HII NDIO JANJA YA MALARIA SUGU et al?

tanga kwetu

JF-Expert Member
May 12, 2010
2,193
1,434
Malaria sugu mara chache sana huchangia threads zilizoanzishwa na wengine rather yeye hupenda kuanzisha threads zake ambazo huwa zinaamsha hisia za wengi hivyo kujibiwa sana. probably wanaomjibu majority watakuwa ni wakristo. huwa standby ku-respond propmtly maana anajua fika amepiga mzinga wa nyuki. Threads zake nyingi huwa za kidini zenye mwelekeo wa kuonyesha kukandamizwa kwa waislam na/au kupendelewa kwa wakristo. Nimefikiri sana juu ya hili yaani what could be his motives behind posting his threads here in JF na kupata idea ifuatayo. Kwamba atakuwa anawa-provoke wakristo ili kukusanya views zao kwa matumizi anayoyajua yeye au kwa maslahi ya kikundi fulani kinachomtuma kwa maslahi yao. so nashauri, wanaokuwa provoked na threads wampuuzie. nahisi anapata faida sana kwa reply zenu....apuuuzwe au apewe majibu ya kipuuzi.

nawasilisha!!!
 
Mkuu nasikia uyu ms tayari yuko mikononi mwa sungusungu wa Jf,alionywa akagoma,yamemkuta. Ila nasikia anatoroka uko jela kwa kutumia ID nyingne. Kalamba ban.
 
Kama Malaria Sugu kalamba ban ni poa sana maana tumelalamika sana kuhusu yeye na udini wake.

Vile vile msisahau kuwa Malaria Sugu huja kwa jina lingine ambalo ni Dar es Salaam.Kwa hiyo akija kwa jina la Malaria Sugu au Dar es Salaam ni kumripoti kumpa kubwa tu za uso akafie mbele
 
Kama Malaria Sugu kalamba ban ni poa sana maana tumelalamika sana kuhusu yeye na udini wake.

Vile vile msisahau kuwa Malaria Sugu huja kwa jina lingine ambalo ni Dar es Salaam.Kwa hiyo akija kwa jina la Malaria Sugu au Dar es Salaam ni kumripoti kumpa kubwa tu za uso akafie mbele

pamoja sana...aende kwa mjengwa blogspot
 
kama malaria sugu kalamba ban ni poa sana maana tumelalamika sana kuhusu yeye na udini wake.

Vile vile msisahau kuwa malaria sugu huja kwa jina lingine ambalo ni dar es salaam.kwa hiyo akija kwa jina la malaria sugu au dar es salaam ni kumripoti kumpa kubwa tu za uso akafie mbele

jeykeywaukweli
 
Kama Malaria Sugu kalamba ban ni poa sana maana tumelalamika sana kuhusu yeye na udini wake.

Vile vile msisahau kuwa Malaria Sugu huja kwa jina lingine ambalo ni Dar es Salaam.Kwa hiyo akija kwa jina la Malaria Sugu au Dar es Salaam ni kumripoti kumpa kubwa tu za uso akafie mbele

Mkuu hao ni watu wawili tofauti ila itikadi zao zinafanana. Dar es Salaam ni msomi mzuri anajua jenga hoja na kutetea. Malaria Sugu ni elimu ile ya ahera tu. Ukisoma maandishi yake ni kama anaandika kiarabu. Ukitaka mkomesha yule mjibu post zake kidhungu. Huwa anasepa na malapa yake.
 
Mkuu nasikia uyu ms tayari yuko mikononi mwa sungusungu wa Jf,alionywa akagoma,yamemkuta. Ila nasikia anatoroka uko jela kwa kutumia ID nyingne. Kalamba ban.


Malaria Sugu
  • profile.png
    View Profile
  • forum.png
    View Forum Posts
  • article.png
    View Articles
user-offline.png

Banned
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png

Join Date Sun Aug 2009 Posts 3,685 Thanks 44 Thanked 367 Times in 277 Posts
 
Malaria sugu mara chache sana huchangia threads zilizoanzishwa na wengine rather yeye hupenda kuanzisha threads zake ambazo huwa zinaamsha hisia za wengi hivyo kujibiwa sana. probably wanaomjibu majority watakuwa ni wakristo. huwa standby ku-respond propmtly maana anajua fika amepiga mzinga wa nyuki. Threads zake nyingi huwa za kidini zenye mwelekeo wa kuonyesha kukandamizwa kwa waislam na/au kupendelewa kwa wakristo. Nimefikiri sana juu ya hili yaani what could be his motives behind posting his threads here in JF na kupata idea ifuatayo. Kwamba atakuwa anawa-provoke wakristo ili kukusanya views zao kwa matumizi anayoyajua yeye au kwa maslahi ya kikundi fulani kinachomtuma kwa maslahi yao. so nashauri, wanaokuwa provoked na threads wampuuzie. nahisi anapata faida sana kwa reply zenu....apuuuzwe au apewe majibu ya kipuuzi.

nawasilisha!!!

Hivi hujaona posts zinazowa-provoke na waIslam? Au hizo kwako ni sahali?
 
Kama Malaria Sugu kalamba ban ni poa sana maana tumelalamika sana kuhusu yeye na udini wake.

Vile vile msisahau kuwa Malaria Sugu huja kwa jina lingine ambalo ni Dar es Salaam.Kwa hiyo akija kwa jina la Malaria Sugu au Dar es Salaam ni kumripoti kumpa kubwa tu za uso akafie mbele

This is Dar Es Salaam calling, what can I do you for?
 
Mkuu hao ni watu wawili tofauti ila itikadi zao zinafanana. Dar es Salaam ni msomi mzuri anajua jenga hoja na kutetea. Malaria Sugu ni elimu ile ya ahera tu. Ukisoma maandishi yake ni kama anaandika kiarabu. Ukitaka mkomesha yule mjibu post zake kidhungu. Huwa anasepa na malapa yake.

Rev, kuanzia leo ni swahiba yangu, hiyo misifa ulionipa yaani nakuwa Mister Misifa kuliko ZK.

Lakini kwa nini hamkubali kuwa mnam-miss Malaria Sugu?

Na ingekuwa hanum miss msingemuongelea sana kiasi hiki, yaani humu JF wanaoongelewa sana ni Zitto wa kwanza wa pili Malaria Sugu.

MS ni kiboko yenu.
 
Rev, kuanzia leo ni swahiba yangu, hiyo misifa ulionipa yaani nakuwa Mister Misifa kuliko ZK.

Lakini kwa nini hamkubali kuwa mnam-miss Malaria Sugu?

Na ingekuwa hanum miss msingemuongelea sana kiasi hiki, yaani humu JF wanaoongelewa sana ni Zitto wa kwanza wa pili Malaria Sugu.

MS ni kiboko yenu.

Swahiba, MS ukimsoma utaona mko level tofauti sana! Nina wasi wasi kama anaweledi wa kutosha. Hahahahahah ZK ni issue nyingine. Nilikuwa namzimia zamani ila sasa mmmhh gharasha tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom