Hii ndio ishara ya wazi kuwa awamu hii ya tano, mawaziri na watendaji wanafanya kazi kwa uoga

bukoba04

JF-Expert Member
Dec 26, 2014
1,401
1,287
habar wanajanvi....

Hakuna waziri aliyenisikitisha kwa maamuzi yake leo, kama prof Ndalichako, mwanamama ambaye nilimpenda na kumuamini sana kwenye serikali ya hawamu, hii mbali na uchapaji kazi wake, serikali iliyopita aliaminika sana kwa misisimamo yake...

ni mmoja wa wanamama niliokuwa nawafuatilia hatua kwa hatua...

na mbali kuliko yote ni pale alipokuwa akitangza matokea ya vidato mbali mbali, nakuoneka wazi wazi kuumizwa na matokeo ya watto watukutu, waliochora mazombi au kuandika mistari ya bongo fleva au matusi ndani ya scripts zao...

leo hii, mama huyu msomi ameamua kukaa karibu na mtoto huyu na kumkingia kifua, mtoto anayeishi uyole (moja kat ya maeneo hatar sana kwa malezi ya vijana) na kuwapa uajasili wanafunz wote walioko mashuleni na hata kuwavunja moyo walimu ambao, wanaish kwa mishahara kiduchu na mazingira magumu..

Mbali na kuwa walimu, waliomtenda mtoto huyo, kuwa na dhamira ya dhat kabisa ya kumfanya awe na nidhamu shulen, walimu hao wamepewa adhabu hata bila kupewa fursa ya kujitetea, ingawa vipo viashiria vya wazi vinavyoonyesha kuwa mtoto huyu hana nadhamu hata kidogo na hata matokea yake pia yanadhiirisha wazi kwa kupata GPA ya 1.4 kwa matokeo ya kidato cha pili..

ila pia, wanaotetea hao watto amjawahi kukutana na adha ya watto kama hao, uwezi kuwa na nidhamu nzuri shulen na wazazi wamkulea kwenye maadili, ukakutana na kipigo kama hicho..

viashiria vingne vya mwanamama huyu, ni palealipoamua kupandisha GPA kwa wanafunzi wa ngazi za dipoloma kutoka 2.9 mpka 3.5 na baadae kushusha tena nadni ya miezi kadhaa mpka 3.0...

viashiria vingne ni pale alipotoa taarifa ya wanafunzi hewa, pasipo kujiridhisha kumbe taarifa ile ilikuwa ya uongo, baada ya vyuo ving kulalamika kuwa vimesingiziwa..

viashilia vingne ni pale anpoudanganya uma kuwa hakuna mwalimu anayedai malimbikizo yake serikalin..

professor Ndalichako, nn kimekupata kwenye hii serikali ya awamu ya tano, kwann unafanya kazi kwa mieumuko, au ni hofu kwa mh raisi, na je kama ni hivyo mbona Rais anakukubali sana, y ujipunguzie heshima yako?

au kwakuwa ulizoea kufundisha vyuon, ndio maana huoni hathar ya watoto wa kisasa mashulen
 
HAWAMU hii ni kazi mkuu.

HAWAMU hii haitaki mieumuko...

WATTO mashuleni itabidi wakazane sana!

Wakora!
 
Suala sio GPA ya 1.4 au 0.3
Ukweli walimu wenzetu wamekosea sana kumpiga vile yule mtoto!!

Ndalichako nae pia amekurupuka sanaa mana angeliacha kwa ngazi ya REO!
 
habar wanajanvi....

Hakuna waziri aliyenisikitisha kwa maamuzi yake leo, kama prof Ndalichako, mwanamama ambaye nilimpenda na kumuamini sana kwenye serikali ya hawamu, hii mbali na uchapaji kazi wake, serikali iliyopita aliaminika sana kwa misisimamo yake...

ni mmoja wa wanamama niliokuwa nawafuatilia hatua kwa hatua...

na mbali kuliko yote ni pale alipokuwa akitangza matokea ya vidato mbali mbali, nakuoneka wazi wazi kuumizwa na matokeo ya watto watukutu, waliochora mazombi au kuandika mistari ya bongo fleva au matusi ndani ya scripts zao...

leo hii, mama huyu msomi ameamua kukaa karibu na mtoto huyu na kumkingia kifua, mtoto anayeishi uyole (moja kat ya maeneo hatar sana kwa malezi ya vijana) na kuwapa uajasili wanafunz wote walioko mashuleni na hata kuwavunja moyo walimu ambao, wanaish kwa mishahara kiduchu na mazingira magumu..

Mbali na kuwa walimu, waliomtenda mtoto huyo, kuwa na dhamira ya dhat kabisa ya kumfanya awe na nidhamu shulen, walimu hao wamepewa adhabu hata bila kupewa fursa ya kujitetea, ingawa vipo viashiria vya wazi vinavyoonyesha kuwa mtoto huyu hana nadhamu hata kidogo na hata matokea yake pia yanadhiirisha wazi kwa kupata GPA ya 1.4 kwa matokeo ya kidato cha pili..

ila pia, wanaotetea hao watto amjawahi kukutana na adha ya watto kama hao, uwezi kuwa na nidhamu nzuri shulen na wazazi wamkulea kwenye maadili, ukakutana na kipigo kama hicho..

viashiria vingne vya mwanamama huyu, ni palealipoamua kupandisha GPA kwa wanafunzi wa ngazi za dipoloma kutoka 2.9 mpka 3.5 na baadae kushusha tena nadni ya miezi kadhaa mpka 3.0...

viashiria vingne ni pale alipotoa taarifa ya wanafunzi hewa, pasipo kujiridhisha kumbe taarifa ile ilikuwa ya uongo, baada ya vyuo ving kulalamika kuwa vimesingiziwa..

viashilia vingne ni pale anpoudanganya uma kuwa hakuna mwalimu anayedai malimbikizo yake serikalin..

professor Ndalichako, nn kimekupata kwenye hii serikali ya awamu ya tano, kwann unafanya kazi kwa mieumuko, au ni hofu kwa mh raisi, na je kama ni hivyo mbona Rais anakukubali sana, y ujipunguzie heshima yako?

au kwakuwa ulizoea kufundisha vyuon, ndio maana huoni hathar ya watoto wa kisasa mashulen
Nakuunga mkono
 
habar wanajanvi....

Hakuna waziri aliyenisikitisha kwa maamuzi yake leo, kama prof Ndalichako, mwanamama ambaye nilimpenda na kumuamini sana kwenye serikali ya hawamu, hii mbali na uchapaji kazi wake, serikali iliyopita aliaminika sana kwa misisimamo yake...

ni mmoja wa wanamama niliokuwa nawafuatilia hatua kwa hatua...

na mbali kuliko yote ni pale alipokuwa akitangza matokea ya vidato mbali mbali, nakuoneka wazi wazi kuumizwa na matokeo ya watto watukutu, waliochora mazombi au kuandika mistari ya bongo fleva au matusi ndani ya scripts zao...

leo hii, mama huyu msomi ameamua kukaa karibu na mtoto huyu na kumkingia kifua, mtoto anayeishi uyole (moja kat ya maeneo hatar sana kwa malezi ya vijana) na kuwapa uajasili wanafunz wote walioko mashuleni na hata kuwavunja moyo walimu ambao, wanaish kwa mishahara kiduchu na mazingira magumu..

Mbali na kuwa walimu, waliomtenda mtoto huyo, kuwa na dhamira ya dhat kabisa ya kumfanya awe na nidhamu shulen, walimu hao wamepewa adhabu hata bila kupewa fursa ya kujitetea, ingawa vipo viashiria vya wazi vinavyoonyesha kuwa mtoto huyu hana nadhamu hata kidogo na hata matokea yake pia yanadhiirisha wazi kwa kupata GPA ya 1.4 kwa matokeo ya kidato cha pili..

ila pia, wanaotetea hao watto amjawahi kukutana na adha ya watto kama hao, uwezi kuwa na nidhamu nzuri shulen na wazazi wamkulea kwenye maadili, ukakutana na kipigo kama hicho..

viashiria vingne vya mwanamama huyu, ni palealipoamua kupandisha GPA kwa wanafunzi wa ngazi za dipoloma kutoka 2.9 mpka 3.5 na baadae kushusha tena nadni ya miezi kadhaa mpka 3.0...

viashiria vingne ni pale alipotoa taarifa ya wanafunzi hewa, pasipo kujiridhisha kumbe taarifa ile ilikuwa ya uongo, baada ya vyuo ving kulalamika kuwa vimesingiziwa..

viashilia vingne ni pale anpoudanganya uma kuwa hakuna mwalimu anayedai malimbikizo yake serikalin..

professor Ndalichako, nn kimekupata kwenye hii serikali ya awamu ya tano, kwann unafanya kazi kwa mieumuko, au ni hofu kwa mh raisi, na je kama ni hivyo mbona Rais anakukubali sana, y ujipunguzie heshima yako?

au kwakuwa ulizoea kufundisha vyuon, ndio maana huoni hathar ya watoto wa kisasa mashulen
Yaani upuuzi wote uliobandika hauhalalishi kumfanyia uharamia mtoto yule, zipo taratibu mujarabu za shule ambazo mwalimu angefuata kama kumsimamisha shule nk. So ndalichako ka take quick decision which is good maana kama tukio lilitokea tangu tarehe 29/09 na hakuna hatua zozote mkuu wa shule kuchukua what the heck are you talking about
 
habar wanajanvi....

Hakuna waziri aliyenisikitisha kwa maamuzi yake leo, kama prof Ndalichako, mwanamama ambaye nilimpenda na kumuamini sana kwenye serikali ya hawamu, hii mbali na uchapaji kazi wake, serikali iliyopita aliaminika sana kwa misisimamo yake...

ni mmoja wa wanamama niliokuwa nawafuatilia hatua kwa hatua...

na mbali kuliko yote ni pale alipokuwa akitangza matokea ya vidato mbali mbali, nakuoneka wazi wazi kuumizwa na matokeo ya watto watukutu, waliochora mazombi au kuandika mistari ya bongo fleva au matusi ndani ya scripts zao...

leo hii, mama huyu msomi ameamua kukaa karibu na mtoto huyu na kumkingia kifua, mtoto anayeishi uyole (moja kat ya maeneo hatar sana kwa malezi ya vijana) na kuwapa uajasili wanafunz wote walioko mashuleni na hata kuwavunja moyo walimu ambao, wanaish kwa mishahara kiduchu na mazingira magumu..

Mbali na kuwa walimu, waliomtenda mtoto huyo, kuwa na dhamira ya dhat kabisa ya kumfanya awe na nidhamu shulen, walimu hao wamepewa adhabu hata bila kupewa fursa ya kujitetea, ingawa vipo viashiria vya wazi vinavyoonyesha kuwa mtoto huyu hana nadhamu hata kidogo na hata matokea yake pia yanadhiirisha wazi kwa kupata GPA ya 1.4 kwa matokeo ya kidato cha pili..

ila pia, wanaotetea hao watto amjawahi kukutana na adha ya watto kama hao, uwezi kuwa na nidhamu nzuri shulen na wazazi wamkulea kwenye maadili, ukakutana na kipigo kama hicho..

viashiria vingne vya mwanamama huyu, ni palealipoamua kupandisha GPA kwa wanafunzi wa ngazi za dipoloma kutoka 2.9 mpka 3.5 na baadae kushusha tena nadni ya miezi kadhaa mpka 3.0...

viashiria vingne ni pale alipotoa taarifa ya wanafunzi hewa, pasipo kujiridhisha kumbe taarifa ile ilikuwa ya uongo, baada ya vyuo ving kulalamika kuwa vimesingiziwa..

viashilia vingne ni pale anpoudanganya uma kuwa hakuna mwalimu anayedai malimbikizo yake serikalin..

professor Ndalichako, nn kimekupata kwenye hii serikali ya awamu ya tano, kwann unafanya kazi kwa mieumuko, au ni hofu kwa mh raisi, na je kama ni hivyo mbona Rais anakukubali sana, y ujipunguzie heshima yako?

au kwakuwa ulizoea kufundisha vyuon, ndio maana huoni hathar ya watoto wa kisasa mashulen
Hili la et walimu wote wamelipwa ilinishangaza sn,nina brother ni mwalimu anadai na hajalipwa hata mia,ss hawa ma profesa aisee Tz!!!!!
 
habar wanajanvi....

Hakuna waziri aliyenisikitisha kwa maamuzi yake leo, kama prof Ndalichako, mwanamama ambaye nilimpenda na kumuamini sana kwenye serikali ya hawamu, hii mbali na uchapaji kazi wake, serikali iliyopita aliaminika sana kwa misisimamo yake...

ni mmoja wa wanamama niliokuwa nawafuatilia hatua kwa hatua...

na mbali kuliko yote ni pale alipokuwa akitangza matokea ya vidato mbali mbali, nakuoneka wazi wazi kuumizwa na matokeo ya watto watukutu, waliochora mazombi au kuandika mistari ya bongo fleva au matusi ndani ya scripts zao...

leo hii, mama huyu msomi ameamua kukaa karibu na mtoto huyu na kumkingia kifua, mtoto anayeishi uyole (moja kat ya maeneo hatar sana kwa malezi ya vijana) na kuwapa uajasili wanafunz wote walioko mashuleni na hata kuwavunja moyo walimu ambao, wanaish kwa mishahara kiduchu na mazingira magumu..

Mbali na kuwa walimu, waliomtenda mtoto huyo, kuwa na dhamira ya dhat kabisa ya kumfanya awe na nidhamu shulen, walimu hao wamepewa adhabu hata bila kupewa fursa ya kujitetea, ingawa vipo viashiria vya wazi vinavyoonyesha kuwa mtoto huyu hana nadhamu hata kidogo na hata matokea yake pia yanadhiirisha wazi kwa kupata GPA ya 1.4 kwa matokeo ya kidato cha pili..

ila pia, wanaotetea hao watto amjawahi kukutana na adha ya watto kama hao, uwezi kuwa na nidhamu nzuri shulen na wazazi wamkulea kwenye maadili, ukakutana na kipigo kama hicho..

viashiria vingne vya mwanamama huyu, ni palealipoamua kupandisha GPA kwa wanafunzi wa ngazi za dipoloma kutoka 2.9 mpka 3.5 na baadae kushusha tena nadni ya miezi kadhaa mpka 3.0...

viashiria vingne ni pale alipotoa taarifa ya wanafunzi hewa, pasipo kujiridhisha kumbe taarifa ile ilikuwa ya uongo, baada ya vyuo ving kulalamika kuwa vimesingiziwa..

viashilia vingne ni pale anpoudanganya uma kuwa hakuna mwalimu anayedai malimbikizo yake serikalin..

professor Ndalichako, nn kimekupata kwenye hii serikali ya awamu ya tano, kwann unafanya kazi kwa mieumuko, au ni hofu kwa mh raisi, na je kama ni hivyo mbona Rais anakukubali sana, y ujipunguzie heshima yako?

au kwakuwa ulizoea kufundisha vyuon, ndio maana huoni hathar ya watoto wa kisasa mashulen


You seem to know the words BUT you miss the meaning! Sio kosa lako, bado una vinasaba vya mentality ya business as usual! 1. Walichokifanya wale walimu "kizazi cha nyoka" sio ADHABU ya kumkanya kijana bali SHAMBULIO LA AIBU ambayo ni jinai 2. As long as alichokifanya Waziri Chako kiko ndani ya mamlaka yake she is right 100% labda kama unasema vyuo na wanavyuo wako nje ya mamlaka yake!!
Bila kushort-circuit culture ya business as usual mentality, nchi hii itaendelea kudumaa. Big up Mama Nadalichako, hapa kazi tu!
 
Tulieni nyie wakora mnaotaka kutetea malimu wahuni wanaopiga kwa kudhalilisha. Mbona wapo walimu wenzenu hawajapendezwa na tukio la Mbeya? Kwanini udhani maamuzi ya Waziri Ndalichako yanalengo la kuogopesha walimu kama na wewe si mwalimu unayetesa wanafunzi? Wewe ni nani upige watu kama wahalifu halafu jamii inyamaze? Ishi katika ukweli ndugu.....acha kutetea ukora hakuna anayedharau walimu wanaojiheshimu wasionavinyongo kwa wanafunzi.
 
Hebu tuelekezane taratibu zilivyo mtoto anapokosea
Maranyingi walimu wanafunzi wanapofika shule korofi hawapewi heshima kama walimu kamili
Walimu wanafunzi nao hutaka kuonyesha misuli yao umri pia ukichangia
Kuna utambulisho siku ya kwanza kwa wanafunzi wote na walimu ujio wa walimu wapya. Kisha mkuu wa shule msaidizi wake au mwalimu wa nidhamu huwakalisha chini walimu wanafunzi na kuwapa hali halisi ya shule na utaratibu wa kufuata linapotokea tatizo
Maranyingi huwa hivi kama kuna shida
Mwalimu mwanafunzi anaweza kuripoti kwa mwalimu wa zamu au mwalimu wa nidhamu
Au la anaweza kuripoti kwa mwalimu mkuu msaidizi na kama kuna ulazima basi kwa mkuu wa shule
Hatua zinazopaswa kuchukuliwa endapo mwanafunzi akikaidi adhabu ni hizi
Kuambiwa aandike maelezo yake
Akikaidi ni kurudishwa nyumbani akamuite mzazi wake au la kusimamishwa masomo kwa muda
Kama yote hayo yalishafanyika na mtoto bado harekebishiki kinachofuata ni kumfukuza shule moja kwa moja
 
Kwa kanuni za ualimu au code of conduct mwalimu anachapa viboko vitatu tu matakoni au viboko sita kwa utaratibu flani ambao mpaka mwalimu mkuu atoe ruhusa, bila kujali yule mwanafunzi kafanya kosa gani ile sio adhabu stahiki bado wale walimu wamekosea sana.
Kumbukeni kila kazi ina changamoto zake hata kama yule dogo katukanwa jiulize manesi/madaktari wakitukanwa wawapige wagonjwa? Hizi kazi lazima kuwa na uvumilivu tu ila uki overreact kazi inakushinda hata ma Vice Chancellor wa vyuo vikuu wanatukanwa na wanachukulia poa kwa sababu ndo challenge ya kazi, conductors wa daladala wanakula matusi kila siku etc
 
Napendekeza serikali ijenge shule maalum kwa wanafunzi watukutu ambazo zitakuwa zinapokea wanafunzi walioshindikana nyumbani kwao, mitaani na shuleni halafu hawa watetezi wa haki za binadamu waajiriwe kama walimu wao.
 
Kuna vitu vitatu vya kuviangalia kwa undani hasa wakati wa kutoa adhabu kwa mwanafunzi.

1)kuna kumchapa mwanafunzi
2)kuna kumpiga mwanafunzi
3)kuna kupigana na mwanafunzi

Walichofanya waalimu wa Mbeya ni 'Kumpiga mwanafunzi', Mwanafunzi anapokosa nidhamu ama kosa lingine lolote unaweza kumuadhibu kwa kumchapa viboko au kumpatia adhabu nyingine kama vile Suspension au hata kumfukuza shule, mwalimu unapoingia katika mtego wa kumpiga au kupigana na mwanafunzi moja kwa moja unaonesha ni jinsi gani ulivyokosa nidhamu na maadili katika taaluma yako.
 
walimu na polis ni watu wanafanya kazi moja kwa moja na jamii, "direct services", serikali iliyopita iliwahi kukiri wazi ndani ya bunge kuwa polisi wanafanya kazi katika mazingira magumu, baada ya kutambua ugumu, waziri mkuu alitoa agizo kwa polisi "Piga tu, maana hakuna namna"
tuwaonee huruma walimu jaman, kuwa hawa walimu wanafanya kazi katika mazingira magumu
 
Back
Top Bottom