CHAMVIGA
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 7,687
- 2,237
Unataka nikukopeshe?Nani kakuambia nasoma SEKOMU?Wewe unanijua au unahisi unaota,unajua kazi ninayofanya,utanijua 2015 wewe kijakazi wa Lumumba
Nikujue wewe ili nipate nini? Njaa zako tu ndio zinakushawishi kuja humu kuandika pumba ili ujipendekeza kwa waume zenu kina Mbowe. Please dada yangu rudi class kasome acha kuhangaika na siasa utalala njaa na mwisho utarudi mtaani na sup au disco za kufa mtu.