Kwa kuwa unalipwa kuandika Pumba zako humu, unadhani kila mtu analipwa! vijana acheni kufuata mkumbo.
Nenda kwanza msalani afu ndo urudi hapa
Kwa kuwa unalipwa kuandika Pumba zako humu, unadhani kila mtu analipwa! vijana acheni kufuata mkumbo.
Hahahaaaa usilolijua ni sawa na usiku wa giza,nashindwa nikuweke kundi gani?Akili zako za kike ndio zinakufanya kila mtu umwone wa kike?,anyway kulingana na upeo wako tusibishashe....najua ni hasira tuu za.....,pole sana.
We jamaa nikija Arusha ntakutafuta inaonekana ni jirani yangu mi nakaa chekaa kwa mfinanga...
.....Hapa Sombetini hata kupita barabarani wanaogopa
pamoja sana Makamanda wa Lushoto........
RIP CCM
We jamaa nikija Arusha ntakutafuta inaonekana ni jirani yangu mi nakaa chekaa kwa mfinanga
Wakati wa maandalizi wewe ndio ukapiga picha eeh? Una akili sana..
Ni hilo tu au una mengine.
mimi nimesoma SEKOMU na ninafahamu jinsi CHADEMA:A S crown-1: inavyoisambaratisha CCM huko LUSHOTO
Wakati wa maandalizi wewe ndio ukapiga picha eeh? Una akili sana..
Eti unazalisha wasomi Hahahhahah labda wa madrassaKwi kwi kwi. Kweli wewe ni matope kumkichwa. Hubishani na mimi? Nani kakuambia nipo jf' kubishana na mtu?. Kama uko hapa kubishana mimi sibishani nachangia. Eti mimi si size yako? Ha ha ha we kiazi kweli. Unajipya gani sasa umeandika hapa?
He! Kumbe ni kweeelii !