MSEZA MKULU
JF-Expert Member
- Jul 22, 2011
- 3,752
- 5,497
hahahaa baba mkwe na mama mkwe wataanzisha vurugu mtoto wao anaaibishwa, Picha hazitakuwa nzuriKwa kuwa kafanya mzungu sio mbaya...
Ila angekuwa ngozi nyeusi kafanya hivi, angenyang'anywa mke dakika sufuri tu
Kwa kuwa kafanya mzungu sio mbaya...
Ila angekuwa ngozi nyeusi kafanya hivi, angenyang'anywa mke dakika sufuri tu
Kwa kuwa kafanya mzungu sio mbaya...
Ila angekuwa ngozi nyeusi kafanya hivi, angenyang'anywa mke dakika sufuri tu
ndani ya masaa machache mbongo yuko radhi achome MIL 30 kesho asubuhi anaamka na kuanza kupiga mizinga.Sio kweli Mkuu.Kama mnapendana Na mnajiamini inawezekana.Lakini ukioa Mke ambaye anawaolea wenzake(mtambaji).
Kwanza harusi isinge fanyika.
Mimi nimeoa miaka mingi Sasa Na harusi yetu haikuwa Na mbwembwe ingawa ndugu Na marafiki walilalama sana tu.Pesa ya masifa tumejenga nyumba Na biashara ndogo ndogo zinaendelea.
ndani ya masaa machache mbongo yuko radhi achome MIL 30 kesho asubuhi anaamka na kuanza kupiga mizinga.
Kama PESA zipo sawa na hazitaathili family economy vinginevyo bora kupiga kitu cha mkoloni hapo juu
Naikumbuka Harusi ya Mrisho Mpoto.
Mkuu Unaoa wewe sio kamati, Kuna jamaa huwa wanapledge hadi 500,000 wakati hawajui wakitoka hapo watakula nini usiku.Kwani harusi unafanya wewe au inafanya kamati..??
Kwani harusi unafanya wewe au inafanya kamati..??