulivyosema ni soo. Lkn wapo waliopenya warundi na wazaire wapo mjini kigoma.

2. Pili, ndoa za mitara zipo kwa jamii za waislam, lkn ukija maeneo ya kasulu mitara siyo mingi.

3. Nyumba za mijini asilimia kubwa zina renta lkn za vijijini hazina. Sababu ni ujenzi wa tofari mbili na hazijawahi sababisha madhara.

4. Barabara ya lami ipo maeneo baadhi ya toka tabora kuja kigoma kupitia uvinza. Kidhwe kasulu hadi kibondo na nyakanazi ni vumbi tu. Tunamtegemea magufuri

5. Kasulu ni mji wa kibiashara, hivyo wafanyabiashara baadhi wa urambo, kaliuwa, kgm mjini, burundi na Kbondo, huchukulia bidhaa pale. Kgm mjini ni ghali sana.

6. Ramni ya kigoma iko wazi, hukuielewa sababu wewe sio geographer.

7. Ujenzi kwenye hifadhi ya barabara ni kwa sababu hapakuwahi kuwa na miradi ya ujenzi

8. Uzazi wa mpango upo, sijui umetembelea kijiji gani.

9. Miti siku za hivi karibuni wameanza kupanda. Zamani waliothamini walikuwa ni wenyeji wa heru na manyovu(buhigwe). Lkn baada ya kuvuna miti maeneo ya mashariki mwa mkoa, nao siku hizi wameamza upandaji wa miti ya mbao. Ukienda Kasulu pembeni ya mto bogwe utaona vitalu vya kutosha vya miti.
Na Kwa kuongeza kuhusu upandaji miti,Wizara ya maliasili kupitia Tfs inaanzisha shamba jipya la miti Na litaitwa Buhigwe Forest Plantation
 
Yapo umeongea ni kweli mengine ni uongo uliokubuhu.

1. Siyo kweli kwamba wahudumu kwenye bar, hotel na maduka ni warundi. Ukweli ni watanzania, maana kuwa na mrundi kama ulivyosema ni soo. Lkn wapo waliopenya warundi na wazaire wapo mjini kigoma.

2. Pili, ndoa za mitara zipo kwa jamii za waislam, lkn ukija maeneo ya kasulu mitara siyo mingi.

3. Nyumba za mijini asilimia kubwa zina renta lkn za vijijini hazina. Sababu ni ujenzi wa tofari mbili na hazijawahi sababisha madhara.

4. Barabara ya lami ipo maeneo baadhi ya toka tabora kuja kigoma kupitia uvinza. Kidhwe kasulu hadi kibondo na nyakanazi ni vumbi tu. Tunamtegemea magufuri

5. Kasulu ni mji wa kibiashara, hivyo wafanyabiashara baadhi wa urambo, kaliuwa, kgm mjini, burundi na Kbondo, huchukulia bidhaa pale. Kgm mjini ni ghali sana.

6. Ramni ya kigoma iko wazi, hukuielewa sababu wewe sio geographer.

7. Ujenzi kwenye hifadhi ya barabara ni kwa sababu hapakuwahi kuwa na miradi ya ujenzi

8. Uzazi wa mpango upo, sijui umetembelea kijiji gani.

9. Miti siku za hivi karibuni wameanza kupanda. Zamani waliothamini walikuwa ni wenyeji wa heru na manyovu(buhigwe). Lkn baada ya kuvuna miti maeneo ya mashariki mwa mkoa, nao siku hizi wameamza upandaji wa miti ya mbao. Ukienda Kasulu pembeni ya mto bogwe utaona vitalu vya kutosha vya miti.
Ni kweli mkuu mimi nipo hapa kigoma
Japo sio mzawa
 
looh! kwaio mjukuu wa mseven, the boss msichana sio 'kitindamimba' ktk orodha? maana madam koleo na wa aina yake mwendo ulikuwa kasi kweli.
 
Back
Top Bottom